Natamani kupenda tena

Okay
 
Pole Mummy kwa yalio kusibu. Ila naona unaitaji cancelling kwanza before new relationship,yule wa kwanza aliuwai moyo wako kwa asilimia kubwa sana. So nilazima you let it go ndio utapata hamu tena ya kupenda mwengine.
Asante my dear..
 

Hii kasumba wanayo KE wengi mno, hata kuna mdada mmoja nafahamiana nae ni best yangu sana, kuna mahali tulifanya kazi pamoja na pia tulitokea kuivana sana yani coz aliielewa mikato yangu halafu ni mtu mwenye utu na caring sana.

Yeye amezalishwa vibinti viwili. 27 yrs ana umbo zuri la kuvutia la kike, chura hips na mguu ila shida ni yupo selective sana when it comes to dating men. Yeye anatakwa wanaume flani hivi wale ambao wapo top in the market yani wenye mvuto haswaa halafu ana expect wadumu kwenye mahusiano muda mrefu, style kama za akina Daxx cruz, Jux, Calissah ndio taste zake. Bila kujali kuwa ME wa vile huwa wana circle ya wanawake wengi maana kuna offers za free papuchi allover the town achilia mbali wale wanaowatongoza wao. Watu wanaompenda wa kutulia na yeye hawataki. Anataka vijana ma HB na kwa uzuri wa body lake wengi hawamlazii damu wanapita nae af wanamtema.

Basi kila kukicha analizwa tu yani, ila ndio wala hakomi namwambiaga ukweli anacheka cheka tu. So mtoa mada nae akiwa kwenye hio circle ya hivyo kulia lia anakosa mtu wa kuwa nae seriously ni pie.
 
sasa usaidiweje,maana kama kila anaekufuata unajishebedua eti hujampenda,hakuna namna endelea kudoda tu.
Sasa kama sijampenda niwe nae tu sababu kanifuata??
 
Kwa suala la kuringa hapana na sina hadhi yoyote yani nasisitiza yoyote basi tu ukishakua mwanamke wa type yangu wanaume wanaanza kuwa na assumptions zao.
 
Unapenda nini Labda ,kwa mwanaume ,,uzuri ,pesa, kabila, nyadhfa,, umaarufu ,,maana ,ushauri upo wa bure tu ,
Napenda alivyo... nikimuona tu najua huyu sasa nimempenda
 
Kama Mungu alikupangia mtu, atakuja na mtakutana, tatizo linakuja pale ambapo kama Mungu hakukupangia mtu
Hilo ndo tatizo pale ninapoona kwa macho yangu ndie kumbe sie alienipangia Mungu.. hii changamoto kubwa.
 
Changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…