Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Serious??? sasa kwanini mlitengana mbna most of us hatuna tabia ya kuacha wake/wapenzi hovyo ??Aweeeee... na nina nyota na wakurya balaa.. baba mtoto ni mkurya, ex bf ni mkurya pia. Natumaini atakua mkurya pia