Hapana mkuu naanda picha hapa niweke maana nilipoteza picha zangu pale simu yangu ilipoibiwaIngependeza kabla ya kupandisha mada hapa,ungejitafakari kwanza je ww upo kweny hayo mabadiliko?
Ww mwenyw unatumia feki id fake avatar halafu unawashawishi wengin wabadilike why?
Labda Unajambo lako mfukoni
Watu wa facebook mshafika hukuLeo nimetafakari sana juu ya hili jambo, kwa maana wanachama wa humu wa jf wakitumia majina pamoja na picha zao halisi kutaleta faida zifuatazo:
1. Kutaongeza kuheshimiana, endapo kila member humu atatumia jina pamoja na picha yake halisi kutapelekea kuheshimiana kwa kuwa member wengi humu wanachukuliana poa kwa kuwa ID sio halisi kwahiyo unaweza kuta katoto ka mwaka 2000 kanamtimulia vumbi mtu mzima tena wa miaka 70 huko.
2. Kutapunguza idadi ya watu kutumia ID zaidi ya moja , kama mjuavyo wengi humu wana ID's hata 10 kwa ajiri ya maslai yao binafsi hivyo kama mtu ili afungue account lazima atumie jina pamoja na picha yake original itakua ngumu mtu huyo kuwa na ID's zaid ya moja.
3.Kutarahisisha upanikanaji wa mchumba, mpenzi humu jukwaani, Hii naisema kwa kuwa wanawake wengi humu jukwaani wanachukulia sana poa wanaume wa humu jukwaani kwa kuwa awajawaona wanavyofanania, hivyo kama members humu wakitumia utambulisho wao halisi itakua ni rahisi kumpata mchumba tena ata mke humu jukwaani.
4. Kutapunguza utapeli, wengi humu wanatumia ID ambazo hazima taarifa za ukweli kwa ajiri ya kufanya utapeli hivyo endapo kama members humu watatumia majina na picha zao itakua rahisi ata kuwapata kwani picha na jina ni halisi.
Ni hayo tu wakuu kama kuna sehemu nimesahau kugusia unaweza kuongezea nyama
NAWASILISHA.
Hhahaha jf ni hatari kwahiyo watu wakamtimulia vumbiiKuna kipindi Mwigulu Nchemba alikuja na uzi hapa eti aulizwe maswali (ID ilikuwa ni jina lake halisi pia avator ni picha yake) alipewa za uso mpaka akakimbia uziπ watu hawana masihara kabisa
Wengine sio Tanzanians humu na hatuna paspot tuheshimieaneKwanini mkuu
Leo nimetafakari sana juu ya hili jambo, kwa maana wanachama wa humu wa jf wakitumia majina pamoja na picha zao halisi kutaleta faida zifuatazo:
1. Kutaongeza kuheshimiana, endapo kila member humu atatumia jina pamoja na picha yake halisi kutapelekea kuheshimiana kwa kuwa member wengi humu wanachukuliana poa kwa kuwa ID sio halisi kwahiyo unaweza kuta katoto ka mwaka 2000 kanamtimulia vumbi mtu mzima tena wa miaka 70 huko.
2. Kutapunguza idadi ya watu kutumia ID zaidi ya moja , kama mjuavyo wengi humu wana ID's hata 10 kwa ajiri ya maslai yao binafsi hivyo kama mtu ili afungue account lazima atumie jina pamoja na picha yake original itakua ngumu mtu huyo kuwa na ID's zaid ya moja.
3.Kutarahisisha upanikanaji wa mchumba, mpenzi humu jukwaani, Hii naisema kwa kuwa wanawake wengi humu jukwaani wanachukulia sana poa wanaume wa humu jukwaani kwa kuwa awajawaona wanavyofanania, hivyo kama members humu wakitumia utambulisho wao halisi itakua ni rahisi kumpata mchumba tena ata mke humu jukwaani.
4. Kutapunguza utapeli, wengi humu wanatumia ID ambazo hazima taarifa za ukweli kwa ajiri ya kufanya utapeli hivyo endapo kama members humu watatumia majina na picha zao itakua rahisi ata kuwapata kwani picha na jina ni halisi.
Ni hayo tu wakuu kama kuna sehemu nimesahau kugusia unaweza kuongezea nyama
NAWASILISHA.
Leo nimetafakari sana juu ya hili jambo, kwa maana wanachama wa humu wa jf wakitumia majina pamoja na picha zao halisi kutaleta faida zifuatazo:
1. Kutaongeza kuheshimiana, endapo kila member humu atatumia jina pamoja na picha yake halisi kutapelekea kuheshimiana kwa kuwa member wengi humu wanachukuliana poa kwa kuwa ID sio halisi kwahiyo unaweza kuta katoto ka mwaka 2000 kanamtimulia vumbi mtu mzima tena wa miaka 70 huko.
2. Kutapunguza idadi ya watu kutumia ID zaidi ya moja , kama mjuavyo wengi humu wana ID's hata 10 kwa ajiri ya maslai yao binafsi hivyo kama mtu ili afungue account lazima atumie jina pamoja na picha yake original itakua ngumu mtu huyo kuwa na ID's zaid ya moja.
3.Kutarahisisha upanikanaji wa mchumba, mpenzi humu jukwaani, Hii naisema kwa kuwa wanawake wengi humu jukwaani wanachukulia sana poa wanaume wa humu jukwaani kwa kuwa awajawaona wanavyofanania, hivyo kama members humu wakitumia utambulisho wao halisi itakua ni rahisi kumpata mchumba tena ata mke humu jukwaani.
4. Kutapunguza utapeli, wengi humu wanatumia ID ambazo hazima taarifa za ukweli kwa ajiri ya kufanya utapeli hivyo endapo kama members humu watatumia majina na picha zao itakua rahisi ata kuwapata kwani picha na jina ni halisi.
Ni hayo tu wakuu kama kuna sehemu nimesahau kugusia unaweza kuongezea nyama
NAWASILISHA.
Hhahahaha hapana mkuu fatilia nyuzi zangu utagundua mimi wala sio hao watu
Hahaha kafanyaje tena mkuu
AnakiparaHahaha kafanyaje tena mkuu
Ahahaaa kumbe, je na mm ni miongoni mwao? Mm nataman nikuone.Kweli mkuu mfano mimi kuna watu humu nawakubali sana na ningependa hata nikutane nao mkuu
Hahaha hapana mkuu lakini nataka tulete mabadiliko
Kwahiyo tukikamatwa kwa ugaidi mtabaki nyie mnatamba!Hapana mkuu tunataka dharau zipungue humu