Natamani Ma-Celebrity wa Bongo wangekuwa kama Ma-Celebrity wa Nigeria

Natamani Ma-Celebrity wa Bongo wangekuwa kama Ma-Celebrity wa Nigeria

Kutokujua kiingereza kwa wasanii wetu kunawapelekea kushindwa kufanya mambo nje ya nchi au kuibiwa na mameneja/mapromota uchwara wa bongo.

Kwa kiwango kikubwa movie, comedy na mziki umefaidisha zaidi wasanii Uganda na Kenya kuliko TZ.
Waliochomoza kwetu ni Diamond na late Kanumba tu.
Wanachoongoza kwetu hii followers wa social media na hits za you tube
Hehehehehe
 
Kuna mahali niliona wakisema Princess Tiffah wa mondi ana followers wengi instagram kuliko mtoto mwingine yeyote wa celebrity wa umri wake akiwemo Blue Ivy wa Beyonce+Jay Z.

Ishu sasa ni kwa namna gani umaarufu wa social media unawaingizia hela bongo celebrity kuacha endorsement uchwara na malipo ya you tube...
Ivi naskiaga tu kulipwa instagram
Wanalipaje?!
Nimeshauliza ma expert wanakataa hamna kitu kama hicho
 
You nailed it honey Money Penny
Tatizo la ma celebrate wetu ni kufake, yaani hata hiyo Prado unayosema anaendesha unakuta amehongwa na mbaya zaidi kadi ya gari yenyewe anayo mwanaume😀😀😀
Wameshindwa kuomba mitaji ili wafanye biashara na uwekezaji kwa manufaa yao ya baadaye, wao wanaomba wapangishiwe apartments Mbezi beach.
Ila Money Penny njoo uwape semina elekezi hao mastaa wetu angalau wajitambue sisi wanaume wa JF tutagharamia posho ya kujikimu na malazi😀😀😀
Hahaha haha
Watanilipa nikifundisha?!
 
Kama yule Ini Edo ana maapartments mia kidogo....yaan ye kila wiki anabadilisha ndinga mpya na za maana only!

Hadi Tonto Dikey mvuta bangi, kicheche nae tajiri mbaya yaan...chinekeeeee
Ah nampendaje KING TOTO LENT DIKEY!

Sikuhizi Kaokoka. .. Kameolewa na Taajiri mmoja mtumzima kametulia
 
Mpaka leo Wema, Wolper, Uwoya, Ant Eze wanaringishiana Nyumba za kupanga!
Hongera sana kwa dada Jide na SHISHI BABY mambo yenu si haba.
Sooon Shilole atawafunika hao hapo juu maaana anaonekana ana uchu wa maendeleo hataki kuuza sura.
Kabisa
 
La kushangaza familia ya kwao ni wasomi. naona yeye tu ndio mbumbumbu.

Tatizo ni mama, amechangia kiasi kikubwa mfumo wa maisha ya mwanawe.
Ukimsikia mama yake anavyoongea YouTube kuhusu mwanae kwenda kwa waganga utatamani umchape kibao anavyotoka povu mpaka mishipa ya shingo imemtoka kiru
Wanyaturu oyee!
 
we upo kundi gani danga, malaya au mjasiriamali wa pochi/mkebe na ungeanza wewe ili uwape somo realistic hao wanafunzi wako
Sipo kote huko ulivyoviandika mama
Waende shule wakasome mimi sio mwalimu au wakajifunze kwa WaNigeriA
 
Umeandika upuuzi wa hali ya juu...
hujawaonea huruma kwa dhambi ya uzinzi waitendayo....hv mnajisahaulisha kama kuna kiama???pls tell .... people the good thing....usiwa encourage uzinzi
Sawa Mchungaji
ila hujafungwa kabisa unaweza fungua uzi wako ukahubiri unavyotaka

Embu kwa kuanzia naomba tupe wachungaji walokole wako 10 tu hapa Bongo wenye maisha ya maana tofauti Na wachungaji walokole wa Nigeria

Tupe basi majina tusikie

Tupe majina Na maendeleo yao ya maisha ya kimwili
 
Sawa Mchungaji
ila hujafungwa kabisa unaweza fungua uzi wako ukahubiri unavyotaka

Embu kwa kuanzia naomba tupe wachungaji walokole wako 10 tu hapa Bongo wenye maisha ya maana tofauti Na wachungaji walokole wa Nigeria

Tupe basi majina tusikie

Tupe majina Na maendeleo yao ya maisha ya kimwili
Mimi ni mvuta bangi sio mchungaji...
but I praise Jah.....
nakazia mali iliyopatikana kwa njia ya uzinzi ni mali ya laana....
 
Back
Top Bottom