Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi situmii mkuuu ...Hahahahaha.. wananzengo lol mwanza moja..... thanks God Smart911 wangu jamani... thanks once again.
mkuu vlad vipi weye unatumia??
kweli ndege wafananao aseeehhh
Kwa kweli ,asikuambie mtu, raha ya mapenzi ni nyokoooo yaan haina kipimooo.[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3]mapenzi matamu mkipendana kweli
Aahh so ili kuepukane nahayo basi nilazima uwe unatoka nakwenda kunywa pombe?.
Baadhi ya mambo ni tabia, natabia huwa haijalishi unakunywa pombe au lah ... Kwanza asilimia kubwa ya wanandoa wanywao pombe , magonvi yao mengii hutokana na pombe.
Na kwamwanamme mkamilifu huwezi kaa ugombane na mwanamke wako kwa mambo madogo madogo km hayo na unaakili timamu ambayo haijachanganywa na ulevi!!.
Mimi nmeshudia magonvi mengi. Baba mnywaji kumpiga/kumtukana mkewe ,kisa amechelewa kumfungulia mlango ,au kisa Chunvi imezidi ktk mboga , akati anasahau Pombe ilimpunguzia uwezo wa utendaji kazi.
Yes sure.. Ni mtu na mtu mkuu!!Cool...
Mwisho wa siku ni mtu na mtu, it aint a general rule.
[emoji119][emoji119][emoji119]Kiboko kabisa. Marafiki zetu wanatutaniaga tutoke tukanywe ila kununua bia mwisho 10 baada ya hapo kila mtu ajinunulie maana wengine wana matank tumboni.
Mi inategemea na hiyo siku kichwa kikoje. Kuna siku bia sita nalewa siku zingine hata 12 silewi [emoji23][emoji23][emoji23]. Hasa nikianza mchana ndo silewagi
Niko jiji la makonda lakini huku pembezoni [emoji23][emoji23][emoji23] Lazima niwatafute mmenipa amsha amsha sana nyie viumbeWewe tu mama. Kama uko jiji la Makonda inawezekana
Hahaaaa sasa shemeji yako anaanzaje kunibaka lakini?? [emoji23][emoji23][emoji23] mimi si mali yakeUnabakwa haki tenaa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]
Nikinywa za moto ndio naamka nazo lakini ile inayoshusha jasho nakuwa fresh tu [emoji23][emoji23]Kuna wengine wanaamkaga wagonjwa kabisa.
Angalia usikimbie Bill [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizo nne nasukutuaNaomba siku hiyo niungane na ninyi.
Bia 4 za mwanzo mnajilipia, atakayevuka nalipa mimi.
Wewe utazikosa wallah vileee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khaaa Don jamani kwa nn usitulipie hizo 4 za mwanzo
Niko jiji la makonda lakini huku pembezoni [emoji23][emoji23][emoji23] Lazima niwatafute mmenipa amsha amsha sana nyie viumbe
Wewe utazikosa wallah vileee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana utakuwa umesoma vibaya wapi nimesema mimi mlevi???Kumbe we kalevi..[emoji113]
Yani naombeni mnitaarifu msinisahau tafadhali [emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia usikimbie Bill [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizo nne nasukutua
Usijali [emoji23][emoji23][emoji23]w.end moja tujumuike pamoja!
Unga tela tu [emoji23]