Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Umempa mbinu nzuriKwanini mkuu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umempa mbinu nzuriKwanini mkuu??
Kha! Mi nilidhani ulishajipatia wa kwakoAkishindwa ashindwe mwenyewe. Mimi nilikua nakutana nao sana sema sijuagi kuanzisha mazungumzo na strangers
Hongera kwa kupata pisi za chugaSina ubavu huo hata kwanza sipendi wazungu. Ngozi zao mbaya hazishawishi kama za pisi kali za Arachuga
Umejuaje kama unawezana nao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naomba mawazo ya wazoefu wa kuinteract na wazungu.
Nahitaji msichana/mwanamke wa kizungu awe mpenzi wangu ila sielewi nifanyeje nimpate.
Nimejitahidi kwenda maeneo wanayopendelea kukaa haswa oysterbay/masaki lakini namna ya kuwaingia ni ishu maana wapo busy sana na mambo yao pia ni wagumu kumuamini stranger.
Kwa nini napenda mzungu??
Nimeona lifestyle yangu mwanamke tunayewrza elewana ni wakizungu tu, sihitaji kwenda nje au kupata mali kutoka kwao.
Nisaidieni ujanja washkaji...
🤣🤣🤣🤣Hata hizo sijapata bwana😂
Mimi Napenda wanawake wenye uzuri wa asili + rasta. Mzungu rasta anazitoa wapi🏃🏃
Geuza hili tangazo lako liwe la kizungu kwa kuwa umelenga wazungu, ili tupate pa kuanziaNaomba mawazo ya wazoefu wa kuinteract na wazungu.
Nahitaji msichana/mwanamke wa kizungu awe mpenzi wangu ila sielewi nifanyeje nimpate.
Nimejitahidi kwenda maeneo wanayopendelea kukaa haswa oysterbay/masaki lakini namna ya kuwaingia ni ishu maana wapo busy sana na mambo yao pia ni wagumu kumuamini stranger.
Kwa nini napenda mzungu??
Nimeona lifestyle yangu mwanamke tunayewrza elewana ni wakizungu tu, sihitaji kwenda nje au kupata mali kutoka kwao.
Nisaidieni ujanja washkaji...
Kha! Nini sasa😆😆😩😩😞😞
Skype nna connect nao vipi?Nenda Skype utampata ila uwe mkweli maana wenzetu hawapendi uongo huwa hawasamehi kuacha dk o au tafuta wafadhili(foundation)ya watoto yatima au shule utampata
Masuala ya jicho hapana mkuu pia kutoa pesa kwa ajili hiyo sitoweza.Unataka mzungu wa kunyandua na kumuacha au unataka uoe kabisa.
Kama una pesa njoo PM nikuunganishe na volunteers wangu wa kizungu.
Je unaweza kula jicho la mzungu ukipewa?
Maana baadhi yao ndio raha yao.
unajua life staili yake ni kuingiliwa na dildo na mwanamke,hizo wanaweza wazunguLifestyle yako ni ya wazungu tuu!?
Unaamini Hakuna mwanamke wa kiafrika mwenye lifestyle hiyo?
Una uhakika kila mzungu yupo kama ulivyo au kama unavyofikiri?
Kila la heri lakini
Dating site zipi ni nzuri?Tembelea maeneo wanayoatikana uwe familiar nao.
Jaribu na Dating app/site _ ujuwe mada ,za kuzungumza without being boring... ni lazima uwe vizuir kwenye conversation punguza maswali kama interview, weka story nzuri
Jaribu na app za kujifunza lugha kama tandem na hellotalk, unaweza ukapata wenye mpango wakuja huku
Interracial etc search google utapataDating site zipi ni nzuri?
NakubaliInterracial etc search google utapata