Natamani Ma-Celebrity wa Bongo wangekuwa kama Ma-Celebrity wa Nigeria

Unajua mimi nakushangaa sana unavyokimbizana na mimi!

mimi nina maisha yangu.. nilishamaliza uzazi muda nalea wajukuu

unadhani kila demu anaeandika JF ni danga umepotea

ni vile hawaruhusu kutag mambo private ningekutumia website yangu ya uzeeni ukachoke!

sikunyingine usipende kuzoea watu, kama una njaa sema usaidiwe.. kunitukana mimi Jela miezi 6!

hhahaha daah haya bana umeshinda

huu mziki uskize vzuri

 
acha tambo tuma
 
Wasanii wetu bado wanafursa kubwa sana ya kuwa kama hao wanaotoka Nigeria,ila kwa sasa wako kimatumizi sana kuliko kuwekeza kwenye vitu vya msingi.Na kitu kingine pia nidhamu ya fedha ni tatizo.
kweli kabisa! Mashauzi Classic Baby!
 
Halafu kingine nachoshangaa kutokana wingi wawo wa watu wanaotumia mitandao unakuta Celebrity mkubwa ana followers 100 K ila ukija Bongo Celebrity kajamba nani ana Followers Milioni 1.
kwa sababu nchi yenyewe ina wajinga wengi wanaopenda kufutalia mambo ya kijinga zaidi
 
kwa sababu nchi yenyewe ina wajinga wengi wanaopenda kufutalia mambo ya kijinga zaidi
hahahahahahha unajua utafungwa wewe! shauriako
usisahau sheria ya mitandao!
haki nimecheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…