copernicucci98
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 1,232
- 2,362
Haya machoWanakataaga ukianza wewe kuwatamkia kwamba wakuolee mke, wanahisi unatafuta chambo ya kugawa talaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya machoWanakataaga ukianza wewe kuwatamkia kwamba wakuolee mke, wanahisi unatafuta chambo ya kugawa talaka.
Anataka uhakika wa mbususu kusuguliwa siku akiwa na uhitaji----Au ndo mbususu inasuguliwa muda wowote ili mradi atake? Anachagua wa kumualika dinner na kumtega?Shida yako watoto tu? Mbona sperm donors wamejaa hapa duniani.
🤔🤔Habari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu
Kama wewe mkristo,ndoa za kikristo hazina mwanya huo.Badiri dini mremboHabari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. Nawaona wake za baba yangu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.
Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.
Personally nimeyatamani sana haya maisha.
Aiseee!Mwenyewe huwa nawaza ka wewe mleta mada mume awe hata na wake sita hivi ili kunipa na mimi mda wa kutimiza ndoto nikiwa busy na kazi zangu pia maana kikubwa mimi kwa mwanaume ni kutaka watoto sasa nikiwa nao tayari furaha yangu yeye ahangaike na hao wake wengine tena ubusy huo hata kugombana na kusumbuana inakuwa kidogo mno.
Nadhani mawazo yake ni ya ujana sanaShida yako watoto tu? Mbona sperm donors wamejaa hapa duniani.
[emoji23][emoji23]ndio sasa nitake kingine kipi ndio maana napenda mwanaume awe na wake hata miaKama kwa mumeo unataka watoto tu Bora usiolewe
Sio kila sperm donor wakumzalia aisee lazima kuangalia na mtu na mtu lazima kuwa na calculations kali na kuangalia faida hasa kuliko hasara kabla ya kuleta viumbe duniani.Shida yako watoto tu? Mbona sperm donors wamejaa hapa duniani.
Unaweza kuwa uko sahihi.[emoji23][emoji23]ndio sasa nitake kingine kipi ndio maana napenda mwanaume awe na wake hata mia
Mungu akutunze weee dada ....Habari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. Nawaona wake za baba yangu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.
Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.
Personally nimeyatamani sana haya maisha.
Hahahahha kwamba Amuonekanie?Mungu akutunze weee dada ....
unatamani kitu ambacho unaonekana hukijuiHabari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. Nawaona wake za baba yangu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.
Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.
Personally nimeyatamani sana haya maisha.
Akili yako famba kweli.....Habari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. Nawaona wake za baba yangu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.
Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.
Personally nimeyatamani sana haya maisha.
I'm old enough na jinsi na grow I have learn to live the life I want, pia nimeona dunia hii expectations za ki depend kwa watu au rules za kijamii huwa zinatesa watu, I prefer open relationship bila kuwa na attachment ya kusumbuana na vile pia kuliko kuwa na unafiki au commitment ya ndoa moja huku miteso hapanaUnaweza kuwa uko sahihi.
I think na age pia inachangia, na shared life experiences pia.
Hii ndo mahali dunia imefika sasa.
Mi nakuelewa.
Lakin in reality, maisha ya ndoa na mahusiano hayakaribishi sana aina hii ya utayari.
Kuna vitu tu huwa vinafikisha watu hapa.
Which still, bado ni uhalisia wa maisha.
So your right love.