Natamani sana kila member humu wa JamiiForums atumie jina na pamoja na picha yake halisi

Natamani sana kila member humu wa JamiiForums atumie jina na pamoja na picha yake halisi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sisi watu wa JF huwa hatupendi kujuana, kujuana ni chanzo cha umbea kama kwa mama Kimbo Buza, huwezi jitoe JF nenda fb huko mademu kibao.
 
acha watu wajiachie bnaa, humu ukisema kila mtu aweke wazi uhusika wake, tutakimbiana humu kama sio kuliliana, kuna wengine wanadharaulika sabbu ya ID zao,

wengine wanaheshima zisizo wastahiki maana wamefake maisha yale tunayowajua jinsi wanavyojiproud humu,

kuna wengine tunawachukulia powa kumbe sivyo walivyo, na kuna wale, wanajikuta wana heshima ktk jamii zao, lkn behind the scene ni wapuuzi na upuuzi wao wanakuja kuufanyia humu kupitia fake ID na bado tunainjoy kwa upuuzi wao(just think about rickboy mzee wa kula tunda kimasihara, na yule zero IQ muuza chips wa Dodoma[emoji23])

na kuna ile mizee age imeenda kinoma lkn haitak kukubali ukweli, ipo inafake umri ili ionekane vijana humu kwa kufake ID na kuleta thread za utoto but tunainjoy acha wajifiche tu

na kuna akina sie tusio penda makuu na mtu yeyote, umri fulani iviii, na uhandsome wa maana, na hatujiproud kwa lolote bt mtu ukituona uhalisia utoamini[emoji23][emoji23]

acha watu wafake wawezavyo as long as hawavunji sheria,,

jf the biggest site where we dare to talk openly & freely
 
acha watu wajiachie bnaa, humu ukisema kila mtu aweke wazi uhusika wake, tutakimbiana humu kama sio kuliliana, kuna wengine wanadharaulika sabbu ya ID zao,

wengine wanaheshima zisizo wastahiki maana wamefake maisha yale tunayowajua jinsi wanavyojiproud humu,

kuna wengine tunawachukulia powa kumbe sivyo walivyo, na kuna wale, wanajikuta wana heshima ktk jamii zao, lkn behind the scene ni wapuuzi na upuuzi wao wanakuja kuufanyia humu kupitia fake ID na bado tunainjoy kwa upuuzi wao(just think about rickboy mzee wa kula tunda kimasihara, na yule zero IQ muuza chips wa Dodoma[emoji23])

na kuna ile mizee age imeenda kinoma lkn haitak kukubali ukweli, ipo inafake umri ili ionekane vijana humu kwa kufake ID na kuleta thread za utoto but tunainjoy acha wajifiche tu

na kuna akina sie tusio penda makuu na mtu yeyote, umri fulani iviii, na uhandsome wa maana, na hatujiproud kwa lolote bt mtu ukituona uhalisia utoamini[emoji23][emoji23]

acha watu wafake wawezavyo as long as hawavunji sheria,,

jf the biggest site where we dare to talk openly & freely
Hahaha nimekuelewa sana mkuu umetema bonge la point huyo ZERO IQ na RIKI BOY wanachangamsha sana jf hahaa
 
Leo nimetafakari sana juu ya hili jambo, kwa maana wanachama wa humu wa jf wakitumia majina pamoja na picha zao halisi kutaleta faida zifuatazo:

1. Kutaongeza kuheshimiana, endapo kila member humu atatumia jina pamoja na picha yake halisi kutapelekea kuheshimiana kwa kuwa member wengi humu wanachukuliana poa kwa kuwa ID sio halisi kwahiyo unaweza kuta katoto ka mwaka 2000 kanamtimulia vumbi mtu mzima tena wa miaka 70 huko.

2. Kutapunguza idadi ya watu kutumia ID zaidi ya moja , kama mjuavyo wengi humu wana ID's hata 10 kwa ajiri ya maslai yao binafsi hivyo kama mtu ili afungue account lazima atumie jina pamoja na picha yake original itakua ngumu mtu huyo kuwa na ID's zaid ya moja.

3.Kutarahisisha upanikanaji wa mchumba, mpenzi humu jukwaani, Hii naisema kwa kuwa wanawake wengi humu jukwaani wanachukulia sana poa wanaume wa humu jukwaani kwa kuwa awajawaona wanavyofanania, hivyo kama members humu wakitumia utambulisho wao halisi itakua ni rahisi kumpata mchumba tena ata mke humu jukwaani.

4. Kutapunguza utapeli, wengi humu wanatumia ID ambazo hazima taarifa za ukweli kwa ajiri ya kufanya utapeli hivyo endapo kama members humu watatumia majina na picha zao itakua rahisi ata kuwapata kwani picha na jina ni halisi.

Ni hayo tu wakuu kama kuna sehemu nimesahau kugusia unaweza kuongezea nyama

NAWASILISHA.
Hahahahaha ni wazo zuri mkuu, lakini kutokana na aina ya JF ni ngumu sana kutumia majina halisi ili kuepuka risk mbalimbali, japo wapo wachache wanaotumia majina na picha halisi.
 
Hahahahaha ni wazo zuri mkuu, lakini kutokana na aina ya JF ni ngumu sana kutumia majina halisi ili kuepuka risk mbalimbali, japo wapo wachache wanaotumia majina na picha halisi.
Yeap mkuu pia naona watu wakitumia ID's zao og jf itadoda watu watakua wapole
 
jamii forum ni jukwaa huru pekee la kujiachia na kutema nyongo zote na yote ya moyoni, kuuliza lolote kwa uhuru, kutaka kujua na kujifunza lolote lile comfortable kabisa, na kutaka ushauri wa mambo yako yoyote yale bila ya ulazimu wa mtu/watu wakujue wewe ni nani na mipango yako ni ipi.
 
jamii forum ni jukwaa huru pekee la kujiachia na kutema nyongo zote na yote ya moyoni, kuuliza lolote kwa uhuru, kutaka kujua na kujifunza lolote lile comfortable kabisa, na kutaka ushauri wa mambo yako yoyote yale bila ya ulazimu wa mtu/watu wakujue wewe ni nani na mipango yako ni ipi.
Sawa mkuu lakini mbona wakongwe wanalalamika wanachukuliwa poa na kudharaulika na vijana wa sasa humu ?
 
Sawa mkuu lakini mbona wakongwe wanalalamika wanachukuliwa poa na kudharaulika na vijana wa sasa humu ?
hao wanacomplicate maisha wao wenyewe, hawajui ni nini maana ya jamii forum. Siku wakijua hata wao watainjoy sana jamii forum, kama sisi tunavoinjoy hii jamii forum.
 
hao wanacomplicate maisha wao wenyewe, hawajui ni nini maana ya jamii forum. Siku wakijua hata wao watainjoy sana jamii forum, kama sisi tunavoinjoy hii jamii forum.
Basi sawa mkuu ngoja tupambane tu
 
Leo nimetafakari sana juu ya hili jambo, kwa maana wanachama wa humu wa jf wakitumia majina pamoja na picha zao halisi kutaleta faida zifuatazo:

1. Kutaongeza kuheshimiana, endapo kila member humu atatumia jina pamoja na picha yake halisi kutapelekea kuheshimiana kwa kuwa member wengi humu wanachukuliana poa kwa kuwa ID sio halisi kwahiyo unaweza kuta katoto ka mwaka 2000 kanamtimulia vumbi mtu mzima tena wa miaka 70 huko.

2. Kutapunguza idadi ya watu kutumia ID zaidi ya moja , kama mjuavyo wengi humu wana ID's hata 10 kwa ajiri ya maslai yao binafsi hivyo kama mtu ili afungue account lazima atumie jina pamoja na picha yake original itakua ngumu mtu huyo kuwa na ID's zaid ya moja.

3.Kutarahisisha upanikanaji wa mchumba, mpenzi humu jukwaani, Hii naisema kwa kuwa wanawake wengi humu jukwaani wanachukulia sana poa wanaume wa humu jukwaani kwa kuwa awajawaona wanavyofanania, hivyo kama members humu wakitumia utambulisho wao halisi itakua ni rahisi kumpata mchumba tena ata mke humu jukwaani.

4. Kutapunguza utapeli, wengi humu wanatumia ID ambazo hazima taarifa za ukweli kwa ajiri ya kufanya utapeli hivyo endapo kama members humu watatumia majina na picha zao itakua rahisi ata kuwapata kwani picha na jina ni halisi.

Ni hayo tu wakuu kama kuna sehemu nimesahau kugusia unaweza kuongezea nyama

NAWASILISHA.
Toa ushauri kwa Menejiment ya Jamii forum inayoongozwa na Max, kuanzisha part of JF ambayo members wake watakuwa verified tu, afu uone wangapi watajitokeza.

Mkuu huu mtindo wa kutojulikana unasaidia sana, na hasa katika issue za kufichua maovu yanayofanyika serikalini.
 
Toa ushauri kwa Menejiment ya Jamii forum inayoongozwa na Max, kuanzisha part of JF ambayo members wake watakuwa verified tu, afu uone wangapi watajitokeza.

Mkuu huu mtindo wa kutojulikana unasaidia sana, na hasa katika issue za kufichua maovu yanayofanyika serikalini.
Kwa upande huo wa mambo ya serikali sawa mkuu sikatai basi watu waendelee na ID's zao fake tu
 
Kwa kweli nami naunga mkono hasa #3.
Huwa nawatamani sana baadhi ya kina mama humu jukwaani kutokana na comments zao.
 
Back
Top Bottom