Natamani kuwa na mpenzi Mzungu lakini sijui nampataje

Natamani kuwa na mpenzi Mzungu lakini sijui nampataje

music mimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
485
Reaction score
876
Naomba mawazo ya wazoefu wa kuinteract na Wazungu.

Nahitaji msichana/mwanamke wa Kizungu awe mpenzi wangu ila sielewi nifanyeje nimpate.

Nimejitahidi kwenda maeneo wanayopendelea kukaa haswa Oysterbay/Masaki lakini namna ya kuwaingia ni ishu, maana wapo busy sana na mambo yao pia ni wagumu kumuamini stranger.

Kwa nini napenda Mzungu? Nimeona lifestyle yangu mwanamke tunayeweza elewana ni wa Kizungu tu, sihitaji kwenda nje au kupata mali kutoka kwao.

Nisaidieni ujanja washkaji.
 
Aiseeeeeh,usiwazibie soko mwajuma wetu wa tandale ….wapende pia

Wana lifestyle nzuri tu + mahaba creativity
 
Kwanza hakikisha kina Kuruthum, kina Agape ht kina Gire hawakupigi chenga
 
Lifestyle yako ni ya wazungu tuu!?
Unaamini Hakuna mwanamke wa kiafrika mwenye lifestyle hiyo?
Una uhakika kila mzungu yupo kama ulivyo au kama unavyofikiri?

Kila la heri lakini
Si kwa ubaya au nimedharau wadada wa kiafrica,No. Ni choice tu naona nitakuwa comfortable zaidi nikiwa na mpenzi mzungu.
 
Naona thread badala ya kupata ushauri imegeuzwa tuhuma as if nafanya kitu kibaya 😅😅
 
Naomba mawazo ya wazoefu wa kuinteract na wazungu.

Nahitaji msichana/mwanamke wa kizungu awe mpenzi wangu ila sielewi nifanyeje nimpate.

Nimejitahidi kwenda maeneo wanayopendelea kukaa haswa oysterbay/masaki lakini namna ya kuwaingia ni ishu maana wapo busy sana na mambo yao pia ni wagumu kumuamini stranger.

Kwa nini napenda mzungu??

Nimeona lifestyle yangu mwanamke tunayewrza elewana ni wakizungu tu, sihitaji kwenda nje au kupata mali kutoka kwao.

Nisaidieni ujanja washkaji...
Jenga madhabahu, toa sadaka ya kuteketeza juu yake
 
Back
Top Bottom