Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

mi si ndio hapo nilivyosikia raha nimekuchekesha!

Hongera kwa hilo maana mimi kucheka ni kazi ngumu sana!

mi sipendi maswali yasiyo ya msingi ila napenda majibu yote yaliyo na yasiyo na msingi!

Hapa ndipo maswali yanapomiminika:
Umesema maswali yasiyokuwa na msingi,umejuaje kuwa hayana msingi?
Kwa kipimo gani?
Ukipenda majibu yasiyokuwa na msingi utakuwa na walakini
Lakini zaidi sana utakuwa wewe ni rahisi sana kwani mab yasiyokua na msingi ni rahisi kupatikana
Hivi unajua hakuna majibu ya msingi yanayotoka kwenye maswali yasiyokuwa na msingi?


Majibu yasiyokuwa na msingi ndo yanapatikana kutoka kwenye maswali yasiyokuwa na msingi
Lakini inaonekana maswali yangu ni ya msingi kwani sijajibiwa hata na hayo majibu yasiyokuwa na msingi
Kwani yangekuwa sio ya msingi majibu yake yangekuwa rahisi
N kipimo cha kujua maswali yangu ni ya msingi ni ie kauli yako ya kudai kuwa utumie akili ya NECTA!!!!!!
 
Ni pm nikupe rafki yangu mzungu...ila anapenda kushare vitu vyake na sisi rafiki zake...i can't wait kukugegeda!

mmh kama ye atakuwa tayari hamna shida,nimefunzwa kizuri kula na wenzio

ni PM wewe tu,maana huku pm nilizonazo ni balaa
 
kwa hiyo unataka ndonga nyeupe?? uwe mvumilivu mana sometymz ni wazee wa dabo line mda mwingine mbwa na vitu km ivo!! njoo arusha club via via alhamisi 21:00pm
 
kwa hiyo unataka ndonga nyeupe?? uwe mvumilivu mana sometymz ni wazee wa dabo line mda mwingine mbwa na vitu km ivo!! njoo arusha club via via alhamisi 21:00pm

sasa niko Dar,arusha tena inashindikana.Dabo line network

moja ikiwa inazingua unatumia nyingine ni vizuri pia
 
muke.gif
muke.gif


jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
Nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.

Watu wanasemaga wengi wao wana vi.bamia ila mi nataka kuolewa

hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,

sijui natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....

Kama kuna mzungu yoyote hapa jf naakaona hili bandiko jamani
heaven on earth natamani kuwa
muke.gif

zidumu fikra sahihi za mwenyekiti....
 
Napenda maswali kwa kuwa napenda kujua

Kucheka nacheka lakini panapostahili!!!!!!!

haya ila leo siwezi kujibu swali lolote hasa maswali kutoka kwako

inabidi uwe umefikiria kwa umakini unachokijibu
 
Back
Top Bottom