Natamani kuwa na mpenzi Mzungu lakini sijui nampataje

Natamani kuwa na mpenzi Mzungu lakini sijui nampataje

Naomba mawazo ya wazoefu wa kuinteract na wazungu.

Nahitaji msichana/mwanamke wa kizungu awe mpenzi wangu ila sielewi nifanyeje nimpate.

Nimejitahidi kwenda maeneo wanayopendelea kukaa haswa oysterbay/masaki lakini namna ya kuwaingia ni ishu maana wapo busy sana na mambo yao pia ni wagumu kumuamini stranger.

Kwa nini napenda mzungu??

Nimeona lifestyle yangu mwanamke tunayewrza elewana ni wakizungu tu, sihitaji kwenda nje au kupata mali kutoka kwao.

Nisaidieni ujanja washkaji...
Umejuaje kama unawezana nao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naomba mawazo ya wazoefu wa kuinteract na wazungu.

Nahitaji msichana/mwanamke wa kizungu awe mpenzi wangu ila sielewi nifanyeje nimpate.

Nimejitahidi kwenda maeneo wanayopendelea kukaa haswa oysterbay/masaki lakini namna ya kuwaingia ni ishu maana wapo busy sana na mambo yao pia ni wagumu kumuamini stranger.

Kwa nini napenda mzungu??

Nimeona lifestyle yangu mwanamke tunayewrza elewana ni wakizungu tu, sihitaji kwenda nje au kupata mali kutoka kwao.

Nisaidieni ujanja washkaji...
Geuza hili tangazo lako liwe la kizungu kwa kuwa umelenga wazungu, ili tupate pa kuanzia
Usisahau kuandika hobbies zako na nini hasa unatamani kwa Msichana wa kizungu umtakaye
 
Unataka mzungu wa kunyandua na kumuacha au unataka uoe kabisa.
Kama una pesa njoo PM nikuunganishe na volunteers wangu wa kizungu.
Je unaweza kula jicho la mzungu ukipewa?
Maana baadhi yao ndio raha yao.
 
Unataka mzungu wa kunyandua na kumuacha au unataka uoe kabisa.
Kama una pesa njoo PM nikuunganishe na volunteers wangu wa kizungu.
Je unaweza kula jicho la mzungu ukipewa?
Maana baadhi yao ndio raha yao.
Masuala ya jicho hapana mkuu pia kutoa pesa kwa ajili hiyo sitoweza.
 
Tembelea maeneo wanayoatikana uwe familiar nao.

Jaribu na Dating app/site _ ujuwe mada ,za kuzungumza without being boring... ni lazima uwe vizuir kwenye conversation punguza maswali kama interview, weka story nzuri

Jaribu na app za kujifunza lugha kama tandem na hellotalk, unaweza ukapata wenye mpango wakuja huku
 
Lifestyle yako ni ya wazungu tuu!?
Unaamini Hakuna mwanamke wa kiafrika mwenye lifestyle hiyo?
Una uhakika kila mzungu yupo kama ulivyo au kama unavyofikiri?

Kila la heri lakini
unajua life staili yake ni kuingiliwa na dildo na mwanamke,hizo wanaweza wazungu
 
Tembelea maeneo wanayoatikana uwe familiar nao.

Jaribu na Dating app/site _ ujuwe mada ,za kuzungumza without being boring... ni lazima uwe vizuir kwenye conversation punguza maswali kama interview, weka story nzuri

Jaribu na app za kujifunza lugha kama tandem na hellotalk, unaweza ukapata wenye mpango wakuja huku
Dating site zipi ni nzuri?
 
Nenda kwa familia ya Malkia Elizabeth kawaambie wewe ni mwanajuiya wa madola na unahitaji mke wakizungu.

Hapo fasta yani unapigwa pingu za maisha
 
Back
Top Bottom