Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure mkuu, yaani hadi nawaonea huruma wanavyoingizana chakaIts hard for young generation to get what you say.
Mtu utakaeishi nae ktk ndoa ni fumbo mkuu, haya mambo ni Mungu tu anaejua nani ni ubavu wakoHivi kuna watu hadi leo wanachaguliwa mume/mke? Najua unaweza kulengeshwa ila kujua anakufaa au hakufai ni juu yako.
Hao hao wazazi wetu walokuwa wanachaguliwa sio wote walipenda at the end, ila waliridhika tu kwakuwa hawakuwa na namna. Kuna tofauti ya kupenda na kuridhika. Ktk kuridhika huko waweza jikuta unapenda au uishie kuridhika tu.Sure mkuu, yaani hadi nawaonea huruma wanavyoingizana chaka
Yes wapo.Hivi kuna watu hadi leo wanachaguliwa mume/mke? Najua unaweza kulengeshwa ila kujua anakufaa au hakufai ni juu yako.
Umeongea ukweli asante sanaHao hao wazazi wetu walokuwa wanachaguliwa sio wote walipenda ata the end, ila waliridhika tu kwakuwa hawakuwa na namna. Kuna tofauti ya kupenda na kuridhika. Ktk kuridhika huko waweza jikuta unapenda au uishie kuridhika tu.
Aisee. Kwahio unaitwa tu huyu ni mumeo? Wapi huko, vijijini au hata mjini?Yes wapo.
Hii ina uhusiano wowote na mimi kuuliza hadi leo kuna mtu wazazi wanamchagulia mume/mke?Mtu utakaeishi nae ktk ndoa ni fumbo mkuu, haya mambo ni Mungu tu anaejua nani ni ubavu wako
Mara nyingi ukiridhika maisha yanakuwa mswano hata kitambi kinakuja tu!Hao hao wazazi wetu walokuwa wanachaguliwa sio wote walipenda at the end, ila waliridhika tu kwakuwa hawakuwa na namna. Kuna tofauti ya kupenda na kuridhika. Ktk kuridhika huko waweza jikuta unapenda au uishie kuridhika tu.
Ndio vina uhusiano, Bado ipo japo si sana, ndo nikakwambia hivi haya mambo ni fumbo hujui ubavu wako utaupatia kona ipi, ww mwenyewe au kwa kutafutiwa na mtuHii ina uhusiano wowote na mimi kuuliza hadi leo kuna mtu wazazi wanamchagulia mume/mke?
Mmh hayaNaomba utambue hii kitu ni probability hata kama utamchagua mwenyewe. Speaking out of experience.
Wewe ni mmoja wao? (waliochaguliwa mume na wazazi)Ndio vina uhusiano, Bado ipo japo si sana, ndo nikakwambia hivi haya mambo ni fumbo hujui ubavu wako utaupatia kona ipi, ww mwenyewe au kwa kutafutiwa na mtu
Wanajua kila kitu.Mmh haya
Ujue kinachoshangaza zaidi ni kwamba sisi ndo waoaji na tunawaambia the reality, then nyie waolewaji hamtaki kukubali hiyo reality. Basi ikifikia hatua ya kuoana tukila kona msilalamike coz you dont like to accept the reality
NdioWewe ni mmoja wao? (waliochaguliwa mume na wazazi)