sweetlee
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 4,050
- 14,770
Hiyo kauli ya mwisho ndio muhimu kuliko zote [emoji106]Walevi hawakatai kampani mkuu.
The same rules, what happens in Vegas stays in Vegas.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kauli ya mwisho ndio muhimu kuliko zote [emoji106]Walevi hawakatai kampani mkuu.
The same rules, what happens in Vegas stays in Vegas.
Jaribu pombe haina shidaEti wananzengo sijawahi kunywa hata kizibo(sijisifii) ila watu wangu wa karibu wengi wao wanywaji wazuri tu.
Kuna muda natamani kuonja ila nafsi inagoma kabisaa yaani!
Utakuta nimekaa na washkaji wananishawishi ila najikuta nagoma hii imenifanya mara nyingi sipendi kutoka usiku sana kwa kua silewi maana utakuta miye peke yangu nanywa maji sana tu au Bavaria kampani yote wao watumia vilevi!
Nishawishini walau nioje siku moja tu halafu nisinywe tena maana wengi wanasifia pombe tamu!walau tu nionje na miye kaaahh!
Huku Pwani. Jumapili [emoji15][emoji15][emoji15]Pembezoni ndio wapi huko jumapili tunakutana tutamfundisha na huyo mleta thread akunywe
Hapo sawa. Wacha mfungo uishe kwanza nirudi mjini [emoji23][emoji23]Kama mfuko umebana natoa udhuru, sikimbii bill mimi.
Hahah..! Pole ila binafsi nikiona mwanamke anajivunia kunywa pombe basi huwa naona ni mlevi kabisa.Hapana utakuwa umesoma vibaya wapi nimesema mimi mlevi???
Wooooooooozeeeeeeeerrrrr[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Walevi nyoyo zao zipo mruaaa kwa hii mada.
cc: Mzigua90, Cha mdeko, Shunie na wengineo.
Uko huru kuwaza vyovyote vile hata zaidi ya hilo. Uzuri yanabaki ni mawazo yako.Hahah..! Pole ila binafsi nikiona mwanamke anajivunia kunywa pombe basi huwa naona ni mlevi kabisa.
Ndiwoooo jumapili hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huku Pwani. Jumapili [emoji15][emoji15][emoji15]
Kwani ukiwa mlevi kuna mtu anakulisha humu jfHapana utakuwa umesoma vibaya wapi nimesema mimi mlevi???
Doh hii mtanikosa [emoji23][emoji23]Ndiwoooo jumapili hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe siku nyingine au hiyo ya offer ya DonDoh hii mtanikosa [emoji23][emoji23]
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] let me be chapombe kabisaaaa uzuri nanunua na hela yangu. [emoji8]Kwani ukiwa mlevi kuna mtu anakulisha humu jf
Nadhani nitapatikana kwenye offer ya Don [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe siku nyingine au hiyo ya offer ya Don
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] let me be chapombe kabisaaaa uzuri nanunua na hela yangu. [emoji8]
Nadhani nitapatikana kwenye offer ya Don [emoji23]
[emoji106][emoji106][emoji8]Ewaaaa
Hayo ndio maneno acha wengine wafikirie wanavyofikiria
ila wanywaji a.k.a walevi mna vituko sana...nimesoma page moja nimeshalewa kwa comments zenu
Nataka nikuone utavuka kigingi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuisubirie hiyo ya Don [emoji16]
[emoji106][emoji106][emoji8]