OkayKwa style hiyo utakaa sana, yaan kauli yako naona umejifunga mwenyewe ww unatumia akili zako kumtafuta mume, km unasoma biblia nadhani bado sana my dia. Swala la mume ni Mungu si macho yako, anaweza hakuvutii lakini ndio wako, anaweza kuwa kipato chake kidogo ndio wako, tumia hekima na omba sana. Km ulimpenda akaondoka ujue hakuwa wako kabisa maana angekuwa wako asingeondoka kabisaaa.
Asante my dear..Pole Mummy kwa yalio kusibu. Ila naona unaitaji cancelling kwanza before new relationship,yule wa kwanza aliuwai moyo wako kwa asilimia kubwa sana. So nilazima you let it go ndio utapata hamu tena ya kupenda mwengine.
Wewe utakuwa ni kadada flani mwenye maringo na kujiona una hadhi flani,
Si kuwa hakuna wanaokupenda wapo sema unawaona kama kipato chao hakitaendana na maisha unayoyataka uwezi kukubali ila moyoni mwako ndivyo unavyowaza,
Sasa kwa hako kaashepu chako unacho ringia kuwa makini sana kwa sababu watakuja ambao utawaona wanakuvutia kwa hela zao kumbe wao watakuja kama wapita njia tu na wengine watakuwa hata ni wenye wake ukija kushtuka paaaap umeachwa single mother.
Interest zako na zangu tofautiKwanini?
Kwa suala la kuringa hapana na sina hadhi yoyote yani nasisitiza yoyote basi tu ukishakua mwanamke wa type yangu wanaume wanaanza kuwa na assumptions zao.Wewe utakuwa ni kadada flani mwenye maringo na kujiona una hadhi flani,
Si kuwa hakuna wanaokupenda wapo sema unawaona kama kipato chao hakitaendana na maisha unayoyataka uwezi kukubali ila moyoni mwako ndivyo unavyowaza,
Sasa kwa hako kaashepu chako unacho ringia kuwa makini sana kwa sababu watakuja ambao utawaona wanakuvutia kwa hela zao kumbe wao watakuja kama wapita njia tu na wengine watakuwa hata ni wenye wake ukija kushtuka paaaap umeachwa single mother.
ChangamotoHii kasumba kuna mdada mmoja nafahamiana nae ni best yangu sana, kuna mahali tulifanya kazi pamoja.Tulitokea kuivana sana yani coz aliielewa mikato yangu halafu ni mtu mwenye utu sana.
Yeye amezalishwa vibinti viwili. Ana umbo zuri la kuvutia la kike, chura hips na mguu ila shida ni yupo selective sana when it comes to dating men. Yeye anatakwa wanaume flani hivi wale ambao wapo top in the market yani wenye mvuto sana, style kama za akina Daxx cruz, Jux, Calissah ndio taste zake. Bila kujali kuwa ME wa vile huwa wana circle ya wanawake wengi maana kuna offers za free papuchi allover the town achilia mbali wale wanaowatongoza wao.
Bas kila kukicha analizwa tu yani,
Umewaacha je tabia yako nzuri?Nawaonaga waongo waongo, nilishajaribu wawili ila wote hatukudumu hata mwezi nikawaacha japo wananitaka hata sasa hivi ila nimeshindwa..