Natamani kumla paka wangu nione ladha yake

Natamani kumla paka wangu nione ladha yake

Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.
Nakusihi sana ndugu kajisalimishe Mirembe, kabla hujafikia hatua ya kumendea mishkaki ya Iddi Amin.
 
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.
Kumla denda au kiboga?
 
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.
Kaka Hilo ni tatizo la kisaikolojia
 
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.

Kabla ya kufanya hivyo nenda hospitali ukafanye check-up ya afya yako ya akili au waulize wachina kwanza.
 
Aisee....hii sasa ndiyo election fever!😀

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.
Una roho ya kichawi.
 
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.
Hv unaonaje km ukimkaanga afu ukamtengenezea na pilipili ya mbilimbi,maembe na ndimu mzee + na kiugali flan hv wa moto mteke mteke.. [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Nenda mwenge kula mishikaki ile Inachomwa njiani jioni nunua ila muache paka wako ale panya.
 
we jamas unataka kumla kivipi mana nahisi ni code unatumia
 
Kuitoa ccm madarakani inazidi kuwa ngumu kila uchao
 
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.

We ni mchawi!
 
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.

Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.

Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.

Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?

Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?

Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?

Sheriainanikataza Mimi kula paka ?

Msaada plz.
Subiri akishameza panya ndio uchinje ili ule paka na panya
 
Ukiacha na hiyo Kuna watu wanasema nyama ya binadam huwa ni tamu sana ndo maana Simba alieonja nyama ya binadamu huwa ni lazma awinde tena binadam anaona wale swala,nyumbu ni chakula kibovu..
Waswahili pia wakasema ukila nyama ya binadamu huwez kuacha, hiyo pia ni kwel lait binadam ukionja nyama ya binadam mwenzako ni lazma utakuwa unawawinda binadam ili uwale, na wote tukionja tutakua tunawindana
Hivyo hivyo Nyama ya paka ukila sidhan kama uataacha
 
Kula baba, tena paka ni steki tupu unakula unajilamba. Njoo magomeni kwa mama nsomola kuna hadi paka choma/Mishkaki ya paka kila weekend.
 
Back
Top Bottom