Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Penda unapopendwa usilazimishe kupenda usipopendwaYes asilimia mia sijakosea…lakini unamakando kando mengi(nayajua )na yananiumiza.
Hapi nu yia
"Unataman umpende asilimia mia" ni wazi unampenda mtu asiye jali kwa lugha nyingine hakupendiNdugu mwanajf mwenzangu elewa basi kichwa cha habari na kilichomo ndani..
🤣🤣🤣🤣kichwa yako si nzuri dadilooHayo makandokando ndiyo udhihirisho wa ubinadamu wangu, hayo ndiyo madhaifu yangu.
Nirekebishe pale unapoona nakosea, uzuri ni kuwa unanifahamu. Naahidi kubadilika na kuachana na hayo yasiyokupendeza.
Nipende tu asilimia zote Mamiloo.
Ndugu ERoni tulia ndugu yangu…hapa nilipo nabembeleza mtu analia mfano hakuna.nimejaribu kumpa maji atulize kilio lakin wapi..Kuna wale jamaa walipenda sana kutumia carbon copy kufikisha ujumbe, sa mbona Chakorii umesahau kufanya hivyo?
Uzi unaweza kufungwa sasa. Chakorii zingatia ushauri huu. Happy New Year binti yangu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Hayo makandokando ndiyo udhihirisho wa ubinadamu wangu, hayo ndiyo madhaifu yangu.
Nirekebishe pale unapoona nakosea, uzuri ni kuwa unanifahamu. Naahidi kubadilika na kuachana na hayo yasiyokupendeza.
Nipende tu asilimia zote Mamiloo.
Mimi wala sio mpenzi wa picha as naweza tengeneza yangu kwa maelezo yako🤣Ndugu ERoni tulia ndugu yangu…hapa nilipo nabembeleza mtu analia mfano hakuna.nimejaribu kumpa maji atulize kilio lakin wapi..
Nikaamua nijianzishie zangu uzi jf😆😆.
Seriously huyu phaller anaumia.
Msiseme nitume picha siwezi