Natamani sana andiko hili la hukumu ya Afande Bageni lisomwe vituo vya Polisi na Makazi yao kwenye Paredi

Ingependa na aliyewatuma akaunganishwa katika hiyo Kesi.

Kumuachia Huru Huyo Mkuu wao inafikirisha namna haki inavyotendeka.
Yaani alieita Waandishi wa Habari anaachiwa ananyongwa mtu mwingine na kumbuka hiyo kwenye hiyo kesi yupo askari alifia wakiwa jela kifo cha utata sana na huyo ndio alikua na ushahidi wa kesi yote..
 
Yaani alieita Waandishi wa Habari anaachiwa ananyongwa mtu mwingine na kumbuka hiyo kwenye hiyo kesi yupo askari alifia wakiwa jela kifo cha utata sana na huyo ndio alikua na ushahidi wa kesi yote..
Inashangaza Sana Mwaka 2009 ilipotolewa hukumu nilipata Goosebumps kuona Abdallah zombie Anaachiwa huru
 
Hatanyongwa huyo atabaki jela mpaka kifo kinamchukua mara nyingi huwa wanakufa kwa msongo wa mawazo tu...
Hao waliokumiwa kunyongwa huwa wanapewa special treatment wanakula vizuri , hawafokewi , na hulala sehemu nzuri.

Na maaskari wanaowalinda hawaruhusiwi kuvaa viatu wala mkanda na huwa hayo malindo yanombaniwa ukipangwa huko unakuwa upo stress free
 
Inashangaza Sana Mwaka 2009 ilipotolewa hukumu nilipata Goosebumps kuona Abdallah zombie Anaachiwa huru
Katika hukumu zilizonishangaza na hii pia mpaka naona huyo Bageni ni kama mbuzi wa kafala tu hii hukumu kwangu ingekua na nguvu huyo Zombie nae angekua anahangaika kukata rufaa maana kupitia yeye ndio tulijua kuna majambazi kutoka Mahenge alietangaza yupo huru.
 
Hao waliokumiwa kunyongwa huwa wanapewa special treatment wanakula vizuri , hawafokewi , na hulala sehemu nzuri.

Na maaskari wanaowalinda hawaruhusiwi kuvaa viatu wala mkanda na huwa hayo malindo yanombaniwa ukipangwa huko unakuwa upo stress free
Hakuna chakula kizuri jela kaka labda kitoke nje familia ndio walete ila sio cha wao kupika hakuna..
 


Hakuna dili litapigwa bila kuwashirikisha wakubwa hasa madili Makubwa ya kuanzia mil 200

Na ukiangalia mil 200 ya mwaka 2006 ilikuwa hela nyingi Sana .

So kilichofanyika ni kumtoa mtu kafara
 
Hakuna dili litapigwa bila kuwashirikisha wakubwa hasa madili Makubwa ya kuanzia mil 200

Na ukiangalia mil 200 ya mwaka 2006 ilikuwa hela nyingi Sana .

So kilichofanyika ni kumtoa mtu kafara
Kama unakumbuka vizuri hili lilikua kundi la pili kupotea watu wa madini wakitokea Mahenge kwa kelele za Wananchi ikabidi Mzee Kikwete aunde tume na kabla ya hapo pana hela nyingi ziliibiwa kariakoo na foleni ile na majambazi hawakukamatwa alipigwa risasi mpita njia aliekua anaonyesha njia waliyopita..
 
Duh
 
Haki imetendeka lakini bado haitoshi kurudisha imani kwa jeshi la polisi bado kuna matukio yenye kutia mashaka na kuogopesha yanaendelea kutokea. Serikali inapaswa kuupitia upya mfumo wa jeshi la polisi.
 
Story tu. Zombe alitoka sababu ya dini yake.
 
Inasikitisha sana
 
Mbaya zaidi kikosi hicho kilikua kinatokea hapo Urafiki kituo cha Polisi wakiwepo na Wanawake Polisi wakatili nao walifariki baada ya kuachiwa huru damu za watu ni nzito sana.
Karma lazima ifanye Kazi .

Nimekaa kota , hawa jamaa maisha yao huwa sio mazuri karma huwa zinasambaratisha familia zao na wao wenyewe . nimeishi nao nawaelewa Sana .dhulumati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…