Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Hakuna kitu kinaitwa au kinajulikana kama Roman Catholic Church....Namaanisha Himaya ya Roman Catholic Church
There's only Catholic Church...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kinaitwa au kinajulikana kama Roman Catholic Church....Namaanisha Himaya ya Roman Catholic Church
Kuna Catholic Church...Serious?
Hakuna kitu kama hicho mkuu uwe unaelewa mapema. Historia hiyo haipo
Uongo mtupu..Hiyo siyo maana halisi ulliyoitoa...Niwape elimu kwa nini linaitwa The Roman Catholic Church: Kanisa Katoliki liko la magharibi na mashariki. La magharibi tunalofuata Tz ndio Roman Catholic au The Latin Church, lenyewe linafuata madhehebu ya Kirumi. Kuna Kanisa Katoliki la Mashariki. Linajulikana hasa kwa maneno The Eastern Church.
Baadhi ya tofauti za Magharibi na Mashariki:
La Magharibi liko moja kwa moja tiifu kwa Papa: La Mashariki wanamwona Papa kama Primus Inter Pares = First among the equals.
Mapadre, Maaskofu, na Mashemasi wa Latin Church hawaowi. Wa Eastern wanafanya uamuzi wa kuoa au kutokuoa wanapokuwa mashemasi. Ila ukiamua kuoa huwezi kuwa Askofu.
La Magharibi husherehekea Kuzaliwa kwa Yesu Des 25, La Mashariki Jan 6
La Magharibi Mkate unaotumiwa katika Ekaristi hautiwi hamira, Mashariki ******* hamira
La Magharibi tunaamini Roho Mt anatoka kwa Baba na Mwana, La Mashariki Roho Mt anatoka kwa Baba kupitia kwa Mwana (Tatizo hili linaitwa filioque)
Muhammad alishauri Ilimu itafutwe ikibisi hata Uchina. Sijui kwa nini alitaja nchi ya Uchina. Waislamu tujuzeni
Uongo mtupu..Hiyo siyo maana halisi ulliyoitoa...
Halafu hakuna madhehebu ya Rumi....
Neno Roman Catholic limeletwa kama Nick Name na Waanglikana kipindi walipojitenga...Ni hii ilikuwa kutofautisha zile liturgical Rites....Anglican liturjia yao haina tofauti sana na Kkatoliki..So ili kujitofautisha wakaamua kutoa hilo jina La Roman Catholic....Ndio maana Anglican sometimes huwa wanajiita Anglo-Catholic
Nadhani unachanganya Roman empire na Kanisa Katoliki, Roman empire walitawala dunia kabla hayanya Yesu kuzaliwa na waliendelea kwa kipindi kadhaa baada ya Yesu,
Naomba ushahidi wa Kanisa kutawala Dunia
Mkuu Roman empire sio Roman Catholic Ile iliyiyotawala dunia ilikuwa political institution 27BC to 393AD hii nyingine ni religious institution. Hii mipango yake Mingi iko background hata wakisema inatawala dunia sio direct ni indirect na ukitraceback huwaoni unakutana na taasisi nyingine tu.
Ngoja nimwage upupu kidogo for my own risk...ni kuwa dola ya rumi ilitawala Kabla ya Yesu kuzaliwa, baada ya kuiangusha dola ya uyunani (Greece) iliyokuwa ikiongozwa na kijana mbabe Alexander the great..Yesu alizaliwa kipind rumi inatawala na haikuwa ikitawala kidini but kisiasa zaidi na kipagani...baada ya siku kusonga Mfalme Constantine wa rumi alibatizwa...na akahamisha makao makuu toka Rome hadi mji wa costantininope kitendo hiki kilileta roope hole Fulani ya kiuongozi kule Rome..na ndipo hapo alitokea askofu (jina kapuni) ambaye alipewa nguvu na wafalme waliofuata baada ya Constantine...taratibu rumi ilibadilika na kuwa ya kidini na kisiasa....kiongozi huyu alipata nguvu kwa haraka sana kisiasa na kidini karibia ulimwengu wote wa kipind kipind kile....nguvu yake ilififia mnamo mapinduzi ya ufaransa...Napoleon Bonaparte ndo kamanda wa jeshi la ufaransa aliye maliza nguvu ya papa...huku kukifuatiwa na rapid industry revolution na vita vya hapa na pale kule Europe pamoja na colonization process na kuinuka kwa uprotestant, vyote vilisababisha nguvu ya papa kufifia sana....hata hvyo Benito musolin alianza kurudisha hadhi ya papa kwa kumpa eneo la Vatican...taratibu akiungwa mkono na mataifa makubwa umaarufu wa papa umeongezeka zaidi hvi karibuni...hata hvyo uprotestant umepoteza nguvu sana kias kwamba kila mtu anawaza lake na vidhehebu vinazidi kuongezeka...Vatican inaona serious threat ni uislam....political ikiwa kama strong weapon inafanya kila njia kuvunja nguvu ya uislam na inafanikiwa kwa spidi ya mawazo huku USA ikiwa ndo center ya mipango yote....kwa sasa America inatakiwa iende kijeshi zaidi na ubabe wa hali ya juu kuweza kuaccomplish the project...huku kukiwa na mipango dhabiti kuhakikisha kila nchi inatawaliwa na mkatoliki iwe kwa democrasia au vinginevyo...japo hata asipokuwa mkatoliki lazima afate Sera za Vatican la sivyo anaundiwa zengwe la maana jambo hili litafanikiwa as time goes...lengo kuu ni kuunda kanda saba dunia nzima ambazo viongozi wao wanakuwa connected direct na Vatican... Usishangae kusikia kesho somalia ipo kwenye east Africa community..... Japo utachukua mda but huu mpango utafanikiwa...na ni mchezo wa kidini ila unachezewa kwenye uwanja wa siasa......mkuu inaelekea una nyeti embu funguka plse very potenteo
duh what do yu think the fate will beNgoja nimwage upupu kidogo for my own risk...ni kuwa dola ya rumi ilitawala Kabla ya Yesu kuzaliwa, baada ya kuiangusha dola ya uyunani (Greece) iliyokuwa ikiongozwa na kijana mbabe Alexander the great..Yesu alizaliwa kipind rumi inatawala na haikuwa ikitawala kidini but kisiasa zaidi na kipagani...baada ya siku kusonga Mfalme Constantine wa rumi alibatizwa...na akahamisha makao makuu toka Rome hadi mji wa costantininope kitendo hiki kilileta roope hole Fulani ya kiuongozi kule Rome..na ndipo hapo alitokea askofu (jina kapuni) ambaye alipewa nguvu na wafalme waliofuata baada ya Constantine...taratibu rumi ilibadilika na kuwa ya kidini na kisiasa....kiongozi huyu alipata nguvu kwa haraka sana kisiasa na kidini karibia ulimwengu wote wa kipind kipind kile....nguvu yake ilififia mnamo mapinduzi ya ufaransa...Napoleon Bonaparte ndo kamanda wa jeshi la ufaransa aliye maliza nguvu ya papa...huku kukifuatiwa na rapid industry revolution na vita vya hapa na pale kule Europe pamoja na colonization process na kuinuka kwa uprotestant, vyote vilisababisha nguvu ya papa kufifia sana....hata hvyo Benito musolin alianza kurudisha hadhi ya papa kwa kumpa eneo la Vatican...taratibu akiungwa mkono na mataifa makubwa umaarufu wa papa umeongezeka zaidi hvi karibuni...hata hvyo uprotestant umepoteza nguvu sana kias kwamba kila mtu anawaza lake na vidhehebu vinazidi kuongezeka...Vatican inaona serious threat ni uislam....political ikiwa kama strong weapon inafanya kila njia kuvunja nguvu ya uislam na inafanikiwa kwa spidi ya mawazo huku USA ikiwa ndo center ya mipango yote....kwa sasa America inatakiwa iende kijeshi zaidi na ubabe wa hali ya juu kuweza kuaccomplish the project...huku kukiwa na mipango dhabiti kuhakikisha kila nchi inatawaliwa na mkatoliki iwe kwa democrasia au vinginevyo...japo hata asipokuwa mkatoliki lazima afate Sera za Vatican la sivyo anaundiwa zengwe la maana jambo hili litafanikiwa as time goes...lengo kuu ni kuunda kanda saba dunia nzima ambazo viongozi wao wanakuwa connected direct na Vatican... Usishangae kusikia kesho somalia ipo kwenye east Africa community..... Japo utachukua mda but huu mpango utafanikiwa...na ni mchezo wa kidini ila unachezewa kwenye uwanja wa siasa......
Kaka naona unajitahidi sana kujustfy hoja yako isiyo na mashiko, hiyo artical yako nimeisoma na wala sijaona wapi Kanisa Katoliki limeongoza Dunia, Roman Empire ilikuwa chini ya Kina Kaisari na Nero wala sio Papa kiongozi wa Kanisa Katoliki
Ni nini kinasababisha huo moshi uwe mweupe kama vinavyochomwa vinapaswa kutoa moshishi mweusiMkuu ngoja nikueleweshe kidogo mosi suala la moshi kwanza moshi ule mweupe ni ishara Kuwa Papa kapatikana katika kile kipindi wanapofanya uchaguzi Najua Unajua kuna baadhi ya vitu vikichomwa moto hutoa moshi wenye rangi Fulani aidha mweusi ambao ni komoni au rangi yoyote ile ule ni utaratibu ambao Kanisa wamejiwekea kuwa moshi ule mweupe ni ishara kuwa humo ndani mambo ni mazuri na Kiongozi kapatikana pia kanisa lina mfumo na taratibu zake kufikia cheo cha juu hasa kadrinali kwa padri kwahiyo Kuwa wachache au wengi haiathiri wala haipunguzi chochote katika kanisa!!
Sio makanisa yana muingiliano na serikali bali serikali nyingi hata hizi za kiislam zinafata muundo wa RomaUkitaka kujua mambo ya hizi dini iwe Uislamu au Ukristo basi usiwe muumini wao kuna vingi utajifunza kwa uhuru mkubwa bila kuegemea popote
Hivi ushawahi kujiuliza wakati wa uchaguzi wa Papa ule moshi mweupe unaotoka kwamba amekubalika unatokana na nini ? Hivi kwanini wanao ruhusiwa kumchagua papa ni Makadrinali tu ?
Kama primary goal ni kumtumikia Mungu kwanini hawa Makadrinali wapo wachache sana duniani ? Nadhani hawafiki 300 Afrika ikiwa sijui na watatu
Hivi ni vigezo gani hasa vinatakiwa kuwa Kadrinali ? Unafikiria kwanini viliwekwa hivyo vigezo ili kila padri asifanikiwe kuwa Kadrinali ?
Haya makanisa ya dunia yana muingiliano mkubwa sana na serikali zetu za kidunia kuliko hata lengo lao la awali la kuwaleta wanadamu karibu na Mungu
Vivyo hivyo kwa dini zingine
Mkuu Roman empire sio Roman Catholic Ile iliyiyotawala dunia ilikuwa political institution 27BC to 393AD hii nyingine ni religious institution. Hii mipango yake Mingi iko background hata wakisema inatawala dunia sio direct ni indirect na ukitraceback huwaoni unakutana na taasisi nyingine tu.
Ni vigumu sana kujua the way wanavyooperate kazi zao....na critical moment kwao ni kipindi cha kuwapata viongozi wa mataifa...hapo wanakuwa more serious.....ukiwafatilia sana utakutana na vurugu za vita, uchumi, na fujo nyingi nyingi tu...but humo hmo ndo wamekaa wametulia zao...Mkuu Roman empire sio Roman Catholic Ile iliyiyotawala dunia ilikuwa political institution 27BC to 393AD hii nyingine ni religious institution. Hii mipango yake Mingi iko background hata wakisema inatawala dunia sio direct ni indirect na ukitraceback huwaoni unakutana na taasisi nyingine tu.
atleast yu no the hidden truth atleastnaona wazee wakatoliki wanapinga kwa nguvu kwamba thehebu lao linaoperate kisiasa sana.................
Catholic wanamiliki taasisi za fedha,vyuo, mashule etc yan kifupi uchumi wa dunia upo mikonon mwao na hilo is for a purpose!........
catholic ni dhehebu kwa nje lkn kwa ndani ni kitu kingine hatar zaid...... hawa mabwana ndio waliotawala dunia in the name of dola ya kirumi lkn ili kufuta vitu na kuchanganya watu wakabadili saiz wanajiita catholic........
kipind hiki ndio wanapambana kwel background kurejesha nguvu yao!!! mda utasema!
True 100%Ngoja nimwage upupu kidogo for my own risk...ni kuwa dola ya rumi ilitawala Kabla ya Yesu kuzaliwa, baada ya kuiangusha dola ya uyunani (Greece) iliyokuwa ikiongozwa na kijana mbabe Alexander the great..Yesu alizaliwa kipind rumi inatawala na haikuwa ikitawala kidini but kisiasa zaidi na kipagani...baada ya siku kusonga Mfalme Constantine wa rumi alibatizwa...na akahamisha makao makuu toka Rome hadi mji wa costantininope kitendo hiki kilileta roope hole Fulani ya kiuongozi kule Rome..na ndipo hapo alitokea askofu (jina kapuni) ambaye alipewa nguvu na wafalme waliofuata baada ya Constantine...taratibu rumi ilibadilika na kuwa ya kidini na kisiasa....kiongozi huyu alipata nguvu kwa haraka sana kisiasa na kidini karibia ulimwengu wote wa kipind kipind kile....nguvu yake ilififia mnamo mapinduzi ya ufaransa...Napoleon Bonaparte ndo kamanda wa jeshi la ufaransa aliye maliza nguvu ya papa...huku kukifuatiwa na rapid industry revolution na vita vya hapa na pale kule Europe pamoja na colonization process na kuinuka kwa uprotestant, vyote vilisababisha nguvu ya papa kufifia sana....hata hvyo Benito musolin alianza kurudisha hadhi ya papa kwa kumpa eneo la Vatican...taratibu akiungwa mkono na mataifa makubwa umaarufu wa papa umeongezeka zaidi hvi karibuni...hata hvyo uprotestant umepoteza nguvu sana kias kwamba kila mtu anawaza lake na vidhehebu vinazidi kuongezeka...Vatican inaona serious threat ni uislam....political ikiwa kama strong weapon inafanya kila njia kuvunja nguvu ya uislam na inafanikiwa kwa spidi ya mawazo huku USA ikiwa ndo center ya mipango yote....kwa sasa America inatakiwa iende kijeshi zaidi na ubabe wa hali ya juu kuweza kuaccomplish the project...huku kukiwa na mipango dhabiti kuhakikisha kila nchi inatawaliwa na mkatoliki iwe kwa democrasia au vinginevyo...japo hata asipokuwa mkatoliki lazima afate Sera za Vatican la sivyo anaundiwa zengwe la maana jambo hili litafanikiwa as time goes...lengo kuu ni kuunda kanda saba dunia nzima ambazo viongozi wao wanakuwa connected direct na Vatican... Usishangae kusikia kesho somalia ipo kwenye east Africa community..... Japo utachukua mda but huu mpango utafanikiwa...na ni mchezo wa kidini ila unachezewa kwenye uwanja wa siasa......