Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
usijali,Passport ya kusafiria si unayo!!!!!!!
mpaka nauli naanza kudunduliza sahivi. lol, wasikutishe hao kuhusu vibamia. ni wasweeet.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usijali,Passport ya kusafiria si unayo!!!!!!!
Hee! Mbona umeshtuka?
..ndio wapo na nina mifano kabisa
Nafikiria kutumia karolaitiNi PM email yake bana,maelezo mengi sana sijasoma hadi mwisho mie
Ngalikihinja anza tu,ila usitumie zile za kariakoo siNafikiria kutumia karolaiti
mi si ndio hapo nilivyosikia raha nimekuchekesha!
mi sipendi maswali yasiyo ya msingi ila napenda majibu yote yaliyo na yasiyo na msingi!
Ngalikihinja anza tu,ila usitumie zile za kariakoo siNafikiria kutumia karolaiti
Ni pm nikupe rafki yangu mzungu...ila anapenda kushare vitu vyake na sisi rafiki zake...i can't wait kukugegeda!
Hayatuhusu kabisa. This is your private business.
Hivi nywele nazo zina karolaiti..??
mpaka nauli naanza kudunduliza sahivi. lol, wasikutishe hao kuhusu vibamia. ni wasweeet.
kwa hiyo unataka ndonga nyeupe?? uwe mvumilivu mana sometymz ni wazee wa dabo line mda mwingine mbwa na vitu km ivo!! njoo arusha club via via alhamisi 21:00pm
![]()
![]()
jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
Nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.
Watu wanasemaga wengi wao wana vi.bamia ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,
sijui natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....
Kama kuna mzungu yoyote hapa jf naakaona hili bandiko jamani
heaven on earth natamani kuwa![]()
Napenda maswali kwa kuwa napenda kujua
Kucheka nacheka lakini panapostahili!!!!!!!