Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
![]()
Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.
watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,
sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....
kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa![]()
We kabila la kwanza kwa ubahili hapa tz ni wakinga wakifuatiwa na wachaga then wapare labda na kuendelea huko, hawa watu nawafahamu so list inaweza badilika nitakapowafahamu wenginewahindi wabahiri bora mpare
Yani bora tu nisiolewe kuliko mzungu yani sijui huwa nawaonaje tu.....
kama hujapata mume nifuate pm
ila mi si mzungu ila hela ya kukutunza ninayo na nitakupa mapenzi ya dhati
kwanini ukaoleww bosinia au urusi kisa mzungu?
Hapa goba tuna mzungu mitaa ya kituo kinaitwa uyoga kajaribu bahati yako
Goba kuna kibanda changuKumbe wewe jirani yangu,karibu goba.
sema hizo sababu nizijue........
I loved you,sikujua una mawazo haya.
Wala usihangaike kuzijua Heaven on Earth,
Mimi pia nataka kuoa mzungu akamsaidie bibi kula pensheni!
Ndiyo dunia yako....
BTW,..... you have a chance to live only once!!:eyebrows::eyebrows::eyebrows:
Jasiri haachi asili.OMG........ Things have changes...
Babu DC shikamoo,
yaani hii thread ya siku nyingi jaman, mawazo yalishabadilika
we hilo swala la kutafuta mtu wa kumsaidia bibi kula penshen lishindwe na kulegea