Natamani kupenda tena

Natamani kupenda tena

ningependa kujua process ilikuwaje if u dont mind. PM kama hapa huwezi.
Kuna mada flani ya ulioa au kuolewa ktk umri gani nimeelezea kidogo hiki kisa, nikipata chance ntaileta Hii story one day, lkn esp kanisaidia kujibu kwmb inafikia hatua ndoa km hizi uridhike nayo tu kila kitu kinakuwa perfect
 
Mmh haya

Ujue kinachoshangaza zaidi ni kwamba sisi ndo waoaji na tunawaambia the reality, then nyie waolewaji hamtaki kukubali hiyo reality. Basi ikifikia hatua ya kuoana tukila kona msilalamike coz you dont like to accept the reality
Hiyo reality sio kwamba hatuifahamu maana sisi ndio waolewai hivyo hiyo ya kuridhika inatuhusu zaidi.
 
Kuna mada flani ya ulioa au kuolewa ktk umri gani nimeelezea kidogo hiki kisa, nikipata chance ntaileta Hii story one day, lkn esp kanisaidia kujibu kwmb inafikia hatua ndoa km hizi uridhike nayo tu kila kitu kinakuwa perfect
Ukiridhika maisha yanakuw mazuri sana.
 
Kuna mada flani ya ulioa au kuolewa ktk umri gani nimeelezea kidogo hiki kisa, nikipata chance ntaileta Hii story one day, lkn esp kanisaidia kujibu kwmb inafikia hatua ndoa km hizi uridhike nayo tu kila kitu kinakuwa perfect
Nakumbuka niliona umeielezea mama.

Kuna mama namfahamu yeye nae aliamua tu kuridhika na mwanaume alomuoa as kumpata alompenda ilikuwa ngumu. Anadai akiwa ktk ndoa ndio akakutana na mwanaume walopendana, akaanza kuchepuka mara mimba, baadae akajiona anakuwa mtumwa. Akaachana na mumewe akaoana na mchepuko and now ndoa yao ina 20 years.
 
Nakumbuka niliona umeielezea mama.

Kuna mama namfahamu yeye nae aliamua tu kuridhika na mwanaume alomuoa as kumpata alompenda ilikuwa ngumu. Anadai akiwa ktk ndoa ndio akakutana na mwanaume walopendana, akaanza kuchepuka mara mimba, baadae akajiona anakuwa mtumwa. Akaachana na mumewe akaoana na mchepuko and now ndoa yao ina 20 years.
Dah ni mateso kiukweli na inatakiwa ufumbe macho na uzibe masikio hasa maana kauli za Malaya au kahaba zitegemee sana, inataka roho ngumu na ya chuma hasa, lakini km alipata tulizo la nafsi yake Mungu ambariki sana
 
Hiyo reality sio kwamba hatuifahamu maana sisi ndio waolewai hivyo hiyo ya kuridhika inatuhusu zaidi.
Kuridhika hata hata wanaume inawahusu kwasababu sio kila mtu anaoa mtu aliempenda saana. Wengi wanaangalia iwapo anaweza kuwa mama bora. Mimi sidhani kama nitaoa mwanamke ninaempenda saana....nitaoa ninaeridhika nae, yaani huyu anafaa kuwa mke kulingana na tabia na hekima zake.
 
Yeah saiv Niko vizuri baada ya kuridhika, tatizo la hizi ndoa ni pale muhusika mkikosana hapo ndo shughuli pevu ilipo
Ni kweli kabisa maana unakuwa hauna bond nae ya upendo. Na upendo ndio huwa ngao pale mnapopitia hali ngumu.
 
Ukichoka kuwa coMfortable you move on! Hata uliempenda na kumchagua inaweza kufika wakati ukawa huridhiki nae.
Upendo ni muhimu sana, ukiona imefikia hatua huridhiki nae basi tambua haukumpenda bali Uliridhika nae tu.
 
Ni kweli kabisa maana unakuwa hauna bond nae ya upendo. Na upendo ndio huwa ngao pale mnapopitia hali ngumu.
Niliteseka sana, kabla sijaipokea na kuridhika na hii riziki yangu
 
Kuridhika hata hata wanaume inawahusu kwasababu sio kila mtu anaoa mtu aliempenda saana. Wengi wanaangalia iwapo anaweza kuwa mama bora. Mimi sidhani kama nitaoa mwanamke ninaempenda saana....nitaoa ninaeridhika nae, yaani huyu anafaa kuwa mke kulingana na tabia na hekima zake.
Hivi kumbe haujaoa!!
Upendo ni muhimu sana RRONDO, hata kama utaridhika nae ila na upendo uwepo. Upendo ndio utakuwa nguzo yenu.
Ndio maana wale ambao huwa wanaanza mahusiano kwa misingi ya urafiki huwa wandumu sana.
 
Back
Top Bottom