Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Kazi sana kwako Heaven on earth
kila la kheri sana pia.
kila la kheri sana pia.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini Heaven on earth humu JF wapo wazungu wa roho kibao tu kasoro ngozi. Au unafagalia weupe? Weupe ungekua mali ubuyu usingepakwa rangi
NB: usibabaike na rangi, tamu ya chai sukari...!!!!
Sent from my BlackBerry Z10 using JamiiForums
Inaonekana una njaa ya kupendwa
Huwezi kumpata wa kukupenda
Jipende mwenyewe
Hiyo ndio dawa!!!!!!!
Tatizo lingine hili hapa
Hela??
Kuna mahali wa aina hii wanapatikana kwa wingi sana
Unaitwa sijui mataa gani ule........nimeusahau ngoja nikiukumbuka nitarudi na majibu!!!!!
Umesema unataka uolewe hivyo hivyo halafu unataka ukweli ili ufanyeje?
N yule jamaa aliyekuzidi umri umeshampiga kibuti?
Kazi sana kwako Heaven on earth
kila la kheri sana pia.
hapana hii ndude nataka aifaidi yeye peke yake,hayo ya Mbwa sintaweza
ah we naweee!
una maswali mengiiiii!
Habari za wazungu kuwa na mapenzi ya dhati mnazitoa wapi nyie?
wengi wana mkono wa sweta huo ni ushauri tu inaweza kuwa ndio unaoutafutamie sitaki wazungu wa roho bana,ningetaka weupe si ningeendelea na hawa wa kibongo
nataka kuonja sukari zao zikoje
Mhhhhhh!!!Kazi kweli kweli!!!!Unawajua wazungu kweli???
hahaaa hata nikiolewa na mzungu wale watabaki kuwa jamaa zangu tu.....
ila kwa sasa nahitaji mzungu,siku ukija bongo sa hivi uko wapi hakuna wazungu huko!!!!!
utakataaje masharti Mpwa? kama vipi si unipe mie bure? ngoja niku-PM naweza pata mke hapa
mie nilisikiaga mange kimambi anasema,eti Nyani Ngabu kuna ukweli wowote