Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Lakini Heaven on earth humu JF wapo wazungu wa roho kibao tu kasoro ngozi. Au unafagalia weupe? Weupe ungekua mali ubuyu usingepakwa rangi
NB: usibabaike na rangi, tamu ya chai sukari...!!!!

Sent from my BlackBerry Z10 using JamiiForums

mie sitaki wazungu wa roho bana,ningetaka weupe si ningeendelea na hawa wa kibongo

nataka kuonja sukari zao zikoje
 

maswali yako ni mengi sana sidhani kama naweza kukujibu kwa leo

we jua kuwa tu natamani kuwa muke ya muzungu
 
ah we naweee!
una maswali mengiiiii!


Najua wanawake hampendi maswali
Lakini mnapoteza fursa ya kujua mambo mengi
Maswali ndo yametufikisha hapa tulipo leo

Kukubali jambo kirahisi ni ishara ya kuwa na tatizo la kufikiri
Lakini pia unaweza kujikuta unapelekwa porini kwa kutokuuliza unakopelekwa
Maisha yanakuwa bora kwa kujiuliza maswali
Lakini zaidi kwa kuuliza?????
 
hahaaa hata nikiolewa na mzungu wale watabaki kuwa jamaa zangu tu.....

ila kwa sasa nahitaji mzungu,siku ukija bongo sa hivi uko wapi hakuna wazungu huko!!!!!

Wazungu moyoni hawaniingii kabisa, sijui labda coz sijapata nayeona tunaendana, mimi nina kitu moyoni na mtanzania, everytime i see one naona angalau inawezekana, mzungu hata kwenda kuona wazazi tu mzigo! Bongo unatembelea wazazi bila shida maana hadi culture tushazoea.. Hongera ambaye unatafuta mzungu kwa juhudi hivo, asije mbongo akajichubua ili akusakue
 
utakataaje masharti Mpwa? kama vipi si unipe mie bure? ngoja niku-PM naweza pata mke hapa

vizuri kula na wenzio,sikufunzwa kuwa mchoyo maishani

kwa hiyo hilo ni moja ya masharti yao ni hayo Mpwa....,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…