Natamani sana kila member humu wa JamiiForums atumie jina na pamoja na picha yake halisi

Natamani sana kila member humu wa JamiiForums atumie jina na pamoja na picha yake halisi

Ingependeza kabla ya kupandisha mada hapa,ungejitafakari kwanza je ww upo kweny hayo mabadiliko?
Ww mwenyw unatumia feki id fake avatar halafu unawashawishi wengin wabadilike why?
Labda Unajambo lako mfukoni
Hapana mkuu naanda picha hapa niweke maana nilipoteza picha zangu pale simu yangu ilipoibiwa
 
Kuna kipindi Mwigulu Nchemba alikuja na uzi hapa eti aulizwe maswali (ID ilikuwa ni jina lake halisi pia avator ni picha yake) alipewa za uso mpaka akakimbia uzi😀 watu hawana masihara kabisa
 
Leo nimetafakari sana juu ya hili jambo, kwa maana wanachama wa humu wa jf wakitumia majina pamoja na picha zao halisi kutaleta faida zifuatazo:

1. Kutaongeza kuheshimiana, endapo kila member humu atatumia jina pamoja na picha yake halisi kutapelekea kuheshimiana kwa kuwa member wengi humu wanachukuliana poa kwa kuwa ID sio halisi kwahiyo unaweza kuta katoto ka mwaka 2000 kanamtimulia vumbi mtu mzima tena wa miaka 70 huko.

2. Kutapunguza idadi ya watu kutumia ID zaidi ya moja , kama mjuavyo wengi humu wana ID's hata 10 kwa ajiri ya maslai yao binafsi hivyo kama mtu ili afungue account lazima atumie jina pamoja na picha yake original itakua ngumu mtu huyo kuwa na ID's zaid ya moja.

3.Kutarahisisha upanikanaji wa mchumba, mpenzi humu jukwaani, Hii naisema kwa kuwa wanawake wengi humu jukwaani wanachukulia sana poa wanaume wa humu jukwaani kwa kuwa awajawaona wanavyofanania, hivyo kama members humu wakitumia utambulisho wao halisi itakua ni rahisi kumpata mchumba tena ata mke humu jukwaani.

4. Kutapunguza utapeli, wengi humu wanatumia ID ambazo hazima taarifa za ukweli kwa ajiri ya kufanya utapeli hivyo endapo kama members humu watatumia majina na picha zao itakua rahisi ata kuwapata kwani picha na jina ni halisi.

Ni hayo tu wakuu kama kuna sehemu nimesahau kugusia unaweza kuongezea nyama

NAWASILISHA.
Watu wa facebook mshafika huku
 
Kuna kipindi Mwigulu Nchemba alikuja na uzi hapa eti aulizwe maswali (ID ilikuwa ni jina lake halisi pia avator ni picha yake) alipewa za uso mpaka akakimbia uzi😀 watu hawana masihara kabisa
Hhahaha jf ni hatari kwahiyo watu wakamtimulia vumbii
 
Leo nimetafakari sana juu ya hili jambo, kwa maana wanachama wa humu wa jf wakitumia majina pamoja na picha zao halisi kutaleta faida zifuatazo:

1. Kutaongeza kuheshimiana, endapo kila member humu atatumia jina pamoja na picha yake halisi kutapelekea kuheshimiana kwa kuwa member wengi humu wanachukuliana poa kwa kuwa ID sio halisi kwahiyo unaweza kuta katoto ka mwaka 2000 kanamtimulia vumbi mtu mzima tena wa miaka 70 huko.

2. Kutapunguza idadi ya watu kutumia ID zaidi ya moja , kama mjuavyo wengi humu wana ID's hata 10 kwa ajiri ya maslai yao binafsi hivyo kama mtu ili afungue account lazima atumie jina pamoja na picha yake original itakua ngumu mtu huyo kuwa na ID's zaid ya moja.

3.Kutarahisisha upanikanaji wa mchumba, mpenzi humu jukwaani, Hii naisema kwa kuwa wanawake wengi humu jukwaani wanachukulia sana poa wanaume wa humu jukwaani kwa kuwa awajawaona wanavyofanania, hivyo kama members humu wakitumia utambulisho wao halisi itakua ni rahisi kumpata mchumba tena ata mke humu jukwaani.

4. Kutapunguza utapeli, wengi humu wanatumia ID ambazo hazima taarifa za ukweli kwa ajiri ya kufanya utapeli hivyo endapo kama members humu watatumia majina na picha zao itakua rahisi ata kuwapata kwani picha na jina ni halisi.

Ni hayo tu wakuu kama kuna sehemu nimesahau kugusia unaweza kuongezea nyama

NAWASILISHA.

Hautakuwa unafanya ofisi moja na mabwana Kingai, Mahita, Sirro, Lion Chawene au angalau na almaarufu wasiojulikana 😁😁?
 
Hautakuwa unafanya ofisi moja na mabwana Kingai, Mahita, Sirro, Lion Chawene au angalau na almaarufu wasiojulikana 😁😁?
Hhahahaha hapana mkuu fatilia nyuzi zangu utagundua mimi wala sio hao watu
 
Leo nimetafakari sana juu ya hili jambo, kwa maana wanachama wa humu wa jf wakitumia majina pamoja na picha zao halisi kutaleta faida zifuatazo:

1. Kutaongeza kuheshimiana, endapo kila member humu atatumia jina pamoja na picha yake halisi kutapelekea kuheshimiana kwa kuwa member wengi humu wanachukuliana poa kwa kuwa ID sio halisi kwahiyo unaweza kuta katoto ka mwaka 2000 kanamtimulia vumbi mtu mzima tena wa miaka 70 huko.

2. Kutapunguza idadi ya watu kutumia ID zaidi ya moja , kama mjuavyo wengi humu wana ID's hata 10 kwa ajiri ya maslai yao binafsi hivyo kama mtu ili afungue account lazima atumie jina pamoja na picha yake original itakua ngumu mtu huyo kuwa na ID's zaid ya moja.

3.Kutarahisisha upanikanaji wa mchumba, mpenzi humu jukwaani, Hii naisema kwa kuwa wanawake wengi humu jukwaani wanachukulia sana poa wanaume wa humu jukwaani kwa kuwa awajawaona wanavyofanania, hivyo kama members humu wakitumia utambulisho wao halisi itakua ni rahisi kumpata mchumba tena ata mke humu jukwaani.

4. Kutapunguza utapeli, wengi humu wanatumia ID ambazo hazima taarifa za ukweli kwa ajiri ya kufanya utapeli hivyo endapo kama members humu watatumia majina na picha zao itakua rahisi ata kuwapata kwani picha na jina ni halisi.

Ni hayo tu wakuu kama kuna sehemu nimesahau kugusia unaweza kuongezea nyama

NAWASILISHA.

Anza wewe. Kenge wewe
 
Hhahahaha hapana mkuu fatilia nyuzi zangu utagundua mimi wala sio hao watu

Mkuu kwenye face value tu 😁😁?

Wengine utawajua leo au kesho tu kweli?Unasemaje hicho kisiki?

IMG_20211018_115056_712.jpg


Nani angeshuku?

Si vizuri tuendelee hivi hivi?

Kwani yuko wapi Moses Lijenje?
 
Kweli mkuu mfano mimi kuna watu humu nawakubali sana na ningependa hata nikutane nao mkuu
Ahahaaa kumbe, je na mm ni miongoni mwao? Mm nataman nikuone.
kule mwanza,bukoba na Musoma, wanapenda kuweka "po" kwenye neno. so na mm natamanipo nikuonepo, nikujuwepo!!!!!
 
Umewahi kusikia jina Ben Saanane? Mimi naamini angekuwa bado yuko hai kama asingetumia jina lake la kweli. Akili mumkichwa Mkuu. Maisha ni matamu sana. 💃🏽🕺🏽💃🏽🕺🏽

Hahaha hapana mkuu lakini nataka tulete mabadiliko
 
JF itapoteza ladha kwa kasi sana hebu imagine sometimes kwa I'd fake unabishana na bosi wako au kuna watu wanaleta real life stories kupata ushauri unafikiri kutakua na guts za kuleta stories Kama hizo.
Wenye wale wa I'd fake waendelee na wewe unayetaka utambulisho halisi weka
 
Back
Top Bottom