Natamani Ma-Celebrity wa Bongo wangekuwa kama Ma-Celebrity wa Nigeria

Naijas hao akili kubwa. Ndio the most intelligent Africans. Tatizo lao uchawi tu. Kuna my ndugu mmoja naye mdangaji. Alipata bwana mnaija(igbo) jamaa ni medical scientist profession yake. Ila nkaja kuchoka anamuuliza kimwana mganga mzuri hapa Tanzania. Nkaona duuuh!
 
samahani unaongea ni mimi au JF?
 
Huku wanagombea jina laTz sweetheart!
Tz sweetheart huna hata kibaraza tu,nyumba umepangiwa
DOH nilishangaa maskini kuona instagram wanagombea sijui Sweetheart hataree
 
IGBO MAN WAZURI SANA
KULIKO YORUBAS AND WALE WENGINE SIJUI WANAITWAJE NIMESAHAU
 
Kazi na dawa[emoji23][emoji23][emoji23]
wenzenu wanachanganya vitu vyote Uchawi na sayansi
tatizo letu sisi tunabase upande mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kazi na dawa[emoji23][emoji23][emoji23]
wenzenu wanachanganya vitu vyote Uchawi na sayansi
tatizo letu sisi tunabase upande mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha noma sana. Ni kweli tupu.
Huku kusoma hatutaki. Kazi kuwanga na majungu.
Kule kusoma kikwelikweli na kuroga kikwelikweli.
 
heheheheh
Happy New Year bro
 
Kama yule Ini Edo ana maapartments mia kidogo....yaan ye kila wiki anabadilisha ndinga mpya na za maana only!

Hadi Tonto Dikey mvuta bangi, kicheche nae tajiri mbaya yaan...chinekeeeee

Mi namkubali sana tontoh dikeh, ya anavuta bangi na Ana danga kwa wanaume wenye pesa , yan yuko vzur sana Yule , now wako dubai na bobrisky wanakula maisha tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mi namkubali sana tontoh dikeh, ya anavuta bangi na Ana danga kwa wanaume wenye pesa , yan yuko vzur sana Yule , now wako dubai na bobrisky wanakula maisha tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
meona ee
nimemwona snapchat doh rahaa
 
Elimu ,Elimu,Elimu ndio kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…