Natamani kuolewa

mi nna degree na madegree bachelor ndo usiseme kama ndo masters weeeeee acha tum
 
Usiweke umri mama, wewe tafuta kuolewa basi. Ukishaweka wasifu wako wewe, wanaume watajichuja wenyewe.
 
Tuliokimbia shule kisa umande mnatubagua
Sanaaaaa
Kila uzi msomi wa degree
Asee tupeni nafas
Tusiosoma banah
35+ msomi halafu hana mke sijuii lakini
Ni ngumu kumpata, mwanamke anatakiwa atafute mume tu. Sio kuweka vigezo
 
Uko tayali kuwa mke wangu wa pili maana tayali nishaoa
 
habari ya wewe mamaaa na pole sana kwa historia uliyoipitia, napenda niwe faraja ya moyo wako vigezo vyoote ninavyo pse ni PM tuweze kuyajenga zaidi
 
Kigezo cha elimu kimenidiqualify punguza ili nikujumuishe uwe mke wa pili.
 
Elimu, elimu, elimu, elimu, elimu, elimu,
We dada hebu kuwa "serious" muda mwingine unahitaji mwanaume wa elimu ipi ya "shule" au "mtaani"
 
hahahahahaaa!! umenifurahisha sana[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…