Natamani kupenda tena

Wewe wote walokutanulia miguu ulienda sababu wana chura? na uko nao bado?? kujikuta mnajua rules of the game afu mnakua wa kwanza kuzivunja. Kwanza mi sitaki huo ujinga wa kutogusana mpaka ndoa nikikuta una kibao? au haipo? au mkono wa sweta? wanaopenda bikra watatafuta bikra wenzao na ndo maana sijasema natafuta mume hapa nimesema nataka kupenda.
 
Mmmmmh!! Hiyo ya kujilipua eti utajifunza kupenda imewacost wengi sana. How if asipompenda kabisa!!!
 
Umri hapana, kuchagua pia sidhani sababu huwa namuona mtu nampenda hivyo akija kumwaga sera inakia rahiso tu.
Ina maana we huwa unajua kuheshimu mahusiano kweli? Au ndio wale unaminamba kibao ya wanaume wengine kila anayeomba namba unampa tu mwishowe unatongozwa unabaki kucheka cheka tu.
 
Kwahio we pesa hupendi, upo ki real love zaidi na unaweza tulia na mtu mwenye hela za kujikimu tu sio anasa? Au utakuwa unamsimanga tu?
 
Wala hata. kwanini mnakimbiliaga kuwa tunachagua? mi sichagui aisee na naogopa sana wanaume wenye hela.
Hii nimeipenda ila huwa napenda kudhibitisha hili p.m maana wenzio wanasimangaga wanaume wafupi...vibamia...mara asie na pesa mara wanataka wale tall HB and black. Je we haupo kundi hili?
 
Kila mtu ana kitu special kwa mtu alie tayari kukipata hicho kitu. lakini unaweza ukawa na kila kitu mtu anakitaka ila akawa na sababu nyingine zitakazokatisha mahusiano yenu mfano kabila, dini etc..
Hii ni kweli
 
Im impressed kwa hili if its really running on your veins, nachukia mwanamke malaya. Chanzo kikubwa ni kutokuwa na msimamo wa kusema hapana ukiwa tayari na mahusiano mengine
 
mama shikamoo
 
Unawezaje kuwa na uhakika kwamba mapungufu yako yanavumilika ?
Ujue girls ni wa ajabu mzee baba, ET anajipima mwenyew kwamba mapungufu yake yanavumilika wakat kwa wengin ni maumivu tu...! Nimecheka Kwan amenikumbusha girl wangu kanilitea upuuzi mwingi last month nimekaa kimya Mara kaweka status WATS up ET huwez kumwacha mtu unaye mpenda ata Kama kafanya mia moja ya kukukatisha tamaa ila utatafuta sababu moja ya kuwa nae, kha!!!! Ni Kama huyo yan mapungufu yao wanaona yanavumilika
 
Polee wa kunyumba usiwe na haraka sana ya kumpenda mtu kama hujampata Mtangulize Mungu mbele akuletee mwanaume ambaye ni sahihi kwako
 
Kwahio we pesa hupendi, upo ki real love zaidi na unaweza tulia na mtu mwenye hela za kujikimu tu sio anasa? Au utakuwa unamsimanga tu?
Yani kama hela za kula sisi zipo zinatutosha hizo za anasa tutatafuta taratibu... siwezi msimanga mtu kisa hana hela za anasa labda kama simpendi.
 
Mmmmmh!! Hiyo ya kujilipua eti utajifunza kupenda imewacost wengi sana. How if asipompenda kabisa!!!
Etii.. huo ujinga sifanyi halafu mi mkristo tena mroma huo muda nitakaopoteza kuvunja ndoa si bora niutumie sasa hivi kutafuta wa kumpenda
 
Ina maana we huwa unajua kuheshimu mahusiano kweli? Au ndio wale unaminamba kibao ya wanaume wengine kila anayeomba namba unampa tu mwishowe unatongozwa unabaki kucheka cheka tu.
Na nayaheshimu haswa. Yani mi nikishapenda sionagi wanaume wengine.
 
Hii nimeipenda ila huwa napenda kudhibitisha hili p.m maana wenzio wanasimangaga wanaume wafupi...vibamia...mara asie na pesa mara wanataka wale tall HB and black. Je we haupo kundi hili?
Ukimpenda mtu huo ufupi, hana hela sijui takataka gani huwezi kuziona. Unaweza muona mwanume wako mzuri kumbe wenzio wanamuona wa ajabu.
 
Jamani hakuna aliemkamilifu ila tunavumiliana tu mapungufu yetu.
 
Polee wa kunyumba usiwe na haraka sana ya kumpenda mtu kama hujampata Mtangulize Mungu mbele akuletee mwanaume ambaye ni sahihi kwako
Asante wa kunyumba bado naendelea kuvuta subira..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…