Natamani sana andiko hili la hukumu ya Afande Bageni lisomwe vituo vya Polisi na Makazi yao kwenye Paredi

Natamani sana andiko hili la hukumu ya Afande Bageni lisomwe vituo vya Polisi na Makazi yao kwenye Paredi

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
(Ameandika Malisa G. )
SSP Christopher Bageni atanyongwa hadi kufa. Ndivyo mahakama ya rufaa ilivyoamua. Maamuzi ya leo ni ya mwisho ktk mwenendo wa kesi yake. Hana pengine pa kukata rufaa, pa kukimbilia, wala pa kupinga. Mahakama imeamua anyongwe hadi afe. Jaji Stellah Mugasha amegonga nyundo. Itz over.

Hawezi kukata rufaa tena kwa sababu hukumu ya leo ni review ya hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo September 16, 2016, ambapo alihukumiwa kunyongwa hadi kufa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Benard Luanda. So hakuna mahakama ya kujadili tena shauri lake, labda Rais ampe msamaha.

Kwa wasiokumbuka Bageni alikua Mkuu wa Upelelezi wilaya ya Kinondoni. Mwaka 2006 yeye na wenzie wakiongozwa na aliyekua Kaimu RPC Dar, Abdalah Zombe, walituhumiwa kupanga njama za kuwauwa wafanyabiashara watatu wa Morogoro.

Zombe anadaiwa ndiye aliyeongoza wenzie kwenye mpango huo, baada ya kujulishwa kuwa wana madini na fedha kiasi cha shilingi milioni 200.

Walikamata gari waliyokua wameikodi. Wakamuongoza dereva hadi msitu wa Mabwepande. Wakapora madini pamoja na fedha zote walizokua nazo. Kisha wakawafunga vitambaa vyeusi usoni na pingu mikononi. Kisha wakawapiga risasi za kisogoni na kuwauwa wote akiwemo dereva wa taxi waliyemkodisha.

Kesho yake Zombe akaita media na kusema wameua majambazi yaliyokua yanarushiana risasi na Polisi. Rais Kikwete akaunda tume ya Jaji Kipenka kuchunguza. Ikabainika hawakuwa majambazi. Kilichouma zaidi walikua ndugu wa familia moja. Mama mmoja alipoteza wanae watatu. Watoto wa familia 4 wakapoteza baba zao, na wake wanne wakawa wajane kwa tamaa za polisi.

Zombe alifanikiwa "kuchomoka" kwenye kesi hii baada ya kusota rumande kwa miaka kadhaa. Lakini Bageni alipatikana na hatia akahukumiwa kunyongwa. Akakata rufaa ikafeli, akaomba review ya kesi, na rulling imesomwa leo kuwa ANYONGWE HADI KUFA.

Waliomtuma hawapo nae Segerea, wala hawatanyongwa pamoja nae. Atanyongwa peke yake. Wanaohangaika nae saivi angalau kumfariji ni familia yake. Zombe hayupo, OCD wake hayupo hata IGP wa wakati huo hayupo. Ni yeye mwenyewe, na atanyongwa mwenyewe.

Hii iwe fundisho kwa wote wanaotumwa kufanya maovu leo e.g kuteka, kuua na kupoteza watu. Ipo siku utajikuta peke yako. Anayekutuma hatakuwepo. Utasimama wewe mwenyewe kutoa hesabu ya maovu yako. Kama si hapa duniani basi hata mbinguni, lakini ipo siku utalipa. Kama ambavyo wema ni mbegu, na ubaya pia ni mbegu. Humea, hukomaa, na ni lazima UVUNE.!
 
Pengine wakisomea waraka huo watatambua kuwa kuagizwa kutenda mabaya au kutenda kwa hiari mwisho unaweza kuwa sawa na SSP Bageni na kuacha kilio kwa family yako na mateso kwako mwenyewe.
Pia ni laana unaiacha kwa familia yako.
Ndugu zangu Polisi, tutumie mamlaka yetu kutenda haki ndio mtakuwa rafiki wa Raia wema na mwisho mzuri kwenu
 
(Ameandika Malisa G. )
SSP Christopher Bageni atanyongwa hadi kufa. Ndivyo mahakama ya rufaa ilivyoamua. Maamuzi ya leo ni ya mwisho ktk mwenendo wa kesi yake. Hana pengine pa kukata rufaa, pa kukimbilia, wala pa kupinga. Mahakama imeamua anyongwe hadi afe. Jaji Stellah Mugasha amegonga nyundo. Itz over.

Hawezi kukata rufaa tena kwa sababu hukumu ya leo ni review ya hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo September 16, 2016, ambapo alihukumiwa kunyongwa hadi kufa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Benard Luanda. So hakuna mahakama ya kujadili tena shauri lake, labda Rais ampe msamaha.

Kwa wasiokumbuka Bageni alikua Mkuu wa Upelelezi wilaya ya Kinondoni. Mwaka 2006 yeye na wenzie wakiongozwa na aliyekua Kaimu RPC Dar, Abdalah Zombe, walituhumiwa kupanga njama za kuwauwa wafanyabiashara watatu wa Morogoro.

Zombe anadaiwa ndiye aliyeongoza wenzie kwenye mpango huo, baada ya kujulishwa kuwa wana madini na fedha kiasi cha shilingi milioni 200.

Walikamata gari waliyokua wameikodi. Wakamuongoza dereva hadi msitu wa Mabwepande. Wakapora madini pamoja na fedha zote walizokua nazo. Kisha wakawafunga vitambaa vyeusi usoni na pingu mikononi. Kisha wakawapiga risasi za kisogoni na kuwauwa wote akiwemo dereva wa taxi waliyemkodisha.

Kesho yake Zombe akaita media na kusema wameua majambazi yaliyokua yanarushiana risasi na Polisi. Rais Kikwete akaunda tume ya Jaji Kipenka kuchunguza. Ikabainika hawakuwa majambazi. Kilichouma zaidi walikua ndugu wa familia moja. Mama mmoja alipoteza wanae watatu. Watoto wa familia 4 wakapoteza baba zao, na wake wanne wakawa wajane kwa tamaa za polisi.

Zombe alifanikiwa "kuchomoka" kwenye kesi hii baada ya kusota rumande kwa miaka kadhaa. Lakini Bageni alipatikana na hatia akahukumiwa kunyongwa. Akakata rufaa ikafeli, akaomba review ya kesi, na rulling imesomwa leo kuwa ANYONGWE HADI KUFA.

Waliomtuma hawapo nae Segerea, wala hawatanyongwa pamoja nae. Atanyongwa peke yake. Wanaohangaika nae saivi angalau kumfariji ni familia yake. Zombe hayupo, OCD wake hayupo hata IGP wa wakati huo hayupo. Ni yeye mwenyewe, na atanyongwa mwenyewe.

Hii iwe fundisho kwa wote wanaotumwa kufanya maovu leo e.g kuteka, kuua na kupoteza watu. Ipo siku utajikuta peke yako. Anayekutuma hatakuwepo. Utasimama wewe mwenyewe kutoa hesabu ya maovu yako. Kama si hapa duniani basi hata mbinguni, lakini ipo siku utalipa. Kama ambavyo wema ni mbegu, na ubaya pia ni mbegu. Humea, hukomaa, na ni lazima UVUNE.!
Naunga mkono hoja,hii adhabu ya kifo kwa mtu kunyongwa mpaka afe,ni moja ya adhabu za the colonial legacy ambazo ni very barbaric,ndio maana Nyerere alisaini death warrant 2,Mwinyi akasaini kadhaa,Mkapa,JK na JPM hawakusaini hata moja!,Rais Samia ni mwanamke,hawezi kusaini!,its high time adhabu hii ifutwe!,na hata ikilazimika kubaki,sio kuua kwa kunyonga,tunaweza kuua kwa lether injection,au kwa electric chair,mtu anakufa in a civilized manner na sio barbaric!。 Tumsusitize Rais Samia,aupokee ushauri huu Leo Tanzania Yaamriwa Kuifuta Adhabu ya Kifo kwa Kunyongwa Mpaka Kufa!. Ni Aibu Tanzania Mpaka Ilazimishwe!. Rais Samia, Futilia Mbali Unyama Huu!
p
 
Pengine wakisomea waraka huo watatambua kuwa kuagizwa kutenda mabaya au kutenda kwa hiari mwisho unaweza kuwa sawa na SSP Bageni na kuacha kilio kwa family yako na mateso kwako mwenyewe.
Pia ni laana unaiacha kwa familia yako.
Ndugu zangu Polisi, tutumie mamlaka yetu kutenda haki ndio mtakuwa rafiki wa Raia wema na mwisho mzuri kwenu
hawa askari ambao kule mtwara walimuua mwenzao kwenye kisa cha mfanyabiashara wa madini aliyepoteza maisha mikononi mwa polisi!? kwa hawa nakukatalia hata kila mmoja apewe nakala ya hukumu hawatoacha kuiminya haki kwa kutii maagizo ya wakubwa ambayo nyakati nyingi huwa ni batili.
 
Kwa hali ya siku hizi ambapo utekaji na maauji ni deep state sponsored sidhani kuna hakimu atakaye enda kinyume na Muhimili wenye mizizi mirefu zaidi.
Hata kesi hiyo ni sababu ya ushawishi wa marehemu mbunge Selina kwa Kikwete (waliouwawa walikuwa watu wa sehemu moja na Selina)
 
Pengine wakisomea waraka huo watatambua kuwa kuagizwa kutenda mabaya au kutenda kwa hiari mwisho unaweza kuwa sawa na SSP Bageni na kuacha kilio kwa family yako na mateso kwako mwenyewe.
Pia ni laana unaiacha kwa familia yako.
Ndugu zangu Polisi, tutumie mamlaka yetu kutenda haki ndio mtakuwa rafiki wa Raia wema na mwisho mzuri kwenu
Kwa hali ya siku hizi ambapo utekaji na maauji ni deep state sponsored sidhani kuna hakimu atakaye enda kinyume na Muhimili wenye mizizi mirefu zaidi.
Hata kesi hiyo ni sababu ya ushawishi wa marehemu mbunge Selina kwa Kikwete (waliouwawa walikuwa watu wa sehemu moja na Selina)
Naunga mkono hoja,
p
Endapo kama OCD Christopher Bageni angenyongwa Kama ambavyo imeamriwa na Mahakama, basi matukio ya Askari Polisi na Tiss kutuhumiwa kwenye Uhalifu mbaya na wa hatari wa kuteka na kuua Watu yangepungua kwa kiasi fulani
 
Mabadiliko ya jeshi la polisi yanategemea sana wanasiasa, kama hakutakuwepo na mabadiliko ya wanasiasa basi jeshi la polisi litalaumiwa sana ika hawana namna.

Mungu awasaidue sana polisi.
Polisi wote Wana Imani wanazoziamini, na wanaapa kwazo. Hakuna justification ya kutenda uovu kisa boss, siasa au Nani. Ukijua kwamba hata hiyo serikali Iko kwa kuwa imeruhusiwa kuwepo na huyo chief of Creation.
Ukiona huna namna ya kuacha kutenda uovu na Jinai kisa wanasiasa na mabosi eti familia itaishije then huna tofauti na anaeenda kutafuta utajiri wa Giza maana anaona watu hawamwelewi. Baki mwenyewe na Mungu wako Fanya maamuzi dhidi ya ushawishi wowote.
 
Mabadiliko ya jeshi la polisi yanategemea sana wanasiasa, kama hakutakuwepo na mabadiliko ya wanasiasa basi jeshi la polisi litalaumiwa sana ika hawana namna.

Mungu awasaidue sana polisi.
Mabadiliko ya Jeshi la Polisi, Tiss na Taasisi zingine za Mfumo wa Utawala hutegemea moja kwa moja na Mabadiliko ya Katiba ya nchi na Sheria nyinginezo katika nchi. Hakikisho la uhakika kwa masuala haya ya Usalama wa Watu hutegemea zaidi na uzuri na uimara wa Katiba ya nchi ambayo inamuweka kila Mtu kuwa yupo chini ya Sheria. Nobody is above the law.
 
(Ameandika Malisa G. )
SSP Christopher Bageni atanyongwa hadi kufa. Ndivyo mahakama ya rufaa ilivyoamua. Maamuzi ya leo ni ya mwisho ktk mwenendo wa kesi yake. Hana pengine pa kukata rufaa, pa kukimbilia, wala pa kupinga. Mahakama imeamua anyongwe hadi afe. Jaji Stellah Mugasha amegonga nyundo. Itz over.

Hawezi kukata rufaa tena kwa sababu hukumu ya leo ni review ya hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo September 16, 2016, ambapo alihukumiwa kunyongwa hadi kufa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Benard Luanda. So hakuna mahakama ya kujadili tena shauri lake, labda Rais ampe msamaha.

Kwa wasiokumbuka Bageni alikua Mkuu wa Upelelezi wilaya ya Kinondoni. Mwaka 2006 yeye na wenzie wakiongozwa na aliyekua Kaimu RPC Dar, Abdalah Zombe, walituhumiwa kupanga njama za kuwauwa wafanyabiashara watatu wa Morogoro.

Zombe anadaiwa ndiye aliyeongoza wenzie kwenye mpango huo, baada ya kujulishwa kuwa wana madini na fedha kiasi cha shilingi milioni 200.

Walikamata gari waliyokua wameikodi. Wakamuongoza dereva hadi msitu wa Mabwepande. Wakapora madini pamoja na fedha zote walizokua nazo. Kisha wakawafunga vitambaa vyeusi usoni na pingu mikononi. Kisha wakawapiga risasi za kisogoni na kuwauwa wote akiwemo dereva wa taxi waliyemkodisha.

Kesho yake Zombe akaita media na kusema wameua majambazi yaliyokua yanarushiana risasi na Polisi. Rais Kikwete akaunda tume ya Jaji Kipenka kuchunguza. Ikabainika hawakuwa majambazi. Kilichouma zaidi walikua ndugu wa familia moja. Mama mmoja alipoteza wanae watatu. Watoto wa familia 4 wakapoteza baba zao, na wake wanne wakawa wajane kwa tamaa za polisi.

Zombe alifanikiwa "kuchomoka" kwenye kesi hii baada ya kusota rumande kwa miaka kadhaa. Lakini Bageni alipatikana na hatia akahukumiwa kunyongwa. Akakata rufaa ikafeli, akaomba review ya kesi, na rulling imesomwa leo kuwa ANYONGWE HADI KUFA.

Waliomtuma hawapo nae Segerea, wala hawatanyongwa pamoja nae. Atanyongwa peke yake. Wanaohangaika nae saivi angalau kumfariji ni familia yake. Zombe hayupo, OCD wake hayupo hata IGP wa wakati huo hayupo. Ni yeye mwenyewe, na atanyongwa mwenyewe.

Hii iwe fundisho kwa wote wanaotumwa kufanya maovu leo e.g kuteka, kuua na kupoteza watu. Ipo siku utajikuta peke yako. Anayekutuma hatakuwepo. Utasimama wewe mwenyewe kutoa hesabu ya maovu yako. Kama si hapa duniani basi hata mbinguni, lakini ipo siku utalipa. Kama ambavyo wema ni mbegu, na ubaya pia ni mbegu. Humea, hukomaa, na ni lazima UVUNE.!
ogopa sana mtu ambaye akivaa tu manguo yake ya khakhi ama wale yangeyange wa barabarani anajiona tayari kamaliza kila kitu hapa duniani, wale umbwa hata wakiambiwa nini hawaweezi kubadilika maana kazi ile ni kazi ya laana, laana haiondoki kwa kuweka mabango ni mpaka pale Mungu anapoamua kuwasamehe baadhi yao tena wale ambao wanamjua .
 
Kwa hali ya siku hizi ambapo utekaji na maauji ni deep state sponsored sidhani kuna hakimu atakaye enda kinyume na Muhimili wenye mizizi mirefu zaidi.
Hata kesi hiyo ni sababu ya ushawishi wa marehemu mbunge Selina kwa Kikwete (waliouwawa walikuwa watu wa sehemu moja na Selina)
 
(Ameandika Malisa G. )
SSP Christopher Bageni atanyongwa hadi kufa. Ndivyo mahakama ya rufaa ilivyoamua. Maamuzi ya leo ni ya mwisho ktk mwenendo wa kesi yake. Hana pengine pa kukata rufaa, pa kukimbilia, wala pa kupinga. Mahakama imeamua anyongwe hadi afe. Jaji Stellah Mugasha amegonga nyundo. Itz over.

Hawezi kukata rufaa tena kwa sababu hukumu ya leo ni review ya hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo September 16, 2016, ambapo alihukumiwa kunyongwa hadi kufa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Benard Luanda. So hakuna mahakama ya kujadili tena shauri lake, labda Rais ampe msamaha.

Kwa wasiokumbuka Bageni alikua Mkuu wa Upelelezi wilaya ya Kinondoni. Mwaka 2006 yeye na wenzie wakiongozwa na aliyekua Kaimu RPC Dar, Abdalah Zombe, walituhumiwa kupanga njama za kuwauwa wafanyabiashara watatu wa Morogoro.

Zombe anadaiwa ndiye aliyeongoza wenzie kwenye mpango huo, baada ya kujulishwa kuwa wana madini na fedha kiasi cha shilingi milioni 200.

Walikamata gari waliyokua wameikodi. Wakamuongoza dereva hadi msitu wa Mabwepande. Wakapora madini pamoja na fedha zote walizokua nazo. Kisha wakawafunga vitambaa vyeusi usoni na pingu mikononi. Kisha wakawapiga risasi za kisogoni na kuwauwa wote akiwemo dereva wa taxi waliyemkodisha.

Kesho yake Zombe akaita media na kusema wameua majambazi yaliyokua yanarushiana risasi na Polisi. Rais Kikwete akaunda tume ya Jaji Kipenka kuchunguza. Ikabainika hawakuwa majambazi. Kilichouma zaidi walikua ndugu wa familia moja. Mama mmoja alipoteza wanae watatu. Watoto wa familia 4 wakapoteza baba zao, na wake wanne wakawa wajane kwa tamaa za polisi.

Zombe alifanikiwa "kuchomoka" kwenye kesi hii baada ya kusota rumande kwa miaka kadhaa. Lakini Bageni alipatikana na hatia akahukumiwa kunyongwa. Akakata rufaa ikafeli, akaomba review ya kesi, na rulling imesomwa leo kuwa ANYONGWE HADI KUFA.

Waliomtuma hawapo nae Segerea, wala hawatanyongwa pamoja nae. Atanyongwa peke yake. Wanaohangaika nae saivi angalau kumfariji ni familia yake. Zombe hayupo, OCD wake hayupo hata IGP wa wakati huo hayupo. Ni yeye mwenyewe, na atanyongwa mwenyewe.

Hii iwe fundisho kwa wote wanaotumwa kufanya maovu leo e.g kuteka, kuua na kupoteza watu. Ipo siku utajikuta peke yako. Anayekutuma hatakuwepo. Utasimama wewe mwenyewe kutoa hesabu ya maovu yako. Kama si hapa duniani basi hata mbinguni, lakini ipo siku utalipa. Kama ambavyo wema ni mbegu, na ubaya pia ni mbegu. Humea, hukomaa, na ni lazima UVUNE.!
Mwenye version ya Kiswahili ya Memento Homo atuwekee hapa ili iongeze ladha kwenye hili andiko adhimu.

Memento homo” is a Latin phrase that translates to “remember, you are only human”. It originated in ancient Rome.
How it was used in ancient Rome
During triumphant parades, Roman generals would have slaves whisper “Memento homo” in their ears.
The phrase is a reminder that everything is fleeting and nothing lasts forever.
 
Gj_pn2CbkAACSLP.png
 
Back
Top Bottom