Natamani kujua utamu wa pombe!!!

Namvuta sana na anakuja vizuri sana [emoji16][emoji16][emoji16] Putin kumbe hunywi pombe kwahiyo kama haunywi mbebez wako kama anakunywa humruhusu kunywa
Hahahah najua yeye kuiacha mara moja ningumu hasa km ameshakua addicted , lkn kila siku nitajitahidi sana kuhakikisha anapunguza mpaka kufikia kutokunywa kabisa nahapo sitomruhusu tena anywe.

Mtu anayekupenda ,nisharit abadilike kwa ajili yako, sasa ni wewe au yeye wakubadilika. ...lkn mabadiliko yaliyo bora, niyale ambayo yatatoka sehemu isokuamuhimu nakuja katika sehemu iliyomuhimu.

Shida yangu nimoja, Huwa sitaku visingizio yaan "Baby samahan ,sababu ya pombe ndomaana nilikujibu ovyo..nilikukatia simu....ohooo nilikutukana..ohoooo pombe ndo ilifanya nikusaliti"" ..... Hizi mambo huwa sizitaki sababu mimi nimgumu kusamehe .

Kwaiyo huwa nataka mtu afanyaye mambo kwa akili yake tumamu masaa 24 kila siku..ili anapokosea iwe rahisi kujutia nakujua wapi alikosea!!.
 
That was my view, muda mwingi utajikuta ni umbea na duu, mmegombea remote, mwisho wa siku unajikuta unafatilia vipindi vya Telemundo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]aisee!wasiokunywa pombe wanaume Mara nyingi wanakua vitombi balaaa!!!

Nikiskia mtu halewi najua ni player huyo 75% hachomoki!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]aisee!wasiokunywa pombe wanaume Mara nyingi wanakua vitombi balaaa!!!

Nikiskia mtu halewi najua ni player huyo 75% hachomoki!
Nikweli , Mimi kila napopata wasaa wa kupumzika na mwanamke wangu mara nyingi lazima tufanye sex.
 
Wewe ukitaka kuhakiki angalia alivyoanza kuzungumzia Shunie anakunywa, nani wake hanywi, wanawezaje so and so.

[HASHTAG]#nothingpersonal[/HASHTAG], just my opinion.
[emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]wanakuwaga wana gubu pia...!!anakusemanga mpk baasi!

Bora anywe tu ila nna bahati mbaya wale wabebz wangu hawanywi[emoji28][emoji28] ila chini balaaa!!hatariiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…