Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Umeangalia upande mmoja tu. Hii haikuja tu kibahati kama unavyoifikiria. Hii hivi ilivyo inafanya mtu aongee uwazi ulivyo,bila kificho. Hakuna media yoyote hapa Tz inayoweza kuweka kitu kwa uwazi zaidi ya hii. Kitu ambacho walio kwenye madaraka hawakipendi,ksbb ya uwazi uliomo humu ambao hawataki kuusikia. Kwa hiyo tukiwa wazi hakuna atakaejaribu kukosoa kwa uwazi. Hii ilipiganiwa mpaka kuwa hivi. Kuna watu wamelala ndani kwa ajili ya hili
Kwa hiyo kama umetumwa na systems kujaribu kusukuma hiyo mada mbele utachemka tu. Kama unataka iwe hivyo nenda huko what'sup
Kwa hiyo kama umetumwa na systems kujaribu kusukuma hiyo mada mbele utachemka tu. Kama unataka iwe hivyo nenda huko what'sup