Natamani kumla paka wangu nione ladha yake

Natamani kumla paka wangu nione ladha yake

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.
 
Ingawa kidogo heading imenistua, nikadhani unatamani kumkula paka, kumbe ni kula nyama ya paka..[emoji23][emoji23]
Anyway, kama mila na desturi yenu inaruhusu sawa, lakini kama mila na desturi yenu hairuhusu basi wewe hauna tofauti na mchawi
 
Dunia inaenda kasi.. Okay sie twasubili Malibu[emoji3][emoji23][emoji119]
 
Back
Top Bottom