ndiyomkuusana
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 666
- 426
yu
yupo msouth mmoja anatafuta mchumbawazungu kwa rangi au utaifa? je msouth africa ni mzungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yupo msouth mmoja anatafuta mchumbawazungu kwa rangi au utaifa? je msouth africa ni mzungu?
Huyu dada nilikuwa namheshimu sana ila baada ya kuona bandiko hili nimeshtuka.dah,sasa umefikiri nini hadi ukaona mzungu ndo kipaumbele zaidi kwako?
Wazungu wengi Ni waaminifu, hawana milupo, lazima mtu uwe Na jicho la tatu babue, sio unaangali hapa Tu, vijana wa kibongo akili yao saa zote inawaza michepuko, kila mtu keshawachoka, Kula kona mzeeHuyu dada nilikuwa namheshimu sana ila baada ya kuona bandiko hili nimeshtuka.dah,sasa umefikiri nini hadi ukaona mzungu ndo kipaumbele zaidi kwako?
meshasema wana vibamia,,,,na unavopenda mabolo makubwa hamtadumu![]()
![]()
Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.
watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,
sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....
kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa![]()
[emoji38] [emoji38] [emoji38]"Waarabu wenye masheli hutaki?? "
I wonder!!Habari za wazungu kuwa na mapenzi ya dhati mnazitoa wapi nyie?
Watakua wanaona kwenye movieI wonder!!