Natamani kujua utamu wa pombe!!!

Natamani kujua utamu wa pombe!!!

[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]we waonja weye
sina hamu ya kunywa nitapiga nne nasepa zangu kulala ila nikijua natoboa mpaka asubuhi duuuh ndio balaa litaanzia hapo....
kuna siku mie na kaka yangu tulizima mazima pale coco bichi kuja kushtuka mornie simu zetu za tochi wamelamba
 
unaanza na nusu chupa mdogomdogo mpaka chupa nzima mwishowe chupa na nusu baada ya wiki 2 unajikuta unapiga mpaka chupa mbili mwenyewe ukifika mwezi unaweza bugia nne mpaka tano kwa siku
Na stress hizi ntashinda baa walahi tena
 
sina hamu ya kunywa nitapiga nne nasepa zangu kulala ila nikijua natoboa mpaka asubuhi duuuh ndio balaa litaanzia hapo....
kuna siku mie na kaka yangu tulizima mazima pale coco bichi kuja kushtuka mornie simu zetu za tochi wamelamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuzungushe tu hakuna namna namsumbua halafu ilikuwa saa 7 usiku kuona simu yangu akamute akaona naendelea tu kupiga ikabidi apokee tu yaani nikilewa salama ni upokee simu au uzime naweza nikakupigia mpaka asubuhi
Chizi wewe [emoji23][emoji23]

Nataka siku moja tuzungushe round mnanivuta nyie viumbe mjue [emoji23]
 
Woooooooooozeeeeeeeerrrrrr. [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom