Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
- Thread starter
- #241
Wewe wote walokutanulia miguu ulienda sababu wana chura? na uko nao bado?? kujikuta mnajua rules of the game afu mnakua wa kwanza kuzivunja. Kwanza mi sitaki huo ujinga wa kutogusana mpaka ndoa nikikuta una kibao? au haipo? au mkono wa sweta? wanaopenda bikra watatafuta bikra wenzao na ndo maana sijasema natafuta mume hapa nimesema nataka kupenda.Chura kwanza mengine baadaye, shida huwa mnatanua miguu mapema badala ya kujitunza, hivi mfano nikakufuata sababu ya chura na ukanibania mchezo na kuniambia mpaka ndoa shida itakuwa wapi, kama nilikutamani tuu sitavumilia lakini kama nina nia nitasubiri au nitaharakisha ndoa ili uwe wangu, sasa kama kila anayekutongoza ukimpa mwili wako lazima ulielie tuuuu.