Natamani kujua ushawishi wa kanisa katoliki katika utawala na usalama wa dunia

Natamani kujua ushawishi wa kanisa katoliki katika utawala na usalama wa dunia

Kanisa katoliki liko na influence kila sehemu
ndo maana Marekai walikuwa wanalipiga sana vita
Kennedy ndie Rais wa kwanza Marekani mkatoliki..
na hata kwenye kampeni zake aliwabembeleza sana wamarekani wamuamini
Hofu ya wamarekani wengi ni Rais mkatoliki kumsikiliza sana Pope na hatari zake

Kihistoria nchi zenye wakatoliki wengi zikipata Rais anesikiliza sna Vatican basi hata uhuru
wa wananchi huwa mashakani....

Kanisa katoliki lina historia chafu sana ya kulinda madikteta wakatoliki dunia nzima

na kutumiwa kwenye siasa za nchi fulani fulani mfano halisi Pope John Paul II
alivyotumika na Marekani huko Poland.....
Mkuu..! Naomba kujua rais Kennedy aliongoza kwa mda gan? Je kifo chake kilitokana na uchachu wa siasa?

Asante...!
 
Hiyo maana yake ni humble society of Jesus
Na hawa jamaa hawarudi nyuma kwenye mission zao ndio maana wakitumwa hata North Korea na utata wa Kim wanaingia na kuanzisha shule na makanisa. Waliingia China zamani sana na kuwa na ushawishi hadi kwa wafalme enzi hizo. Wamewahi kutimuliwa sehemu nyingi tu lkn hurudi kitofauti. Yote hii ni matunda ya mipango madhubuti iliyopangwa kitambo sana.
 
Hiyo maana yake ni humble society of Jesus
Sio kweli usiwahaminishe watu uongo. kifupi cha shirika la wajesuit ni SJ, nenda pale mabibo Loyola ufahamishwe, jifunze catholic symbols kuelewa maana zake I= Iesus ujue Kilatini hakina herufi J badala yake uandikwa I hutamkwa Y maana yake Yesu, H = Hominis = God Man, S = Sanctus = Holy
 
Secret terrorist tafuteni hicho kitabu muone mipango ya Catholic kuitaawala dunia na kumsafishia njia Antichrist
 
Sio kweli usiwahaminishe watu uongo. kifupi cha shirika la wajesuit ni SJ, nenda pale mabibo Loyola ufahamishwe, jifunze catholic symbols kuelewa maana zake I= Iesus ujue Kilatini hakina herufi J badala yake uandikwa I hutamkwa Y maana yake Yesu, H = Hominis = God Man, S = Sanctus = Holy
Sorry I meant (Iesus Humilis Societas).
Kweli kifupi ni SJ(society of Jesus =Societas Iesu).
 
They have the best intelligence service in the world. All the world intelligence services all combined collect 1/10th of what Vatican collects daily.

Duuh how comes?
 
N
Mweleze Mwalimu mkuu hivi ni vitu vilivyoasisiwa 1534 na muhispania loyola na ndio muasisi wa hiyo logo IHS. Na baadae kukubaliwa na kanisa kama zilivyokubaliwa order nyingine kwa manufaa ya kanisa na kueneza injiri baada ya kukataliwa Mara kadhaa.
Mseze, um a Jesuit, historia naijua sana, hiyo nembo haikuanzishwa na Ignatius of Loyola, Bali aladopt that name, na maana ya IHS ushaiona hapo.[/QUOTE]
Nakupata mkuu uko sahihi hii ipo tangu enzi za Constantine. Uko vzr
 
Unachochote cha kusema juu ya black pope
Well, hilo jina limeanza around 16,17 th C huko ulaya. Waliodhani kuwa "Superior General" wa SJ ana nguvu kama pope. Arguments zao n kwa vile Pope anavaa cassock nyeupe na superior General anavaa cassock nyeusi. Nyingine ni vile Mara nyingi Pope akichaguliwa anakuwa kwenye kiti hicho mpaka afe, na pia kwa SJ superior General is also elected for life.
In short Black Pope is just a nickname to the SJ Superior General based on arguments as those few I have just explained.
 
Well, hilo jina limeanza around 16,17 th C huko ulaya. Waliodhani kuwa "Superior General" wa SJ ana nguvu kama pope. Arguments zao n kwa vile Pope anavaa cassock nyeupe na superior General anavaa cassock nyeusi. Nyingine ni vile Mara nyingi Pope akichaguliwa anakuwa kwenye kiti hicho mpaka afe, na pia kwa SJ superior General is also elected for life.
In short Black Pope is just a nickname to the SJ Superior General based on arguments as those few I have just explained.
Nyie watu mmejaa uongo...... hizo elimu zenu mmesomea wapi? au ni hulka ya watZ kuwa wasemaji wa kila jambo..... hakuna mkuu wowote wa shirika lolote anayechaguliwa for life! ulizeni muelimishwe!
 
Nyie watu mmejaa uongo...... hizo elimu zenu mmesomea wapi? au ni hulka ya watZ kuwa wasemaji wa kila jambo..... hakuna mkuu wowote wa shirika lolote anayechaguliwa for life! ulizeni muelimishwe!
Soma vizuri mkuu, nimesema arguments zao
 
Well, hilo jina limeanza around 16,17 th C huko ulaya. Waliodhani kuwa "Superior General" wa SJ ana nguvu kama pope. Arguments zao n kwa vile Pope anavaa cassock nyeupe na superior General anavaa cassock nyeusi. Nyingine ni vile Mara nyingi Pope akichaguliwa anakuwa kwenye kiti hicho mpaka afe, na pia kwa SJ superior General is also elected for life.
In short Black Pope is just a nickname to the SJ Superior General based on arguments as those few I have just explained.
Mkuu uko vzr. Unachokisema kinashabihiana na tunachojifunza kwenye historia. Nimewahi kusoma kitabu kinaitwa the black pope. Unasemaje kuhusu huyu SJ kuwa ndio mtu powerful duniani kuliko hata Pope. Na hata ulaya walipoamua kuwafukuza vijana wake jesuit na kumuomba papa clement akifute hicho chama na kiongozi huyu alikufa hata kabla hajajaribu, aliefuata pope clement iv aliposign kufuta chama hiki alisema nimesign Hati yangu ya kufa na kufariki miezi tisa baadae.

Kuna ukweli wowote katika hayo?
 
Soma vizuri mkuu, nimesema arguments zao

Arguments zitoke wapi ktk Kanisa Katoliki wakati mfumo wake rasmi ni dictatorship! Usomi katika Kanisa Katoliki unaongozwa na kanuni hii "Sentire Cum Ecclesia" Think with the Church fikiri kama kanisa linavyo fikiri na kutenda. Na katika masuala ya administration kanuni ni "Cum Petros Sub Petros" fanya chochote kile pamona na Peter lakini chini ya Peter.( Nadhani unajua hapo Peter wanamaanisha nini.

Ebu jiulize umewahi kushirikishwa hata katika uchaguzi wa paroko, sembuse Askofu. Yule anaye wachagua anawajuaje? inakuaje Pengo mtu kutoka Sumbawanga aje atawale Dar es Salaam, au Damian Dallu aende kutawala Songea. Je sehemu hizo tajwa hazina wakatoliki wazawa.

Mwingine anajiita yeye Mjesuit sijui anamaanisha nini wakati namna yake tu ya kutoa hoja ni mufilisi. Majesuit ni watu mahiri sana ktk Nyanja za elimu na maarifa. Kitaaluma, Mjesuit yeyote ukiondoa elimu ya falsafa na taaalimungu, lazima awe na shahada ya uzamili katika masomo mnayoyaita ya kidunia(secular subjects)

Halafu si kweli kwamba SJ ndio shirika lenye nguvu kuliko yote katika Kanisa Katoliki. Unasemaje kuhusu Wabenedictine ambao wamejenga Kanisa Kuu la Dar es Salaam na kuwa na ngome kuu kule Songea. Ambao wenyewe wanaongozwa na Abate ambaye ana nguvu karibu na Askofu akiwa dani ya maeneo yake. Kwanini Majimbo Makuu ya Dodoma na Mwanza yanaongozwa na Maaskofu ambao ni Wafransisko!!!

Hao SJ pale Loyola wanaweza kuondolewa ndani ya masaa 24 Persona Non Grata na Askofu wa Jimbo. Unajua kwanini Askofu wa Jimbo uwa anakabidhiwa funguo na anaketishwa rasmi katika kiti chake. Je hao Wajesuit wanafanyiwa hayo.

Msisikie habari za kwenye vijiwe. Kuwatisha watu bila sababu!
 
Duuh how comes?
They get reports from at least half the families of the world daily, they have agents in almost every village across the globe, they have agents in every organization and every office, and they at they have agents who speak at least one language in existence on earth? Can you name any intelligence service with this capability of gathering information? And the their best source of information is through a confession box, where from Kings/Queens , Presidents down to rank and files pour their secrets "sins". No any intelligence service has this privileged.
 
Arguments zitoke wapi ktk Kanisa Katoliki wakati mfumo wake rasmi ni dictatorship! Usomi katika Kanisa Katoliki unaongozwa na kanuni hii "Sentire Cum Ecclesia" Think with the Church fikiri kama kanisa linavyo fikiri na kutenda. Na katika masuala ya administration kanuni ni "Cum Petros Sub Petros" fanya chochote kile pamona na Peter lakini chini ya Peter.( Nadhani unajua hapo Peter wanamaanisha nini.

Ebu jiulize umewahi kushirikishwa hata katika uchaguzi wa paroko, sembuse Askofu. Yule anaye wachagua anawajuaje? inakuaje Pengo mtu kutoka Sumbawanga aje atawale Dar es Salaam, au Damian Dallu aende kutawala Songea. Je sehemu hizo tajwa hazina wakatoliki wazawa.

Mwingine anajiita yeye Mjesuit sijui anamaanisha nini wakati namna yake tu ya kutoa hoja ni mufilisi. Majesuit ni watu mahiri sana ktk Nyanja za elimu na maarifa. Kitaaluma, Mjesuit yeyote ukiondoa elimu ya falsafa na taaalimungu, lazima awe na shahada ya uzamili katika masomo mnayoyaita ya kidunia(secular subjects)

Halafu si kweli kwamba SJ ndio shirika lenye nguvu kuliko yote katika Kanisa Katoliki. Unasemaje kuhusu Wabenedictine ambao wamejenga Kanisa Kuu la Dar es Salaam na kuwa na ngome kuu kule Songea. Ambao wenyewe wanaongozwa na Abate ambaye ana nguvu karibu na Askofu akiwa dani ya maeneo yake. Kwanini Majimbo Makuu ya Dodoma na Mwanza yanaongozwa na Maaskofu ambao ni Wafransisko!!!

Hao SJ pale Loyola wanaweza kuondolewa ndani ya masaa 24 Persona Non Grata na Askofu wa Jimbo. Unajua kwanini Askofu wa Jimbo uwa anakabidhiwa funguo na anaketishwa rasmi katika kiti chake. Je hao Wajesuit wanafanyiwa hayo.

Msisikie habari za kwenye vijiwe. Kuwatisha watu bila sababu!
Tupe global views pia mdau
 
Arguments zitoke wapi ktk Kanisa Katoliki wakati mfumo wake rasmi ni dictatorship! Usomi katika Kanisa Katoliki unaongozwa na kanuni hii "Sentire Cum Ecclesia" Think with the Church fikiri kama kanisa linavyo fikiri na kutenda. Na katika masuala ya administration kanuni ni "Cum Petros Sub Petros" fanya chochote kile pamona na Peter lakini chini ya Peter.( Nadhani unajua hapo Peter wanamaanisha nini.

Ebu jiulize umewahi kushirikishwa hata katika uchaguzi wa paroko, sembuse Askofu. Yule anaye wachagua anawajuaje? inakuaje Pengo mtu kutoka Sumbawanga aje atawale Dar es Salaam, au Damian Dallu aende kutawala Songea. Je sehemu hizo tajwa hazina wakatoliki wazawa.

Mwingine anajiita yeye Mjesuit sijui anamaanisha nini wakati namna yake tu ya kutoa hoja ni mufilisi. Majesuit ni watu mahiri sana ktk Nyanja za elimu na maarifa. Kitaaluma, Mjesuit yeyote ukiondoa elimu ya falsafa na taaalimungu, lazima awe na shahada ya uzamili katika masomo mnayoyaita ya kidunia(secular subjects)

Halafu si kweli kwamba SJ ndio shirika lenye nguvu kuliko yote katika Kanisa Katoliki. Unasemaje kuhusu Wabenedictine ambao wamejenga Kanisa Kuu la Dar es Salaam na kuwa na ngome kuu kule Songea. Ambao wenyewe wanaongozwa na Abate ambaye ana nguvu karibu na Askofu akiwa dani ya maeneo yake. Kwanini Majimbo Makuu ya Dodoma na Mwanza yanaongozwa na Maaskofu ambao ni Wafransisko!!!

Hao SJ pale Loyola wanaweza kuondolewa ndani ya masaa 24 Persona Non Grata na Askofu wa Jimbo. Unajua kwanini Askofu wa Jimbo uwa anakabidhiwa funguo na anaketishwa rasmi katika kiti chake. Je hao Wajesuit wanafanyiwa hayo.

Msisikie habari za kwenye vijiwe. Kuwatisha watu bila sababu!
Nadhan sasa tuko pamoja.
 
They get reports from at least half the families of the world daily, they have agents in almost every village across the globe, they have agents in every organization and every office, and they at they have agents who speak at least one language in existence on earth? Can you name any intelligence service with this capability of gathering information? And the their best source of information is through a confession box, where from Kings/Queens , Presidents down to rank and files pour their secrets "sins". No any intelligence service has this privileged.

Mossad na RAW
 
Nimejifunza kitu kwenye post yako. Nikuulize, USA haijamchagua Rais mwingine mkatoliki baada ya JFK


Hawajawahi kabisa.....
Mdogo wake Bush anaitwa Jeb alibadili dhehebbu na kuwa mkatoliki kumfuata mkewe
na alikuwa anapewa nafasi kubwa ya kuwa mgombea wa Republican lakini kashindwa na Trump
ambae ndo dhehebu lile lile inalotoa marais marekani....

Makamu wa Rais wa Obama ..Joe Biden ni mkatoliki...hakugombea
 
Na hili kanisa ndilo limemweka Magufuli madarakani.

Sio Magufuli tu
hata Mwinyi wao ndo walimchagua..wakamkataa Salim..chaguo la Nyerere
na Kikwete ndo wakamtangaza 'chaguo la Mungu'
 
Back
Top Bottom