Natamani nikupende asilimia mia

Natamani nikupende asilimia mia

Hayo makandokando ndiyo udhihirisho wa ubinadamu wangu, hayo ndiyo madhaifu yangu.

Nirekebishe pale unapoona nakosea, uzuri ni kuwa unanifahamu. Naahidi kubadilika na kuachana na hayo yasiyokupendeza.

Nipende tu asilimia zote Mamiloo.
 
Hayo makandokando ndiyo udhihirisho wa ubinadamu wangu, hayo ndiyo madhaifu yangu.

Nirekebishe pale unapoona nakosea, uzuri ni kuwa unanifahamu. Naahidi kubadilika na kuachana na hayo yasiyokupendeza.

Nipende tu asilimia zote Mamiloo.
🤣🤣🤣🤣kichwa yako si nzuri dadiloo
 
"Unataman umpende asilimia mia" ni wazi unampenda mtu asiye jali kwa lugha nyingine hakupendi
Ndugu mheshimiwa…kama unampenzi/mke….unapochepuka unakuwa humpendi??
 
Ukijifunza kupenda pale unapopendwa hutakua na stress, na utafirahia maisha ya mahusiano, simaanishi drama hazitakuwepo Ila ni tofauti na pale ambapo hupendwi
 
Kuna wale jamaa walipenda sana kutumia carbon copy kufikisha ujumbe, sa mbona Chakorii umesahau kufanya hivyo?
Ndugu ERoni tulia ndugu yangu…hapa nilipo nabembeleza mtu analia mfano hakuna.nimejaribu kumpa maji atulize kilio lakin wapi..

Nikaamua nijianzishie zangu uzi jf😆😆.

Seriously huyu phaller anaumia.

Msiseme nitume picha siwezi
 
Hayo makandokando ndiyo udhihirisho wa ubinadamu wangu, hayo ndiyo madhaifu yangu.

Nirekebishe pale unapoona nakosea, uzuri ni kuwa unanifahamu. Naahidi kubadilika na kuachana na hayo yasiyokupendeza.

Nipende tu asilimia zote Mamiloo.
Uzi unaweza kufungwa sasa. Chakorii zingatia ushauri huu. Happy New Year binti yangu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Ndugu ERoni tulia ndugu yangu…hapa nilipo nabembeleza mtu analia mfano hakuna.nimejaribu kumpa maji atulize kilio lakin wapi..

Nikaamua nijianzishie zangu uzi jf😆😆.

Seriously huyu phaller anaumia.

Msiseme nitume picha siwezi
Mimi wala sio mpenzi wa picha as naweza tengeneza yangu kwa maelezo yako🤣
Mtu akilia unamwacha tu alie, ila hakikisha analia na kutoa machozi kweli kweli. Hii itamsaidia kuimarisha afya yake ya akili.

Ila sasa, huyo phaller akilia muweke kifuani umbembeleze, wallah nakuambia within no seconds atakuwa anapiga tu kwikwi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom