ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Ukraine wapo wengi mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Facebook nimepata wazungu wengi sana tatizo lao ni moja tu hawaombi hela wanataka wao ndo wakupe hela tu na mimi staki hivyo japokua nachukuaga
'Aina hii ya vijana wanamchango mdogo sana katika taifa" Niko nje ya mada
Nakazia!Mbwembwe acha [emoji1]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]'Aina hii ya vijana wanamchango mdogo sana katika taifa" Niko nje ya mada
Beach boy mtu wa dodoma hakuna hata mto wa kuogelea..si atazama baharini akufe.[emoji28][emoji28]nenda zanzibar kuwa beachboy na ishi your nature usi-act ustaarabu kama haunao, utawala hadi utasaza.
DarEasy man easy uko wp!?
Japo hiyo course ni gharama ila nitajitahidi nifanikishe kiongozi, umenipa bonge la ideaSikiliza tafuta laki nane tu jiandikishe pale ubalozi wa ujerumani kujifunza kijerumani hatua ya kwanza foundation laki nne na intermediate laki nne ni kama jumla miezi 9, pale kila alhamisi na jumanne kuna sinema jioni saa 1-4 usk ambazo huwa zinakutanisha staffs wa balozi za Uk, familia zao,marafiki, Canada, USA nk ila wote wazungu kwa ajili ya kujuana na kufahamiana ni fursa hiyo utakutana na mabinti wa kizungu wengi mno, tena tambua wazungu mabalozini wengi ni singles ila mpaka akuvulie au akukubalie my friend uwe royal mno lazima ajiridhishe vya kutosha akuvulii kirahisi rahisi, niliwapata sana pale, ila nimekua sasa nimeamua kutulia na Mu'asia [emoji23]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Asante kwa idea kiongoziIngia fb andika 'serious relationship dating group'
This is very plain 👏Facebook ni platform kubwa sana ndo inawatumiaji wengi Zaid ila wabongo na ulimbukeni wetu ndo tunajikuta tunajidai kuiona ya hovyo ila kule kuna connection kibao na watu wako lowkey hawna showoff kama huko insta na Twitter
😂😂 Ila huu ushauri umekaa kimkakati sanaWhere....
What to do...
- Kama haupo kaskazini jitahidi uhamie Arusha
- Jitahidi kusali misa za Kingeleza kwenye makanisa yaliyopo hapo. Hasa St Theresa na Burka
- Jitahidi kwenda kutazama muvi Am Mall au Njiro Complex.
- Kunasehemu panaitwa Subble Square ipo ngaramtoni ya chini/kisongo baada ya kupita Airtpot tembelea sana hapo kuna wazungu kibao. Ukiwa nje huwezi waona ila ndani wamejaa
- Jizime data usione aibu, jipendekeze sanaaa.
- Akiongea chochote cheka sana au tabasamu sana kama chizi kaona jalala
- Undoa kichwani swala la kumpata binti. Possibility ipo kwa wazeee😅😂😂
- Jifanye unataka kuwafundisha kiswahili. Sema nishawahi kutana na mzungu anaongea kimasai na kimeru kuliko hata akina nassari wenyewe
- Nimechoka kuType
Njia rahisi iliyokua inanikutanisha nao ilikua Supermarket.
Fuga rasta nenda beachNaomba mawazo ya wazoefu wa kuinteract na wazungu.
Nahitaji msichana/mwanamke wa kizungu awe mpenzi wangu ila sielewi nifanyeje nimpate.
Nimejitahidi kwenda maeneo wanayopendelea kukaa haswa oysterbay/masaki lakini namna ya kuwaingia ni ishu maana wapo busy sana na mambo yao pia ni wagumu kumuamini stranger.
Kwa nini napenda mzungu??
Nimeona lifestyle yangu mwanamke tunayewrza elewana ni wakizungu tu, sihitaji kwenda nje au kupata mali kutoka kwao.
Nisaidieni ujanja washkaji...
UmetishaWhere....
What to do...
- Kama haupo kaskazini jitahidi uhamie Arusha
- Jitahidi kusali misa za Kingeleza kwenye makanisa yaliyopo hapo. Hasa St Theresa na Burka
- Jitahidi kwenda kutazama muvi Am Mall au Njiro Complex.
- Kunasehemu panaitwa Subble Square ipo ngaramtoni ya chini/kisongo baada ya kupita Airtpot tembelea sana hapo kuna wazungu kibao. Ukiwa nje huwezi waona ila ndani wamejaa
- Jizime data usione aibu, jipendekeze sanaaa.
- Akiongea chochote cheka sana au tabasamu sana kama chizi kaona jalala
- Undoa kichwani swala la kumpata binti. Possibility ipo kwa wazeee😅😂😂
- Jifanye unataka kuwafundisha kiswahili. Sema nishawahi kutana na mzungu anaongea kimasai na kimeru kuliko hata akina nassari wenyewe
- Nimechoka kuType
Njia rahisi iliyokua inanikutanisha nao ilikua Supermarket.