Subscribe Uzi, nitakuita. Tuombe uzima.Mkuu kama unachukua mawazo yangu kweli nimedanganya,
Kama vip soma afu kausha, mmi mwenyewe ni muRC ila dunia imebadilika sana ndugu yangu
Things are not the same they used to be.
Habari yako umeiongea kwa dhana sana kila sentensi, ina nadhani, hebu ongea kwa kujiamini shusha factUkitaka kujua mambo ya hizi dini iwe Uislamu au Ukristo basi usiwe muumini wao kuna vingi utajifunza kwa uhuru mkubwa bila kuegemea popote
Hivi ushawahi kujiuliza wakati wa uchaguzi wa Papa ule moshi mweupe unaotoka kwamba amekubalika unatokana na nini ? Hivi kwanini wanao ruhusiwa kumchagua papa ni Makadrinali tu ?
Kama primary goal ni kumtumikia Mungu kwanini hawa Makadrinali wapo wachache sana duniani ? Nadhani hawafiki 300 Afrika ikiwa sijui na watatu
Hivi ni vigezo gani hasa vinatakiwa kuwa Kadrinali ? Unafikiria kwanini viliwekwa hivyo vigezo ili kila padri asifanikiwe kuwa Kadrinali ?
Haya makanisa ya dunia yana muingiliano mkubwa sana na serikali zetu za kidunia kuliko hata lengo lao la awali la kuwaleta wanadamu karibu na Mungu
Vivyo hivyo kwa dini zingine
Nakubaliana na wwe mkuu TB
Labda ndio sababu Wamerikani hawajawah kumchagua Rais mkatoliki ukiacha JF Kenedy alieuwawa na Joh Biden ndie makamu wa rais wa kwanza wa USA mkatoliki,
Pamoja na maelezo yote hayo kanisa hailwezi kuongoza dunia kama ilivyokuwa zamani..sasa ivi dunia imebadilika sana na kanisa limepoteza ushawish kwa jamii kubwa sana ulimwenguni, kwa sasa kuna 11 families which runs the world, hawa wanainfuence kubwa kwenye energy, Food, and Medicine......
Umafia wa kanisa Catholic umezidi kudhibitiwa vilivyo na haya mambo.
Haya mambo yanahtaji critical thinking ya hali ya juu...kwa taarifa yako Papa ndo kila kitu pale Marekani....vita na vurugu kwenye nchi za kiislamu ni matokeo ya secret influence....trump ndo alipangwa kuchukua nchi cse sasa marekani inatakiwa iende kijieshi zaidi, na mtu mbabe ndo alitakiwa CIA, FBI, na vyombo vingine vya usalama vilimtaka trump.....hata hvyo yote haya ni kutimiza malengo ya vatican..... Mambo ya kidini ndo yanayoyumbisha watu...siasa ni battle groundKanisa halina nguvu yyt mkuu, hizi unazoskia eti Rais wa nchi fulani ametokana na amri ya Vatican ni uzishi tu.
Vatican haina mamlaka yyt ktk nchi yyt zaidi ya kanisa lake kaka.
They don't knowHaya mambo yanahtaji critical thinking ya hali ya juu...kwa taarifa yako Papa ndo kila kitu pale Marekani....vita na vurugu kwenye nchi za kiislamu ni matokeo ya secret influence....trump ndo alipangwa kuchukua nchi cse sasa marekani inatakiwa iende kijieshi zaidi, na mtu mbabe ndo alitakiwa CIA, FBI, na vyombo vingine vya usalama vilimtaka trump.....hata hvyo yote haya ni kutimiza malengo ya vatican..... Mambo ya kidini ndo yanayoyumbisha watu...siasa ni battle ground
Nimejifunza kitu kwenye post yako. Nikuulize, USA haijamchagua Rais mwingine mkatoliki baada ya JFKKanisa katoliki liko na influence kila sehemu
ndo maana Marekai walikuwa wanalipiga sana vita
Kennedy ndie Rais wa kwanza Marekani mkatoliki..
na hata kwenye kampeni zake aliwabembeleza sana wamarekani wamuamini
Hofu ya wamarekani wengi ni Rais mkatoliki kumsikiliza sana Pope na hatari zake
Kihistoria nchi zenye wakatoliki wengi zikipata Rais anesikiliza sna Vatican basi hata uhuru
wa wananchi huwa mashakani....
Kanisa katoliki lina historia chafu sana ya kulinda madikteta wakatoliki dunia nzima
na kutumiwa kwenye siasa za nchi fulani fulani mfano halisi Pope John Paul II
alivyotumika na Marekani huko Poland.....
haya yakianza kuongelewa watu watakuja juu lakini ndio uhalisia, kila kinachotokea hakitokei kwa bahati mbaya ila ni calculation za hakika zenye malengo maalumu ambayo walengwa wanayafahamu na wapo wasiofahamu. kuna watu wanafikiri ugaidi umeletwa na ndugu zetu waislamu laiti wangejua hata agenda inayopelekea middle east na islamic countries kushambuliwa, watu wangezidi kumuomba Mungu atuokoe dhidi ya huu udhalimuHaya mambo yanahtaji critical thinking ya hali ya juu...kwa taarifa yako Papa ndo kila kitu pale Marekani....vita na vurugu kwenye nchi za kiislamu ni matokeo ya secret influence....trump ndo alipangwa kuchukua nchi cse sasa marekani inatakiwa iende kijieshi zaidi, na mtu mbabe ndo alitakiwa CIA, FBI, na vyombo vingine vya usalama vilimtaka trump.....hata hvyo yote haya ni kutimiza malengo ya vatican..... Mambo ya kidini ndo yanayoyumbisha watu...siasa ni battle ground
Naona unaongozwa kwa hisia zaidi.Haya mambo yanahtaji critical thinking ya hali ya juu...kwa taarifa yako Papa ndo kila kitu pale Marekani....vita na vurugu kwenye nchi za kiislamu ni matokeo ya secret influence....trump ndo alipangwa kuchukua nchi cse sasa marekani inatakiwa iende kijieshi zaidi, na mtu mbabe ndo alitakiwa CIA, FBI, na vyombo vingine vya usalama vilimtaka trump.....hata hvyo yote haya ni kutimiza malengo ya vatican..... Mambo ya kidini ndo yanayoyumbisha watu...siasa ni battle ground
Umenielewa lakini nilivyosema au umekrupuka tuuu? Narudia hv haya mambo huwezi ukayaelewa kwa mtazamo wa nje wa haraka haraka....yana siri nzito...nguvu ya papa haitegemei wingi wa waumini wake sehemu husika...yeye popote pale akienda hupokelewa kama mfalme..na uchaguzi wa papa ndo wenye nguvu kupita uchaguzi wowote duniani......!! Usitegemee kuwa anapewa nguvu na nchi maskini kama tz...mataifa makubwa yanampa nguvu kurudisha level aliyopoteza zaman...na USA ndo mpango mzima...nchi zingine ni kuhakikisha tu raisi mkatoliki ndo anatawalaNaona unaongozwa kwa hisia zaidi.
Papa ni nani hasa marekani?
Unajua wakatoliki ni asilimia ngapi pe marekani??
Acha hisia za kitoto
Uongozi mzima wa nchi ni wa watawa, hao ndiyo wanasomea sheria, afya, elimu, engineering, huduma za jamii na vinginevyo. Askari wanaomlinda Pope lazima wawe wakatoliki. wengine wataendelea.
Oh asante mkuu kwa hiyo inapotokea ukatoka ule moshi mweusi maana yake ni nini ? Hajapatikana sio ? Hajapatikana kwa misingi ipi ? Wanaopigiwa kura kuwa papa si wale Makadrinali ? Kwanini mmoja moshi utoke mweupe na mwingine mweusi ?Mkuu ngoja nikueleweshe kidogo mosi suala la moshi kwanza moshi ule mweupe ni ishara Kuwa Papa kapatikana katika kile kipindi wanapofanya uchaguzi Najua Unajua kuna baadhi ya vitu vikichomwa moto hutoa moshi wenye rangi Fulani aidha mweusi ambao ni komoni au rangi yoyote ile ule ni utaratibu ambao Kanisa wamejiwekea kuwa moshi ule mweupe ni ishara kuwa humo ndani mambo ni mazuri na Kiongozi kapatikana pia kanisa lina mfumo na taratibu zake kufikia cheo cha juu hasa kadrinali kwa padri kwahiyo Kuwa wachache au wengi haiathiri wala haipunguzi chochote katika kanisa!!
Kama ambavyo lilitawala dunia kipindi hiko litarudi tena kutawala dunia. Na hizi families ndio zitalirudisha utawala wao. Wanafanya kazi ya hili kanisa chini chini. Soon you will know about this. Just jaribu kuangalia matamko yatakayokuwa yanatolewa na Pope kuanzia now and you will see how many followers atapata. Si umeona juzi kasema Talaka ruksa!! Yaani maaguzi ya Mungu yanapangiwa cabinet dunianiNakubaliana na wwe mkuu TB
Labda ndio sababu Wamerikani hawajawah kumchagua Rais mkatoliki ukiacha JF Kenedy alieuwawa na Joh Biden ndie makamu wa rais wa kwanza wa USA mkatoliki,
Pamoja na maelezo yote hayo kanisa hailwezi kuongoza dunia kama ilivyokuwa zamani..sasa ivi dunia imebadilika sana na kanisa limepoteza ushawish kwa jamii kubwa sana ulimwenguni, kwa sasa kuna 11 families which runs the world, hawa wanainfuence kubwa kwenye energy, Food, and Medicine......
Umafia wa kanisa Catholic umezidi kudhibitiwa vilivyo na haya mambo.
Soma historia vizuri then urudiKanisa Katoliki halijawahi kuongoza Dunia
Ukitaka kujua mambo ya hizi dini iwe Uislamu au Ukristo basi usiwe muumini wao kuna vingi utajifunza kwa uhuru mkubwa bila kuegemea popote
Hivi ushawahi kujiuliza wakati wa uchaguzi wa Papa ule moshi mweupe unaotoka kwamba amekubalika unatokana na nini ? Hivi kwanini wanao ruhusiwa kumchagua papa ni Makadrinali tu ?
Kama primary goal ni kumtumikia Mungu kwanini hawa Makadrinali wapo wachache sana duniani ? Nadhani hawafiki 300 Afrika ikiwa sijui na watatu
Hivi ni vigezo gani hasa vinatakiwa kuwa Kadrinali ? Unafikiria kwanini viliwekwa hivyo vigezo ili kila padri asifanikiwe kuwa Kadrinali ?
Haya makanisa ya dunia yana muingiliano mkubwa sana na serikali zetu za kidunia kuliko hata lengo lao la awali la kuwaleta wanadamu karibu na Mungu
Vivyo hivyo kwa dini zingine
Na hili kanisa ndilo limemweka Magufuli madarakani.Kanisa katoliki liko na influence kila sehemu
ndo maana Marekai walikuwa wanalipiga sana vita
Kennedy ndie Rais wa kwanza Marekani mkatoliki..
na hata kwenye kampeni zake aliwabembeleza sana wamarekani wamuamini
Hofu ya wamarekani wengi ni Rais mkatoliki kumsikiliza sana Pope na hatari zake
Kihistoria nchi zenye wakatoliki wengi zikipata Rais anesikiliza sna Vatican basi hata uhuru
wa wananchi huwa mashakani....
Kanisa katoliki lina historia chafu sana ya kulinda madikteta wakatoliki dunia nzima
na kutumiwa kwenye siasa za nchi fulani fulani mfano halisi Pope John Paul II
alivyotumika na Marekani huko Poland.....
Naona unataka kunipeleka kwenye uchokozi mkuu mimi sipo hukoView attachment 435037Na hii hapa inamaanisha nini mkuu??
Mungu mwenyeweNaona unataka kunipeleka kwenye uchokozi mkuu mimi sipo huko
Ngoja tuwaache wenye dini zao ziwe Uislamu au Ukristo
Imani ni jambo la hatari sana na mimi naheshimu imani za kila mmoja