Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
- Thread starter
-
- #121
naomba Heaven on earth wa zamani arudi..pliiz
I think you are retarded.
Una akili timamu kweli wewe?😕
Nimechoka aisee,nahitaji mzungu....
hapa najiandaa kwenda English course mapeemaaa
Kuna huyu mzungu kichaa wa BSS sijui kama ana mke...embu jaribu bahati yako!
Ni PM email yake bana,maelezo mengi sana sijasoma hadi mwisho mie
Hahahaha mkuu nyaningabu ,ana matatizo ya akili huyo dada
Huku kote ni kuhangaika kwa wadada wa kibongo kutafuta maisha mazuri!! Usipoangalia utakuta video zako za faragha na huyo mzungu unayemtafuta! , ithink una matatizo ya akili ,"eti wakipenda wamependa kweli" ?
hapana mimi si mzungu ila dada zetu waliofikiri wamepata ndio wanalalamika kuwa wazungu wao ni moto poakyalosangi na wewe ni mzungu!!!!!!
huwa wanachafua nini,niambie tu
hapana mimi si mzungu ila dada zetu waliofikiri wamepata ndio wanalalamika kuwa wazungu wao ni moto poa
unachokitaka kwa wazungu ukiodoa huo ubaridi mimi vyote ninavyo
We, Heaven on earth, mbona unakuwa mkali kiasi hicho, kwani umenipa consultancy ya kukutafutia mume au baada ya kuona kuwa ni Mbabu unafanya haraka ili urithi GEPF yake. Mimi nakupatia wasifu wake halafu wewe unaniharas, unang'ang'ania kuolewa na Muzungu mbona hujaanza kufuga rasta.