Kiboko kabisa. Marafiki zetu wanatutaniaga tutoke tukanywe ila kununua bia mwisho 10 baada ya hapo kila mtu ajinunulie maana wengine wana matank tumboni.Doh doh huyo kiboko kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe mwisho ngapi?
Dada yako Geniveros kapotelea wapi mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli umechokaMaswali yako yananichosha watakujibu wengine
huwezi kushinda baa kamweNa stress hizi ntashinda baa walahi tena
Wewe tu mama. Kama uko jiji la Makonda inawezekanaChizi wewe [emoji23][emoji23]
Nataka siku moja tuzungushe round mnanivuta nyie viumbe mjue [emoji23]
Tchao[emoji108] ... Shunie wa Davet huyooo hahaha.Umeelewa vipii hapo kwa mfano soma vizuri halafu ndio uulize habari za davet Kama ni mnywaji au nisinywe bila yeye
Kama mimi jamani nikilewa ntaongeaa. Ntachekesha watu [emoji23][emoji23][emoji23]Anaongea balaas[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]utafurahi shooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli umechoka
Ukifanikiwa kuepuka "Kilevi" chochote mshukuru Mungu.Endelea kunywa maji mkuu.Eti wananzengo sijawahi kunywa hata kizibo(sijisifii) ila watu wangu wa karibu wengi wao wanywaji wazuri tu.
Kuna muda natamani kuonja ila nafsi inagoma kabisaa yaani!
Utakuta nimekaa na washkaji wananishawishi ila najikuta nagoma hii imenifanya mara nyingi sipendi kutoka usiku sana kwa kua silewi maana utakuta miye peke yangu nanywa maji sana tu au Bavaria kampani yote wao watumia vilevi!
Nishawishini walau nioje siku moja tu halafu nisinywe tena maana wengi wanasifia pombe tamu!walau tu nionje na miye kaaahh!
Msimfanyie hivyo mwanafunzi wetu jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm ndio asiniulize maswali yake watamjibu wengine
Mimi simjibu tena [emoji6][emoji6]