Natamani kujua utamu wa pombe!!!

Hahahahaha.. wananzengo lol mwanza moja..... thanks God Smart911 wangu jamani... thanks once again.

mkuu vlad vipi weye unatumia??
kweli ndege wafananao aseeehhh
Mimi situmii mkuuu ...

Mimi nimsukuma mmoja wa ndani ndani hukooo ushamba mwingiiiii[emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi aiseee kutoka moyon mwangu nawakubali sana ingawa najikubali sana mwenyewe..


Lkn Sure wewe na smart nawakubali kichizi 100% . Ndio maana unaona nawataja..mpo Really sana, ingawa hamna barabara ilonyooka , ila Guys endeleen kua ivo ivo ...mnawasomesha namba watu humu mpaka basiiiii...endeleen kuwasomesha aiseee


Izi zenu izi Cc smart911 ......Cc Mahondaw ..hahahahaha nyie vijana nyinyi. Aiseeeee furaha yangu niendelee kuziona izo Cc ...mimi hata mkigombana, kwaheshima na taazima naomba mrudiane haraka iwezekanavyo kabla sijawatia bakora!!!

Mpo really, hamchoshi wala hamboi ...

mahondaw

Smart911
 

Cool...

Mwisho wa siku ni mtu na mtu, it aint a general rule.
 
[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…