Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

wasiwasi wangu cjui unamtambuaje mzungu me pia mzungu ila ukiniona kwa wasiwasi unaweza sema jaluo..kama upo tial ni pm
 
Fanya bidii heaven on earth utii kiu yako.wameufungulia dunia kuwa unavyotaka
 
muke.gif
muke.gif


Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.

watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa

hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,

sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....

kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
muke.gif
nakusifu sana wewe mwanamke kwa kuwa muwazi, mimi nashindwa kabisa huwa nahisi kama natongoza
 
muke.gif
muke.gif


Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.

watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa

hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,

sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....

kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
muke.gif

Mmmmhhhhh! Ulimpata miaka miwili turn anaanza kutumia Viagra maana stamina pia huwaga hawana wale achilia mbaloli vibamia!
 
Last edited by a moderator:
muke.gif
muke.gif


Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.

watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa

hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,

sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....

kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
muke.gif

Ukiweza nenda Arusha Maasai camp au ViaVia,pale hata siku 3 hazitapita utakuwa unazungumzia ndoa sasa. Kila lakheri.
 
Last edited by a moderator:
Alafu wanaume wa kizungu waliowengi hapa Bongo ni nadra sana kupenda na kuoa mwanamke anaejiheshimu...type za madem wao ni mcharuko charuko fulani hivi au si ajabu akamuoa ata changudoa lakini siyo mwanamke anaejiheshimu.
 
muke.gif
muke.gif


Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.

watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa

hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,

sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....

kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
muke.gif
Mimi ni mzungu mweusi.
 
Nilikua nakutafuta MillionHairs my dear...
kishuka ndio kina nani hao

Kishuka ni mzungu bahili sana na mpenda mambo ya kihuni huni hivi...anaweza kuwa na ela lakini ni mgumu kuitumia'iwe kuonga au japo kusaidia mtu...utakuta anazunguka na maji ya kilimanjaro mkononi kwa siku mzima au hata siku mbili,kwenye begi yake ana mihogo ya kuchoma au mkate wa slace. Huyo ndio kishuka.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom