Natamani kumla paka wangu nione ladha yake

Natamani kumla paka wangu nione ladha yake

Wataka kumlaje yaani [emoji848]
 
Kuepusha kupoteza muda na viungo wewe nenda sehemu wanazouza mishkaki ya shilingi 50 nunua ya 500 lengo lako utakua umelikamilisha bila hata kuingia jikoni.
Be serious mkuu ile mishkak ni paka wale?
 
Nitakushtaki kwa haki za wanyama na sheria itafata mkondo kwake,
Kweli binaadam ni kiumbe muharibifu sana, really?
Ndio unijibu kisheria ikoje? Kula paka navunja sheria gani?
 
Kama unaweza kula "kuku wako" vipi ushindwe kula "paka wako"???--- kula tu, Wamakonde wanao msemo usemao: " Choechoe chinumbile mnungu chakumemena", yaani chochote alichoumba Mungu kinaliwa.[emoji1787][emoji1787]

Tafsiri tafadhali [emoji120]
 
Seriously? 😳😳😳

Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.
 
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.
dude you need help
 
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.

Mle bana......unaogopa nini.....
Kwanza tupo uchumi wa kati......hakuna mtu atakae kushangaa.....m’banike nyau huyo.....mshushie na mvinyo aina ya Merlot.....
 
Nitakushtaki kwa haki za wanyama na sheria itafata mkondo kwake,
Kweli binaadam ni kiumbe muharibifu sana, really?

Maumbile yake yameumbwa Kutawala na sio kutawaliwa!! (Female & Male respectively !)

Primitive way of Life is still the most favored way of life in many African societies!! (Kikubwa bado hatuyatambua maumbile yetu kwa mujibu wa maumbile yetu!! (Jamii itatupokeaje??)

Bado tuko na Haki ya kuendelea “kukubali kutokubaliana!!” Agreeing to disagree!!!!???

Haki naona giza la kutengezwa mbele!! [emoji2955]
 
Back
Top Bottom