Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu ila mbna wapo watu wanatumia taarifa zao ogMkuu kwenye face value tu 😁😁?
Wengine utawajua leo au kesho tu kweli?Unasemaje hicho kisiki?
View attachment 1978751
Nani angeshuku?
Si vizuri tuendelee hivi hivi?
Kwani yuko wapi Moses Lijenje?
Asante mkuuWewe unaitwa Zinc ?
Yeap mkuu haya ndio niliokua nayasema yani katoto kadogo kanabisha na mkongwe humuJF itapoteza ladha kwa kasi sana hebu imagine sometimes kwa I'd fake unabishana na bosi wako au kuna watu wanaleta real life stories kupata ushauri unafikiri kutakua na guts za kuleta stories Kama hizo.
Wenye wale wa I'd fake waendelee na wewe unayetaka utambulisho halisi weka
Hhahah sio mbaya kujuana tuweke picha zetu og sasa kwenye IdAhahaaa kumbe, je na mm ni miongoni mwao? Mm nataman nikuone.
kule mwanza,bukoba na Musoma, wanapenda kuweka "po" kwenye neno. so na mm natamanipo nikuonepo, nikujuwepo!!!!!
Mkuu ladha ya utumbo mavi🤤 yaani hayo mambo ndio inafanya JF inakua home of great thinkers, where we dare to talk openlyYeap mkuu haya ndio niliokua nayasema yani katoto kadogo kanabisha na mkongwe humu
Sisi watu wa JF huwa hatupendi kujuana, kujuana ni chanzo cha umbea kama kwa mama Kimbo Buza, huwezi jitoe JF nenda fb huko mademu kibao.Hapana mkuu mambo ya ugaidi siyajui
Ndio maana yake ktk contemporary journalism kuna kitu citizen journalism, wilstblowers nk hivyo unapata hapa JFKwahiyo bora tuendelee hivi hivi mkuu ?
Sawa mkuu ila mbna wapo watu wanatumia taarifa zao og
HAhahah mkuu me sihusiki huko nimetoa mada nione maoni ya wadau wa humu jf tuSasa mkuu waimba mapambio, au kina Sirro, Kingai, na ile timu yenyewe ambayo sasa inajulikana siyo ndiyo mapromoter wa huo u og?
Tusaidiane mkuu:
View attachment 1978819