Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Wazungu nao pia ni binadamu,so sishangai
jeverino Some people choose to limit themselves. I'm not one of those people
Wink.gif
.
 
Last edited by a moderator:
Kuna mzungu jirani yangu naye alikuwa anatafuta mchumba mbongo sasa sijui kama atakufaa.

Pesa zipo zakutosha naamini kwa huyo mzungu shida zako zote na njaa zikuwa zimefikia kikomo.
Ila huyo mzungu ni mtu mzima a.k.a.mbabu sijui kama atakufaa!

we ni PM tu bana,kwani mbabu hana gegedo
 
muke.gif
muke.gif


Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.

watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa

hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,

sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....

kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
muke.gif


umetiisha muke ya muzungu mtarajiwa
 
Heheh...mtaa upi nisiokauka miye...? Ennie ujue huwa nakumiss sana usionekana kipenzi lol...acha nijidai nawe maadamu leo upo nasi
Kumbe huwa namissiwa? Nilikuwa sijui.
Leo nipo basi enjoy.
Napima upepo hapa kwa Muke ya Muzungu to be,watu wamecharukaje?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom