Natamani kujua ushawishi wa kanisa katoliki katika utawala na usalama wa dunia

Natamani kujua ushawishi wa kanisa katoliki katika utawala na usalama wa dunia

Historia gani hiyo?, nimesoma na sijaona sehemu Kanisa Katoliki lilipotawala Dunia,
Naomba link kaka nikaisome

Kanisa katoliki walitawala dunia zamani hata Marekani haijavum buliwa
walikuwa wanatawala Ulaya na dumia kwa ujumla
kama umewahi sikia Roman Empire ...
Sasa waingereza walipoanza kupata nguvu wakajitenga ndo wakaanzisha kanisa lao
'Anglican Church....Anglo ndo English....
Wajerumani wakahamia Lutheran....nao ili wawe huru na Rome ambayo iko Italy na ndo Vatican
Wafaransa wakafanya mapinduzi ndo ikawa nchi ya kwanza kuwa na Rais...
ingawa wakabaki wakatoliki...

Waingereza waliokuwa wanampinga Mfalme wakapenda sana wazo la kuwa
Republic na kuwa na na Rais kama ufaransa
wakahamia USA.. USA zamani iliitwa 'New England'

historia iko ndefu na ina mengi....
 
Kanisa katoliki walitawala dunia zamani hata Marekani haijavum buliwa
walikuwa wanatawala Ulaya na dumia kwa ujumla
kama umewahi sikia Roman Empire ...
Sasa waingereza walipoanza kupata nguvu wakajitenga ndo wakaanzisha kanisa lao
'Anglican Church....Anglo ndo English....
Wajerumani wakahamia Lutheran....nao ili wawe huru na Rome ambayo iko Italy na ndo Vatican
Wafaransa wakafanya mapinduzi ndo ikawa nchi ya kwanza kuwa na Rais...
ingawa wakabaki wakatoliki...

Waingereza waliokuwa wanampinga Mfalme wakapenda sana wazo la kuwa
Republic na kuwa na na Rais kama ufaransa
wakahamia USA.. USA zamani iliitwa 'New England'

historia iko ndefu na ina mengi....
Nadhani unachanganya Roman empire na Kanisa Katoliki, Roman empire walitawala dunia kabla hayanya Yesu kuzaliwa na waliendelea kwa kipindi kadhaa baada ya Yesu,

Naomba ushahidi wa Kanisa kutawala Dunia
 
Ukitaka kujua mambo ya hizi dini iwe Uislamu au Ukristo basi usiwe muumini wao kuna vingi utajifunza kwa uhuru mkubwa bila kuegemea popote

Hivi ushawahi kujiuliza wakati wa uchaguzi wa Papa ule moshi mweupe unaotoka kwamba amekubalika unatokana na nini ? Hivi kwanini wanao ruhusiwa kumchagua papa ni Makadrinali tu ?
Kama primary goal ni kumtumikia Mungu kwanini hawa Makadrinali wapo wachache sana duniani ? Nadhani hawafiki 300 Afrika ikiwa sijui na watatu
Hivi ni vigezo gani hasa vinatakiwa kuwa Kadrinali ? Unafikiria kwanini viliwekwa hivyo vigezo ili kila padri asifanikiwe kuwa Kadrinali ?
Haya makanisa ya dunia yana muingiliano mkubwa sana na serikali zetu za kidunia kuliko hata lengo lao la awali la kuwaleta wanadamu karibu na Mungu

Vivyo hivyo kwa dini zingine
Umenikumbusha mbali sana mkuu,kuna mtu aliwahi kuniuliza "KWANINI TUNA MAWAZIRI WACHACHE WAKATI WABUNGE NI WENGI?"
 
Well, hilo jina limeanza around 16,17 th C huko ulaya. Waliodhani kuwa "Superior General" wa SJ ana nguvu kama pope. Arguments zao n kwa vile Pope anavaa cassock nyeupe na superior General anavaa cassock nyeusi. Nyingine ni vile Mara nyingi Pope akichaguliwa anakuwa kwenye kiti hicho mpaka afe, na pia kwa SJ superior General is also elected for life.
In short Black Pope is just a nickname to the SJ Superior General based on arguments as those few I have just explained.
Mkuu utapoteza muda wako..hata maana ya cassock hajui....Atakusumbua tuu...
 
Nyie watu mmejaa uongo...... hizo elimu zenu mmesomea wapi? au ni hulka ya watZ kuwa wasemaji wa kila jambo..... hakuna mkuu wowote wa shirika lolote anayechaguliwa for life! ulizeni muelimishwe!
Unachopinga hasa nini..???
 
Hawajawahi kabisa.....
Mdogo wake Bush anaitwa Jeb alibadili dhehebbu na kuwa mkatoliki kumfuata mkewe
na alikuwa anapewa nafasi kubwa ya kuwa mgombea wa Republican lakini kashindwa na Trump
ambae ndo dhehebu lile lile inalotoa marais marekani....

Makamu wa Rais wa Obama ..Joe Biden ni mkatoliki...hakugombea
Hata Makamu wa Sasa hivi wa Trump ni Mkatoloki
 
Kanisa katoliki walitawala dunia zamani hata Marekani haijavum buliwa
walikuwa wanatawala Ulaya na dumia kwa ujumla
kama umewahi sikia Roman Empire ...
Sasa waingereza walipoanza kupata nguvu wakajitenga ndo wakaanzisha kanisa lao
'Anglican Church....Anglo ndo English....
Wajerumani wakahamia Lutheran....nao ili wawe huru na Rome ambayo iko Italy na ndo Vatican
Wafaransa wakafanya mapinduzi ndo ikawa nchi ya kwanza kuwa na Rais...
ingawa wakabaki wakatoliki...

Waingereza waliokuwa wanampinga Mfalme wakapenda sana wazo la kuwa
Republic na kuwa na na Rais kama ufaransa
wakahamia USA.. USA zamani iliitwa 'New England'

historia iko ndefu na ina mengi....
Yani uongo wako umeuweka kijanja sana....
 
Nadhani unachanganya Roman empire na Kanisa Katoliki, Roman empire walitawala dunia kabla hayanya Yesu kuzaliwa na waliendelea kwa kipindi kadhaa baada ya Yesu,

Naomba ushahidi wa Kanisa kutawala Dunia
Hawezi kukupa huyo...
 
Vatcan ipo ndani ya mji wa Rome. Ni eneo ambalo alizawadiwa askofu ambaye ni pope na mfalme wa Italy. Alizawadiwa kama papa na si mtu binafsi kwa hiyo mpaka leo hii anayechaguliwa kua papa ndiye anayekua Raisi wa Vatcan na sio lazima awe Raia wa pale. Mfano papa francis yeye ni raia wa Argentina
 
Kanisa katoliki walitawala dunia zamani hata Marekani haijavum buliwa
walikuwa wanatawala Ulaya na dumia kwa ujumla
kama umewahi sikia Roman Empire ...
Sasa waingereza walipoanza kupata nguvu wakajitenga ndo wakaanzisha kanisa lao
'Anglican Church....Anglo ndo English....
Wajerumani wakahamia Lutheran....nao ili wawe huru na Rome ambayo iko Italy na ndo Vatican
Wafaransa wakafanya mapinduzi ndo ikawa nchi ya kwanza kuwa na Rais...
ingawa wakabaki wakatoliki...

Waingereza waliokuwa wanampinga Mfalme wakapenda sana wazo la kuwa
Republic na kuwa na na Rais kama ufaransa
wakahamia USA.. USA zamani iliitwa 'New England'

historia iko ndefu na ina mengi....
Mkuu Roman empire sio Roman Catholic Ile iliyiyotawala dunia ilikuwa political institution 27BC to 393AD hii nyingine ni religious institution. Hii mipango yake Mingi iko background hata wakisema inatawala dunia sio direct ni indirect na ukitraceback huwaoni unakutana na taasisi nyingine tu.
 
Vatcan ipo ndani ya mji wa Rome. Ni eneo ambalo alizawadiwa askofu ambaye ni pope na mfalme wa Italy. Alizawadiwa kama papa na si mtu binafsi kwa hiyo mpaka leo hii anayechaguliwa kua papa ndiye anayekua Raisi wa Vatcan na sio lazima awe Raia wa pale. Mfano papa francis yeye ni raia wa Argentina

Je watu wanapataje uraia wa Vatican wakati raia wa Vatican hawazai?
 
Vatcan ipo ndani ya mji wa Rome. Ni eneo ambalo alizawadiwa askofu ambaye ni pope na mfalme wa Italy. Alizawadiwa kama papa na si mtu binafsi kwa hiyo mpaka leo hii anayechaguliwa kua papa ndiye anayekua Raisi wa Vatcan na sio lazima awe Raia wa pale. Mfano papa francis yeye ni raia wa Argentina

Raia wa Vatican sio lazima aishi Vatican. Pope Francis ni raia wa Vatican hata kable hajawa Pope. Makardinali wote ni raia wa vatican
 
Mkuu Roman empire sio Roman Catholic Ile iliyiyotawala dunia ilikuwa political institution 27BC to 393AD hii nyingine ni religious institution. Hii mipango yake Mingi iko background hata wakisema inatawala dunia sio direct ni indirect na ukitraceback huwaoni unakutana na taasisi nyingine tu.

Kaka pia fanya masahihisho kidogo, hakuna ROMAN CHURCH bali kuna CATHOLIC CHURCH
 
haya yakianza kuongelewa watu watakuja juu lakini ndio uhalisia, kila kinachotokea hakitokei kwa bahati mbaya ila ni calculation za hakika zenye malengo maalumu ambayo walengwa wanayafahamu na wapo wasiofahamu. kuna watu wanafikiri ugaidi umeletwa na ndugu zetu waislamu laiti wangejua hata agenda inayopelekea middle east na islamic countries kushambuliwa, watu wangezidi kumuomba Mungu atuokoe dhidi ya huu udhalimu
mkuu inaelekea una nyeti embu funguka plse very potenteo
 
Back
Top Bottom