Of course mwanamke wa aina hii ni shida sanaNo tuwe fair sio wanawake wote na si wanaume wote binafsi huyu simuwezi mwanamke anayekwandikia msg ya hivyo hafai si bora angemweleza kwa upendo na upole??
Punguza vigezo unawez pata toa hiyo degree yako mana maisha si degreeHabari za wote humu ndani.
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa Mara ya kwanza nilikutanq na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vzr tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namba ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti mtu na mzazi mwenza hawajawahi kuiacha ndoa salama!!!Mtu na mzazi mwenza hawajawahi kuiacha ndoa salama.
Tuliozalisha kabla tunalijua hilo.
Ni bora kuwa mkweli kuliko kujifariji.
Sent using Jamii Forums mobile app
nimekusoma mkuuNakushauri!
Masuala ya degree, umri n.k Achana nayo! Angalia mwanaume anaejielewa na anajua kutafuta pesa. Mimi nimesoma chuo na jamaa anafanya kazi vodacom na kipindi kamaliza form 6 na kufanya kazi kwa Muda kadhaa vodacom alimuoa mkewe mwenye masters na akiwa assistant lecture UDSM na baada ya hapo mkewe kaenda kusoma PHD Kawa Dr. na anafanya kazi hapo UDSM. Afu mmewake ndo aliamua ajiendeleze kusoma degree na kafundishwa na mkewe class na kamaliza maisha yanaendelea, jamaa anafanya kazi vodacom wakati mkewe ni Dr. Udsm.
Kwa hiyo habari ya vigezo visivyo na maana achana navyo we angalia mwanaume anaejitambua.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahajaWenye vigezo vyenu nendeni mkayajenge PM
Mungu akusaidie kupata chaguo sahihi
Ila nyie single mother Mungu anawaona
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana kaka mi sihitaji kuwa mke wa pili kwa kweliMimi nina vigezo vyote...ila utakuwa mke wa pili...kama upo tayari njoo PM tuyajenge
Sent using Jamii Forums mobile app
asanteUsihofu,muombe Mungu utapata mama.usitishwe tishwe na maneno ya binadamu humu jf.be strong
usilolijua ni sawa na Usiku wa gizaNi kweli, inaonesha yeye mwenyewe hajitambui wala hajui anataka nn ktk ndoa. Kaweka vigezo ambavyo havina mashiko kabisa na kimsingi vigezo hivyo havina msaada wowote ktk ustawi wa ndoa. Probably huyu dada ndio alikuwa wrong person kwa huyo mume wa kwanza. Akakae na ajipange upya.
Extend your hand in kindness and offer help to the most in need
Umenena vyema sana ..hata akiolewa lazima ataileta tu.Mtu na mzazi mwenza hawajawahi kuiacha ndoa salama.
Tuliozalisha kabla tunalijua hilo.
Ni bora kuwa mkweli kuliko kujifariji.
Sent using Jamii Forums mobile app
nimekukubali kwa kufuatili but sio lazima yote ninayopost yawe ni matukio yangu Mimi, mengine ni ya ndugu jamaa na marafiki ambayo tuko katika harakati za kuyatafitia ufumbuzi.Da imenilazimu kufuatilia threads za nyuma za wasichana/ wanawake wote wanaotafuta wachumba hapa...huyu nimepitia threads zake zote za nyuma, anyway labda mungu awe kakubadilisha posts za nyuma zinaonyesha wewe ndo chanzo cha ndoa yako kuvunjika, kumbuka ile msg uliyomtumia mmeo kuwa hakuridhishi.
Pili swala la elimu yako pia linachanganya haiwezekani 2014 useme una degree halafu 2015 useme umerudia mtihani wa kidato cha NNE Mara tatu mwaka 2015 angalau umefanikiwa kiasi na unatafuta chuo usome certificate.... anyway mi nimshamba wa ku kopi links lakini hizo ndo post zake. Ila mungu mwema utapata!
heri hata ungekuwa 30 tuwe sawa kiumriNaweza kuwa mme bora kwako lakin umri 27 dgree sina so waweza kujitafakari
Sent using Jamii Forums mobile app
uwiiiii mi siangalii muonekano wa MTU bhana mambo ya chura au twiga hapanaaaa
yaani kuna magumu sana kwenye ndoa zingine ukiona MTU hadi umepata divorce kapitia magumu sana sasa nashangaa watu humu ndani wanaongea tu as if ni jambo Dogo sana na rahisi.Kuna mateso ya ndani ya ndoa hayavumiliki
Nimeona ndoa zinatesana kwasababu za kishirikina za kutoa makafara tena ya watu.
Dada kaolewa hakuwa anajua ya ndani alipojifungua tu mtt siku ya 7 kaenda Hosp kutolewa nyuzi, mama mkwe akachukua mtt wake machanga wa siku 7 akaenda naye kwake. Dada anarudi hakuti mtt na anamuambia mume mume anasema ni kawaida ya mila zetu. Akahoji mbona hukuniambia akaambiwa utayajua baadae.
Mama akanyanyuka kumfwata mtt huko kwa mkwe. Akakuta mtt analia balaa. Anamuuliza Dada wa kazi mbona Sasa humbebi anasema Bibi hamtaki
Toka siku hiyo mtt akapata ugonjwa akawa mlemavu wa Akali.
Dada akaanza ukisoma namba mara Bibi anakujaga home anaingia hadi bdrum kwake, anatandika kitanda alimradi fujo tuu huku mume yuko pamoja na mama. Kumbe maskini wanatafuta njama za kumtoa mtt kafara. Siku wifi yake akamwambia live.
Ikabidi huyu Dada aondoke na mwanae kwenda kujificha. Ndio baadae babu mtu akatafuta njia akawapata walioko mafichon wakamnyang'anya mama mtt. Mamma akaenda kanisan, babu akatukana kanisa vby sana. Huku Hali ya mtt unazidi kuwa mbaya.
Mama akatoka akaenda mahakaman, mahakaman akapewe divorce babu na Bibi wakaja wakaweka pingamizi eti wabaki na mtt kwan ni mlemavu wa akili so mama hataweza kumuhudumia. Kesi mpaka Sasa inaendelea.
Je katika Hali kama hii utasemaje?
Sent using Jamii Forums mobile app