leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,340
- 1,748
Unaruhusu kuojiwa labda vigezo na masharti vitafuatwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa zako kwanza tukujue usije ukawa unafanana na za sizonje[emoji196] [emoji219] [emoji84]Moyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.
Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Ndo nashangaa kuona Uzi huku..Embu nicheki kwenye Airtel yangu tuyajenge
[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Hizo za kumlea HS ama?[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Hebu nitumie milioni 5 za child dupport.
Nitahamia Dar, tutakutana.Moyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.
Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
Ulisha wahi mpenda MTU kwa asilia zote je kati yenu nani alimsaliti mwenzakeKunihoji kitu gan mkuu?
Mbona maswali mengi, we tuma hela bwana.Hizo za kumlea HS ama?
Siwezi jua ukweli inaweza kuwa umepata shock kiphycologia lakin kama yeye ndo kakusaliti nawe unaroho ya upendo utampata lakin kama wewe ndo ulimsaliti ulicho mfanyia lazima ukipate ndo utatulia keep on hope utampata Nakujiuliza ulichelewa wapiNilishawahi, alinisaliti yeye.
Ogopa mpenz atakaye jifanya fund wa mapenz sana yupo kwa ajiri ya kukuchezea kuwa mdadisi utamjua mkwelNilishawahi, alinisaliti yeye.
Haya mama.. Njoo uchukue CardMbona maswali mengi, we tuma hela bwana.
Hahahaaaa! Sijiiiii, nitengenezee yangu then nitamtuma mtoto aje kuchukua.Haya mama.. Njoo uchukue Card
Hautaki tuonane?Hahahaaaa! Sijiiiii, nitengenezee yangu then nitamtuma mtoto aje kuchukua.
Tutaonana kanisani.Hautaki tuonane?