Natamani kujua ushawishi wa kanisa katoliki katika utawala na usalama wa dunia

Natamani kujua ushawishi wa kanisa katoliki katika utawala na usalama wa dunia

Kanisa Katoliki ndio taasisi pekee ya kale duniani inayoishi mpaka sasa na haionyeshi dalili zozote za kuporomoka. Dola na falme mbalimbali za dunia zimekuja, zimemea na kunyauka, na kuliacha Kanisa Katoliki na ujana wake ule ule.

Kanisa Katoliki pekee duniani lenye mnyororo wa uongozi usiokatika, kutoka Petro yule mvuvi maskini mpaka leo hii huyu Fransisko.

Ni Kanisa Katoliki pekee hapa nchini lenye raia mwenye uraia wa nchi mbili. Mwadhama Pengo husafiria pasipoti ya Vatikani badala ya Tanzania. Sio katiba wala sharia zinazoweza kumzuia.

Ni Kanisa Katoliki pekee ambalo lenyewe ndio la Kwanza kuwa na chuo kikuu duniani.

Ni Kanisa Katoliki pekee duniani ambalo limeweza kufanya kazi na tawala za kidikteta kama Hitler, tawala za ubaguzi wa rangi kama Afrika Kusinini, wajamaa kama Tanzania, Mabepari kama Kenya nk

Ni Kanisa Katoliki pekee ambalo linaweza kuukataa mwaliko wa rais wa nchi kama Kikwete na kuukubali mwaliko w Mwadhama kardinali kutembelea nchi husika.

Ni Kanisa Katoliki pekee ndilo linaamua Krismasi iwe tarehe 25 Desemba na sio vinginevyo. Na Tanzania tuwe na mapumziko Jumatatu ya Pasaka wakati hakuna sherehe au sikukuu inayoitwa hivyo.

Ukitaka kujua nguvu ya Kanisa Katoliki tafuta maana na maneno haya "Ecclesia in Unum, Sanctus, Catholicum et Apostolicum

nk .nk nk. nk.
Naomba nijuzwe upapa wa Petro tafadhali.
 
Duh!yaani wamarekani hawautaki na kuuogopa ukatoliki na hata Kennedy aliwasihi wamuamini hawakumwelewa,tena wamarekani hao hao wasioupenda ukatoliki wamtumia pope jonh paul II mpoland against poland?!!!!poland ni nchi au kijiwe cha saigon?catholic church ni baraza ya kahawa huko gerezani?
Umeelewa juu juu, one day utajua.
 
Kama ambavyo lilitawala dunia kipindi hiko litarudi tena kutawala dunia. Na hizi families ndio zitalirudisha utawala wao. Wanafanya kazi ya hili kanisa chini chini. Soon you will know about this. Just jaribu kuangalia matamko yatakayokuwa yanatolewa na Pope kuanzia now and you will see how many followers atapata. Si umeona juzi kasema Talaka ruksa!! Yaani maaguzi ya Mungu yanapangiwa cabinet duniani
Talaka ruksa toka lini?
 
Tatizo huu uzi watu wanataka hisia zitawale zaidi kuliko uhalisia. Ukitaka kujua ukweli, weka hisia za kidini pembeni.
 
hakuna swali hapo

cardnali ni mkuu waapadre wote ktk nchi husika na huchaguliwa miongoni mwa maaskofu,kwahiyo katika nchi ndie mkuu wa kanisa katoliki hapo na ndio mwakilishi wa papa katika nchi husika.

vigezo vya kuchaguliwa vinaambatana na utendaji uliotukuka,uadilifu n.k kwakuwa cardinali huteuliwa na papa baada ya kufanyika uchunguzi wa kutosha juu ya majina yanayoependekezwa,kumbuka rome pia ina watu wa ujasusi waliobobea kabisa,wao ndio finally wanakubali kuwa fulani anafaa baada ya kujiridhisha na uchunguzi.
Katika uongozi wa kanisa hakuna kiongozi wa kanisa katika nchi, kila jimbo ni huru kikanisa na askofu wake hawajibiki kwa yeyote isipokua kwa papa.
Na kama kuna suala la kanisa kinchi rais wa baraza la maaskofu ndio atakayeongoza maaskofu wenzie kufanya maamuzi na kueleza msimamo wa kanisa kinchi sio kadinali.
Kadinali ni mshauri wa papa sio kiongozi wa kanisa kwenye nchi husika na mtu yeyote aliyefikia daraja ya ushemasi anaweza kuteuliwa kuwa kardinali sio lazima awe askofu.
Na jambo jingine nchi moja inaweza kuwa na makardinali zaidi ya mmoja na nchi inaweza pia isiwe na kardinali mfano Italy INA makardinali wengi huwezi sema wote ni viongozi wa nchi wa kanisa hapana.
Na nunsio(balozi wa papa) kwenye nchi husika ndio anamwakilisha papa kwa nchi husika na sio kardinali
 
Mbukwenyi. Jf

Wajuvi wa mambo wanijuze maana ninavyojua mimi kanisa katoliki duniani lina serikali yake katika mji wa Vatican nchini italia, na lina kiongozi wake mwenye wadhifa wa urais au zaidi kutokana na kuongoza watu kutoka nchi tofauti duniani kitu ambacho sio rahisi kwa rais, lakini kwa lugha ya kikatoliki kiongozi huyo anaitwa Papa (pope) swali langu je nini nguvu ya kanisa hilo kwa tawala na usalama wa dunia? je mfumo upi wa serikali yake? wakuu nisaidieni
Catholics kila kona wana ushawishi....Marekani waliwachukia sana wakatoliki sababu Papa alisupport Confederates wakati wa civil war....in the end they had a common enemy...cold war....they had to work together
 
Umeonywa ktk Mathayo 23:9, msimwite mtu yeyote baba duniani.
Kama hao mapapa ni baba watakatifu, wanawezaje kupingana na Mungu eti anabadilisha Amri kumi za Mungu,, Can't u think great?
Imani yangu inaniruhusu kumuita hivyo na wewe imani yako haikuruhusu kumuita hivyo: so, kila mtu abaki na imani yake huwezi kunibadilisha asilani
 
Hatupendi kujibu wala kubishana!
Ni bora tufundishane.

Tutajibu kutokana na kiwango cha hoja yako.

Mtu yeyote akizungumzia suala la Israeli "Huitwa Anti-Semites." Yaani chuki dhidi ya Wasemaiti.

Hili sio suala la Imani wala dini. Hili ni Suala la "Haki za Kinaadamu".
Na mpaka sasa kitu ambacho kinatishia Taifa la Israeli ni wananchi wake wenyewe ambao wameshaanza kujua ukweli na wanalipinga Taifa hilo kwa sera zao za UbaguZi. Sauti hizi zinazosema Ukweli ndizo sasa zinatakiwa.

Suala la Intelijensia. China na Urusi ndio wanajua sana ukweli na hatari ya Israel hapa Afrika. Historia itazungumza. Tunatumaini Maofisa wetu wako macho kwa hilo.

Waisraeli hawana Teknolojia yeyote, wao pia hununua au kuchukua Udau. Ni nchi inayegemea misaada kutoka Marekani.

Wakati tuliposimama tukiwapinga Makaburu na sera zao za Ubaguzi, hatukuangalia dini zao.

Harakati ni hizi hizi.

Umoja wa nchi za Afrika zimezumgumzia Ubaguzi huu. Umoja wa Mataifa. Wanaharakati wote duniani pamoja na Amnesty International pia wanalizungumzia suala hili.

Sidhani kama Watanzania wanajua ni nini kinachoendelea huko Palestina. Tunaomba muende mukaone na macho yenu. Yeyote yule anakwenda huko, na kuonda udhalimu wa hali ya juu, huwa wanabadilisha fikra zao juu ya Israel.

Israel imekuwa chanzo cha matatizo yote, kutokuwa na amani Mashariki ya Kati.

Mgomo baridi ndio njia pekee ya Amani itayoweza kuifanya Israel iheshimu sheria za Kimataifa na kutokomeza Ubaguzi na kuwapa waPalestina haki zao.

Kuhusiana na Obama, sasa ndio ndugu yetu ataanza kufanya kazi yake sawa sawa, na tunategemea atafuata nyayo za akina Mwl Nyerere, Mandela na Jimmy Carter kwenye suala la kutafuta haki za wanyonge huko Palestina.


0d1c610d175e93a11651da4537a2ea09.jpg
 
Mkuu ngoja nikueleweshe kidogo mosi suala la moshi kwanza moshi ule mweupe ni ishara Kuwa Papa kapatikana katika kile kipindi wanapofanya uchaguzi Najua Unajua kuna baadhi ya vitu vikichomwa moto hutoa moshi wenye rangi Fulani aidha mweusi ambao ni komoni au rangi yoyote ile ule ni utaratibu ambao Kanisa wamejiwekea kuwa moshi ule mweupe ni ishara kuwa humo ndani mambo ni mazuri na Kiongozi kapatikana pia kanisa lina mfumo na taratibu zake kufikia cheo cha juu hasa kadrinali kwa padri kwahiyo Kuwa wachache au wengi haiathiri wala haipunguzi chochote katika kanisa!!
Hata jeshi letu lina majenerali wachache sana, vyeo havitolewi kama njugu.
 
Naomba nijuzwe upapa wa Petro tafadhali.
Petro ndio mwamba na juu ya mwamba ule ndipo kanisa linapojengwa.

Petro Mwamba ndio kielelezo cha Ukatoliki duniani kote, Pope/Papa/ Baba mtakatifu call him whatever u may call yeye ndio alama ya wakatoliki, na cheo cha Papa tafsiri yake kwa wakatoliki ni mrithi wa nafasi ya Petro Mwamba ambaye alinyongwa na ndio maana kila Papa anayeingia kurithi hiyo nafasi ana uhuru wa kuchaguwa jina na upope wake.

Ukitaka kufanya ubishani kama wale waislamu walioishia darasa la nne jukwaa hili halitokuwa na manufaa kwako.

Labda jiulize tu kiongozi mkuu wa mabohora anajurikana, Aghakhan wa Ismailia tunamjuwa je kiongozi mkuu wa sunni ni nani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaa hiz dini nyingine ni hatari hv petro alishawahi kua pope kumbee
 
Na hili ndio maana niliwaambia wakati wa uchaguzi kuwa lowassa hawezi kushinda it's not about kwamba yeye sio chadema au CCM hapana Ni kwasababu yeye Ni MPROTESTANT nchi hiinitatawaliwa na muislamu na mkatoliki mpka mwisho wa dahari!!
At the end of the day watatawala tena dunia only few watabaki fighting but ilishatabiriwa hata kwa kitabu cha Daniel kwa Ile sanamu kuwa ule utawala wa kuvaa mavyuma mwilini (Roma) watarudi but YESU atarudi kuvuruga huu utawala.
NB: ( msije na hisia za udini HAPA someni na muelewe na pia mkasome na historian bila kichwa chako kukieweka kwneye imani yoyote ndio utaelewa)
Mnafiki uliyejivua ufahamu
 
Mtu yuko nyuma ya keyboard anatype hivi 'Kuna mipango ya siri kubwa ambazo zimefichwa kiutaalam... afu anakudadavulia hizo siri. And you'll be like WTF!!!

Kuna mzungu alipata kusema 'Thinking is hard..That is why people judge..
 
Mbukwenyi. Jf

Wajuvi wa mambo wanijuze maana ninavyojua mimi kanisa katoliki duniani lina serikali yake katika mji wa Vatican nchini italia, na lina kiongozi wake mwenye wadhifa wa urais au zaidi kutokana na kuongoza watu kutoka nchi tofauti duniani kitu ambacho sio rahisi kwa rais, lakini kwa lugha ya kikatoliki kiongozi huyo anaitwa Papa (pope) swali langu je nini nguvu ya kanisa hilo kwa tawala na usalama wa dunia? je mfumo upi wa serikali yake? wakuu nisaidieni
Vatican na united states n ki2 kimoja wale,walishirikiana kuididimiza russia 1980
 
Ule moshi ni ubani unaochomwa makanisan kila kukitoa Na ibada. Kadinaly ni cheo Kikubwa sana kwenye kanisa.
 
Ukitaka kujua mambo ya hizi dini iwe Uislamu au Ukristo basi usiwe muumini wao kuna vingi utajifunza kwa uhuru mkubwa bila kuegemea popote

Hivi ushawahi kujiuliza wakati wa uchaguzi wa Papa ule moshi mweupe unaotoka kwamba amekubalika unatokana na nini ? Hivi kwanini wanao ruhusiwa kumchagua papa ni Makadrinali tu ?
Kama primary goal ni kumtumikia Mungu kwanini hawa Makadrinali wapo wachache sana duniani ? Nadhani hawafiki 300 Afrika ikiwa sijui na watatu
Hivi ni vigezo gani hasa vinatakiwa kuwa Kadrinali ? Unafikiria kwanini viliwekwa hivyo vigezo ili kila padri asifanikiwe kuwa Kadrinali ?
Haya makanisa ya dunia yana muingiliano mkubwa sana na serikali zetu za kidunia kuliko hata lengo lao la awali la kuwaleta wanadamu karibu na Mungu

Vivyo hivyo kwa dini zingine
Mkuu umenena uongo
 
Back
Top Bottom