Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Kuna mzungu jirani yangu naye alikuwa anatafuta mchumba mbongo sasa sijui kama atakufaa.

Pesa zipo zakutosha naamini kwa huyo mzungu shida zako zote na njaa zikuwa zimefikia kikomo.
Ila huyo mzungu ni mtu mzima a.k.a.mbabu sijui kama atakufaa!

we ni PM tu bana,kwani mbabu hana gegedo
 


umetiisha muke ya muzungu mtarajiwa
 
Heheh...mtaa upi nisiokauka miye...? Ennie ujue huwa nakumiss sana usionekana kipenzi lol...acha nijidai nawe maadamu leo upo nasi
Kumbe huwa namissiwa? Nilikuwa sijui.
Leo nipo basi enjoy.
Napima upepo hapa kwa Muke ya Muzungu to be,watu wamecharukaje?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…