πππWewe unaitwa Zinc ?
HAhahah mkuu me sihusiki huko nimetoa mada nione maoni ya wadau wa humu jf tu
Sijatumwa mkuu nimejaribu kuleta mazo tu wala sikua na nia mbaya mkuu, pia hongera kwa mchango wako mkuuUmeangalia upande mmoja tu. Hii haikuja tu kibahati kama unavyoifikiria. Hii hivi ilivyo inafanya mtu aongee uwazi ulivyo,bila kificho. Hakuna media yoyote hapa Tz inayoweza kuweka kitu kwa uwazi zaidi ya hii. Kitu ambacho walio kwenye madaraka hawakipendi,ksbb ya uwazi uliomo humu ambao hawataki kuusikia. Kwa hiyo tukiwa wazi hakuna atakaejaribu kukosoa kwa uwazi. Hii ilipiganiwa mpaka kuwa hivi. Kuna watu wamelala ndani kwa ajili ya hili
Kwa hiyo kama umetumwa na systems kujaribu kusukuma hiyo mada mbele utachemka tu. Kama unataka iwe hivyo nenda huko what'sup
Kuwa mfanoLeo nimetafakari sana juu ya hili jambo, kwa maana wanachama wa humu wa jf wakitumia majina pamoja na picha zao halisi kutaleta faida zifuatazo:
1. Kutaongeza kuheshimiana, endapo kila member humu atatumia jina pamoja na picha yake halisi kutapelekea kuheshimiana kwa kuwa member wengi humu wanachukuliana poa kwa kuwa ID sio halisi kwahiyo unaweza kuta katoto ka mwaka 2000 kanamtimulia vumbi mtu mzima tena wa miaka 70 huko.
2. Kutapunguza idadi ya watu kutumia ID zaidi ya moja , kama mjuavyo wengi humu wana ID's hata 10 kwa ajiri ya maslai yao binafsi hivyo kama mtu ili afungue account lazima atumie jina pamoja na picha yake original itakua ngumu mtu huyo kuwa na ID's zaid ya moja.
3.Kutarahisisha upanikanaji wa mchumba, mpenzi humu jukwaani, Hii naisema kwa kuwa wanawake wengi humu jukwaani wanachukulia sana poa wanaume wa humu jukwaani kwa kuwa awajawaona wanavyofanania, hivyo kama members humu wakitumia utambulisho wao halisi itakua ni rahisi kumpata mchumba tena ata mke humu jukwaani.
4. Kutapunguza utapeli, wengi humu wanatumia ID ambazo hazima taarifa za ukweli kwa ajiri ya kufanya utapeli hivyo endapo kama members humu watatumia majina na picha zao itakua rahisi ata kuwapata kwani picha na jina ni halisi.
Ni hayo tu wakuu kama kuna sehemu nimesahau kugusia unaweza kuongezea nyama
NAWASILISHA.
Duuh ila me nimeleta mada tu sikua na nia mbaya kama watu wanavyonifikiria humuMkuu hata wanaohusika huko nao wanasema hawahusiki. Unaona ngoma ilipo?
Suala la msingi linabakia:
View attachment 1978847
Au nasema uongo ndugu yangu?
Sijatumwa mkuu nimejaribu kuleta mazo tu wala sikua na nia mbaya mkuu, pia hongera kwa mchango wako mkuu
Hahah mkuu me naona kama mtu itampendeza kuweka picha aweke na asietaka aache maana hakuna ulazima
Sawa mkuu nimekupata ID's fake zina umuhimu lakini sometimes humu jf dharau nyingiPM zipo kwa wanaodhani wamefikia levels za kujuana kiundani.....
Alafu fake ID's zina raha yake coz mtu unakuwa huru.
Wengine n most wanted[emoji23][emoji23], mtatukosesha haki ya kushiriki humu.
Aisee ni kweli mkuu lakini mimi sikua na nia hiyo kama watu wanavyonitafsiri humuTatizo lililopo ni kuwa hata Kingai, Sirro, Lion Chawene na wasiojulikana wanamsimamo kama wako ππ.
Nakumbuka bwana Max (mola ampe ustahamilivu) amekaa sana central, kesi na faini juu kwa kudinda kumtambulisha memba kama bwana zinc ili waliojimilkisha nchi kinyemela wamchukulie hatua kali kwa kile tu alichoandika.
Ni kwa sababu hizo hata kama wewe ni unyasi kweli tukikuona tusistuke?
Mwone mwenzio huyu.
View attachment 1978879
Inawezekana je?
Hiiiiii bagosha!